MBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.
Pichani ni mwenyekiti wa CHADEMA,Mh. Freeman Mbowe akiwa sambamba na Mbunge wa jimbo la Kawe,Halima Mdee wakiwa wameachiwa na jeshi la polisi akisindikizwa kwenda kupanda chopa katika viwanja vya mwembetogwa mara baada ya kudaiwa kuzidisha muda kwenye mkutano wao wa hadhara mkoani Iringa. (picha zote na denis mlowe)
Na Denis Mlowe,Iringa
MWENYEKITI wa Chadema Mhe. Freeman Mbowe na Mbunge wa jimbo la Hai na Mbunge wa Jimbo la Kawe Mhe. Halima Mdee walishikiliwa kwa muda na Jeshi la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
IGP: Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu. Julius Mathias – Mwananchi Posted Jumanne, Septemba 8, 2015 Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema hakuna sheria inayozuia wagombea urais, ubunge na udiwani kufanya kampeni […]
The post IGP: Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi08 Sep
IGP : Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IX_hovejP5E/U8-jj7qPhWI/AAAAAAAAGPQ/w3GJXLIwzWA/s72-c/VOT4.jpg)
ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUJIFANYA AFISA USALAMA WA TAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IX_hovejP5E/U8-jj7qPhWI/AAAAAAAAGPQ/w3GJXLIwzWA/s1600/VOT4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Breaking News! Askofu Gwajima ‘aidindia’ jeshi la Polisi waliomfuata kumchukua nyumbani kwake SalaSala, ajisalimisha na Wakili wake muda huu kwa Kamanda Kova
Baadhi ya Maaskofu wa Kanisa la Gwajima na maaskofu rafiki wa makanisa ya Pentekoste wakiongea na Gwajima (Hayupo pichani) ambaye alikuwa akiwapa maelekezo kabla ya kuondoka kwenda kuhojiwa jeshi la Polisi mchana wa leo.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima mapema leo ameibua hofu kubwa kwa majirani na waumini wake waliokuwa wametanda nje ya nyumba yake baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kwake kwa lengo la kumchukua kwenda Polisi Centro...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GMYzXkxnQso/XmdDmykXxeI/AAAAAAALiWQ/kJgKQ-sN688nP_PLTbcDPoxjCkVuCWWHACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-10%2Bat%2B10.20.47.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZZ....: HUKUMU YA KESI YA KINA MBOWE YAAHIRISHWA KWA MUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GMYzXkxnQso/XmdDmykXxeI/AAAAAAALiWQ/kJgKQ-sN688nP_PLTbcDPoxjCkVuCWWHACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-10%2Bat%2B10.20.47.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-EQC4p1c_S4M/XmdDoNnvXGI/AAAAAAALiWc/VQmgXobxQ_AmK-1Cd2ndezzD1BPQ4XF5QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-10%2Bat%2B10.20.52.jpg)
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATUHUMIWA NANE KWA KOSA LA KUPATIKANA NA VIFAA VYA KUVUNJIA
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Christina Koch: Mwanamke aliyeishi kwenye anga za mbali kwa muda mrefu
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AnTHWe3tBrU/UwR22MoDq6I/AAAAAAAFN7A/GpMOnlTBweQ/s72-c/unnamed+(59).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU RAIA WA ETHIOPIA NA MALAWI KWA KOSA LA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-AnTHWe3tBrU/UwR22MoDq6I/AAAAAAAFN7A/GpMOnlTBweQ/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcFTJYCeRdk/UwR22Y-BxWI/AAAAAAAFN7E/GLm9CGeJqto/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x-qdOG-2Thw/UwR22WLwZLI/AAAAAAAFN7M/dBSmHZ3IvuI/s1600/unnamed+(61).jpg)
Habari na Sylvester Onesmo, picha
na Peter Simoni wa Jeshi la Polisi Dodoma. ---------------- Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu wanne raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria, watu hao walikamatwa kufuatia taarifa ya raia wema waliokuwa wakisafiri nao katika basi hilo. Kamanda wa Polisi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s72-c/IMG_9743.jpg)
FREEMAN MBOWE AFIKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI KWA MAHOJIANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s1600/IMG_9743.jpg)