Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fedha za jinai zitachagua watawala wa kutetea na kuendeleza jinai

HIVI sasa tumefikia hatua muhimu katika mchakato wa kuchagua watawala wetu watakaotawala nchi na

Jenerali Ulimwengu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

JE WAJUA KUMSHAURI MTU KUTENDA JINAI NAYO NI JINAI ?

Usimshauri  mtu  kuhusika  katika  kitendo chochote  ambacho  kinakatazwa  na  sheria. Kufanya  hivyo  kutakufanya  nawe  kuhesabika  umehusika katika  kosa  hilo. Hii  ni  hata  katika  mambo  ya  kawaida  tuliyozea.  Ukimsikia  mtu  anapanga  kwenda  kumkomesha  fulani kwa  kumpa  kipigo  usitie  neno  lako labda  kama  unamzuia. Usijaribu  hata  kusema  nenda  kamfanyie  amezidi.  Maneno  hayo  ni  machache  lakini  kisheria  yatachukuliwa  kama  ushauri  kwa mtenda  kosa.Au  mtu ...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete amteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai, pia amteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola kuongoza Idara ya Intelijensia ya Jinai

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani  Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (Director of Criminal Investigation).
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Robert S. Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi hawarekodi makosa ya jinai UK

Zaidi ya robo ya visa vya unyanyasaji wa kijinsia vinavyoripotiwa havirekodiwi na Polisi nchini Uingereza, waangalizi wameeleza.

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC: IS imetenda makosa ya jinai

Kiongozi wa Mashtaka wa ICC amesema kuwa ISIS imetekeleza uhalifu wa hali na ukatili mkubwa nchini Syria na Iraq

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utatuzi wa mashauri ya jinai nje ya mahakama — 2

WIKI iliyopita nilieleza lengo la makala hii ni kujifunza mbinu na umuhimu uliopo katika kutatua mashauri ya jinai nje ya mfumo wa mahakama ili kuepuka matatizo niliyokwisha yaainisha hapo juu....

 

10 years ago

Michuzi

MAKOSA YA JINAI KIPAUMBELE NA JESHI LA POLISI

 Mkurugenzi  wa Upelelezi  wa  makosa  ya Jinai,(CP) Diwani  Athuman akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Wizara ya mambo ya Ndani juu ya Operesheni  usalama  imetokana na maamuzi  yaliyofikiwa kwenye mikutano ya Wakuu wa Majeshi ya Polisi kati ya Nchi za Kusini  mwa Afrika na Mashariki mwa Afrika  waliokutana  chini ya mwavuli wa (SARPCCO) na (EAPCCO) uliofanyika Johanesburg nchini  Afrika  Kusini.  Baadhi ya waandishi wa habari...

 

5 years ago

Michuzi

Rais wa PSG ahusishwa na makosa ya jinai

Rais wa klabu ya Paris Saint German (PSG) Nasser Al Khelaifi.
Yassir Simba , Michuzi tvRAIS wa klabu ya Paris Saint German (PSG) Nasser Al Khelaifi  amehusishwa na makosa ya jinai nchini Swirzerland dhidi ya Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Dunia FIFA Jerome Valcke.
Kupitia mtandao wa habari za kimichezo goal.com umesema taarifa iliyotoka katika ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Nchini Switzerland imedai kwamba raisi huyo wa klabu ya PSG alimpatia rushwa ya kiasi cha fedha euro million 1.25...

 

10 years ago

GPL

KESI YA JINAI YA SHEIKH PONDA YAAHIRISHWA

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda akiwa mahakamani. (Picha na Maktaba).
Na Haruni Sanchawa Kesi ya jinai inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro imeahirishwa leo kwenye Mahakama Kuu Dar es Salaam hadi Septemba 22, mwaka huu. Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, Ponda anakabiliwa na mashtaka ya uchochezi...

 

9 years ago

Mwananchi

IGP : Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai

Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema hakuna sheria inayozuia wagombea urais, ubunge na udiwani kufanya kampeni zaidi ya saa 12 jioni isipokuwa ni kanuni za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani