Said Fella: Bila kuwekeza fedha kwenye muziki msanii unapoteza tu muda
Mwanzilishi wa kundi la muziki Wanaume Family na Yamoto Band, Said Fella amesema kama msanii anataka kufanya muziki, lazima yeye au uongozi unaomsimamia wawekeze fedha kwenye muziki wake. Fella amewataka wasanii kuacha kuupeleka muziki wao kishkaji shkaji na waonyeshe nia ya dhati kwenye muziki wao. “Kila msanii ana malengo na muziki anaoufanya, ukiamua kuwa mwanamuziki […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Oct
Rose Ndauka aamua kuwekeza kwenye muziki
9 years ago
Bongo526 Oct
Kama unashindana na sisi, unapoteza tu muda — P-Square
9 years ago
Bongo514 Dec
Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J
Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.
“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...
9 years ago
Bongo512 Oct
Vanessa Mdee awashauri wasanii kuwekeza kwenye muziki kama yeye, Diamond na Ommy Dimpoz
9 years ago
Bongo528 Dec
Chege: Bila Said Fella nitapotea kimuziki
Chege anaamini kuwa yeye pamoja na Mheshimiwa Temba hawawezi kufanya kazi za muziki bila kumtegemea bosi wao, Said ‘Mkubwa’ Fella.
Chege ambaye ameachia video ya wimbo Sweety Sweety aliowashirikisha Runtown na Uhuru, amekiambia kipindi cha FNL cha EATV kuwa bosi wao huyo amekuwa akisimamia kila kitu kwenye muziki wao.
“Sisi bado tupo chini ya Mkubwa Fella na kufanya kazi bila yeye tunaona tutayumba na kupotea,” alisema.
“Mimi mpaka leo sijui gharama ya video yangu mpya, kazi yote kafanya...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Mkubwa Fella kustaafu muziki
MENEJA wa Kundi la Temeke Wanaume Family, Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amesema wakati wake wa kujihusisha na masuala ya muziki anaona umefika mwisho, hivyo anataka kutoa nafasi kwa wengine. Akizungumza...
10 years ago
Bongo505 Nov
Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Wengi bado wana kigugumizi kuwekeza fedha soko la hisa
11 years ago
MichuziMBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.