JE WAJUA KUMSHAURI MTU KUTENDA JINAI NAYO NI JINAI ?
Usimshauri mtu kuhusika katika kitendo chochote ambacho kinakatazwa na sheria. Kufanya hivyo kutakufanya nawe kuhesabika umehusika katika kosa hilo. Hii ni hata katika mambo ya kawaida tuliyozea. Ukimsikia mtu anapanga kwenda kumkomesha fulani kwa kumpa kipigo usitie neno lako labda kama unamzuia. Usijaribu hata kusema nenda kamfanyie amezidi. Maneno hayo ni machache lakini kisheria yatachukuliwa kama ushauri kwa mtenda kosa.Au mtu ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Fedha za jinai zitachagua watawala wa kutetea na kuendeleza jinai
HIVI sasa tumefikia hatua muhimu katika mchakato wa kuchagua watawala wetu watakaotawala nchi na
Jenerali Ulimwengu
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XO38fqQ5MPY/VnMqe3N75GI/AAAAAAAINMI/nRAFxkRrhPc/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE KULEWA, KUTOKUWA NA AKILI TIMAMU NI KINGA BAADA YA KUTENDA JINAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-XO38fqQ5MPY/VnMqe3N75GI/AAAAAAAINMI/nRAFxkRrhPc/s320/1.1774256.jpg)
Wote tunajua kuwa kila atendaye kosa sharti aadhibiwe. Na kuadhibiwa huko lazima kuwe kwa mujibu wa sheria. Pamoja na kuwa mtenda kosa hustahili adhabu bado watenda kosa hutofautiana hadhi. Hadhi hapa sio kuwa fulani ni mkuu wa mkoa au mkurugenzi na fulani ni mkulima wa kawaida kijijini Katanakya.
Hadhi ndio kama hizo zilizotajwa katika kichwa cha makala. Wapo watenda makosa lakini wakiwa na umri mdogo, wapo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Rais Kikwete amteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai, pia amteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola kuongoza Idara ya Intelijensia ya Jinai
![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Robert S. Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Polisi hawarekodi makosa ya jinai UK
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
ICC: IS imetenda makosa ya jinai
10 years ago
GPLKESI YA JINAI YA SHEIKH PONDA YAAHIRISHWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-96jTqVgHRJE/Xk6WRGToaNI/AAAAAAALejI/nwqFa5wQkwgVJ0MSWmn7SoAPfkfbSDOYwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-20%2Bat%2B3.00.08%2BPM.jpeg)
Rais wa PSG ahusishwa na makosa ya jinai
![](https://1.bp.blogspot.com/-96jTqVgHRJE/Xk6WRGToaNI/AAAAAAALejI/nwqFa5wQkwgVJ0MSWmn7SoAPfkfbSDOYwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-20%2Bat%2B3.00.08%2BPM.jpeg)
Yassir Simba , Michuzi tvRAIS wa klabu ya Paris Saint German (PSG) Nasser Al Khelaifi amehusishwa na makosa ya jinai nchini Swirzerland dhidi ya Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Dunia FIFA Jerome Valcke.
Kupitia mtandao wa habari za kimichezo goal.com umesema taarifa iliyotoka katika ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Nchini Switzerland imedai kwamba raisi huyo wa klabu ya PSG alimpatia rushwa ya kiasi cha fedha euro million 1.25...
10 years ago
MichuziMAKOSA YA JINAI KIPAUMBELE NA JESHI LA POLISI
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Utatuzi wa mashauri ya jinai nje ya mahakama — 2
WIKI iliyopita nilieleza lengo la makala hii ni kujifunza mbinu na umuhimu uliopo katika kutatua mashauri ya jinai nje ya mfumo wa mahakama ili kuepuka matatizo niliyokwisha yaainisha hapo juu....