IGP : Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema hakuna sheria inayozuia wagombea urais, ubunge na udiwani kufanya kampeni zaidi ya saa 12 jioni isipokuwa ni kanuni za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
IGP: Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu. Julius Mathias – Mwananchi Posted Jumanne, Septemba 8, 2015 Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema hakuna sheria inayozuia wagombea urais, ubunge na udiwani kufanya kampeni […]
The post IGP: Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
MichuziMBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.
9 years ago
Michuzi15 Dec
MAMBO MATATU YATAKAYOKUONDOLEA KOSA LA JINAI MAHAKAMANI.
Na Bashir YakubMakosa ya jinai ni makosa yote yaliyoorodheshwa katika sura ya 16 ya kanuni za adhabu pamoja na yale yaliyo katika sheria nyingine kama ile ya uhujumu uchumi. Pamoja na kuwapo sheria nyingine ambazo huorodhesha makosa ya jinai bado Kanuni za adhabu inabaki kuwa sheria kuu inayoorodhesha makosa ya jinai. Kwa ujumla katika sheria tunayo makosa makuu ya aina mbili. Kwanza ni hayo ya jinai na pili ni ya madai. Kwa ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CFDlbSxUzfw/VPjKepKPcEI/AAAAAAAHH-U/KfB8SBR_1YY/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KUTOTOA MATUNZO YA MTOTO NI KOSA LA JINAI, HII NI NAMNA YA KUCHUKUA HATUA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CFDlbSxUzfw/VPjKepKPcEI/AAAAAAAHH-U/KfB8SBR_1YY/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwa na shida sana hasa kwa upande wa wanaume kuwatelekeza watoto. Mara nyingi wanaume ndio hutelekeza watoto kuliko wanawake. Zipo baadhi ya kesi zimeripotiwa zikihusisha wanawake kuwatelekeza watoto lakini hizi si nyingi kama ilivyo kwa wanaume. Hii ni kwasababu uwezekano wa mwanaume kumkimbia mtoto ni mwepesi kuliko mwanamke kumkimbia mtoto/watoto. Jambo hili ni baya na limeshakemewa na sheria mbalimbali. Nataka...
9 years ago
Mtanzania04 Sep
Lema mbaroni kwa kuzidisha dk 6 mkutano wa kampeni
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MGOMBEA ubunge wa Chadema, Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, jana amekamatwa na polisi akidaiwa kuzidisha muda katika mkutano wake wa kampeni na kufanya maandamano bila kibali.
Tukio hilo lilitokea baada ya mkutano huo wa kampeni katika viwanja vya Shule ya Msingi Ngarenaro ambapo Lema alihutubia hadi saa 12:06 badala ya saa 12:00, na aliposhuka jukwaani na kuanza kuondoka, wafuasi wake walianza kumfuata na kusukuma gari lake.
Baada ya hatua chache kutoka uwanjani...
9 years ago
Michuzi23 Aug
KAMPENI ZA URAIS ZAANZA RASMI, TUME YATOA RATIBA ZA MAENEO NA MUDA WA KAMPENI
Tume ya Taifa ya uchaguzi inakutana na Kamati Maalumu inayo undwa na wajumbe kutoka vyama nane vilivyo na wagombea wa urais na makamo kuandaa Ratiba ya mikutano ya hadhara kurahisisha kubaini vyama vilivyopanga mkutano mmoja katika mkoa mmoja, wilaya moja, na Eneo moja kwa Tarehe mojaMkurugenzi wa NEC Kailima Ramadhani amesema anafarijika sana na ushirikiano wanaouonyesha Wawakilishi Wa vyama katika kuhakikisha mchakato kuwa wa Amani na utulivu bila kujali itikadi za vyama vyao kikao...
9 years ago
MichuziJE WAJUA KUMSHAURI MTU KUTENDA JINAI NAYO NI JINAI ?
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Fedha za jinai zitachagua watawala wa kutetea na kuendeleza jinai
HIVI sasa tumefikia hatua muhimu katika mchakato wa kuchagua watawala wetu watakaotawala nchi na
Jenerali Ulimwengu
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …
Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]
The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.