MAKALA YA SHERIA: JE KULEWA, KUTOKUWA NA AKILI TIMAMU NI KINGA BAADA YA KUTENDA JINAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-XO38fqQ5MPY/VnMqe3N75GI/AAAAAAAINMI/nRAFxkRrhPc/s72-c/1.1774256.jpg)
Na Bashir Yakub.
Wote tunajua kuwa kila atendaye kosa sharti aadhibiwe. Na kuadhibiwa huko lazima kuwe kwa mujibu wa sheria. Pamoja na kuwa mtenda kosa hustahili adhabu bado watenda kosa hutofautiana hadhi. Hadhi hapa sio kuwa fulani ni mkuu wa mkoa au mkurugenzi na fulani ni mkulima wa kawaida kijijini Katanakya.
Hadhi ndio kama hizo zilizotajwa katika kichwa cha makala. Wapo watenda makosa lakini wakiwa na umri mdogo, wapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ELyj1FnTsdE/VYxwiALSUBI/AAAAAAAHkIA/7gffGSIjsh0/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MIRATHI ZA WATOTO WADOGO NA WASIO NA AKILI TIMAMU HUSIMAMIWA NA NANI KISHERIA ?
![](http://1.bp.blogspot.com/-ELyj1FnTsdE/VYxwiALSUBI/AAAAAAAHkIA/7gffGSIjsh0/s1600/images.jpg)
Hata hivyo suala la mirathi huibua hisia zaidi hasa panapokwa hamna wosia. Marehemu asipoacha wosia lakini akaacha mali mambo huwa sio mepesi sana labda iwe vinginevyo....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F7M58gkVDLI/VYxR7bKhtPI/AAAAAAAHkHA/uT257_SNmPM/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MIRATHI ZA WATOTO WADOGO NA WASIO NA AKILI TIMAMU HUSIMAMIWA NA NANI KISHERIA?
![](http://1.bp.blogspot.com/-F7M58gkVDLI/VYxR7bKhtPI/AAAAAAAHkHA/uT257_SNmPM/s320/law_5.jpg)
Suala la mirathi popote linapotokea hutokea iwapo kuna mtu amekufa na ameacha mali . Mtu akishakufa akaacha mali hata kama hakuna ndugu wa kurithi suala la mirathi lazima liibuke. Huibuka kwakuwa lazima zile mali ziende pahali iwe kwa mtu au kwa mamlaka. Hata hivyo suala la mirathi huibua hisia zaidi hasa panapokwa hamna wosia. Marehemu asipoacha wosia lakini akaacha mali mambo huwa sio mepesi sana labda iwe...
9 years ago
MichuziJE WAJUA KUMSHAURI MTU KUTENDA JINAI NAYO NI JINAI ?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dI8dRi3oSbQ/VUcHkXf_ccI/AAAAAAAHVDg/g-SwY-wiAWk/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: UWEZEKANO WA KUMSHTAKI KWA JINAI ALIYEVAMIA ARDHI YAKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-dI8dRi3oSbQ/VUcHkXf_ccI/AAAAAAAHVDg/g-SwY-wiAWk/s1600/law_5.jpg)
Katika migogoro ya ardhi yapo mambo mengi ambayo hujitokeza. Yumkini hii yote huwa ni katika kusaka haki. Liko jambo moja ambalo ni muhimu watu kulijua hasa wale ambao tayari wamejikuta katika migogoro ya ardhi. Mara nyingi imekuwa ikitokea pale ambapo mtu fulani ana mgogoro wa ardhi na mtu mwingine kumwendea polisi na kumshitaki kwa jinai ya kuvamia ardhi yake( criminal trespass). Ni kweli jambo hili lipo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CFDlbSxUzfw/VPjKepKPcEI/AAAAAAAHH-U/KfB8SBR_1YY/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KUTOTOA MATUNZO YA MTOTO NI KOSA LA JINAI, HII NI NAMNA YA KUCHUKUA HATUA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CFDlbSxUzfw/VPjKepKPcEI/AAAAAAAHH-U/KfB8SBR_1YY/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwa na shida sana hasa kwa upande wa wanaume kuwatelekeza watoto. Mara nyingi wanaume ndio hutelekeza watoto kuliko wanawake. Zipo baadhi ya kesi zimeripotiwa zikihusisha wanawake kuwatelekeza watoto lakini hizi si nyingi kama ilivyo kwa wanaume. Hii ni kwasababu uwezekano wa mwanaume kumkimbia mtoto ni mwepesi kuliko mwanamke kumkimbia mtoto/watoto. Jambo hili ni baya na limeshakemewa na sheria mbalimbali. Nataka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCyEd8qd3xBObjwlGiFMQVzuB8P4a6fDS72RLlWHEA3WblPmhhcIKeOVniAsLpHBjDLlLlDttzgotyyCeh2cZGc9/FRONT.jpg?width=650)
JOKATE: DIAMOND HANA AKILI TIMAMU
10 years ago
Vijimambo03 Jan
JOKATE: DIAMOND HANA AKILI TIMAMU....AMPA MAKAVU LAIVU KWEUPE
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/10/Jokate-2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZtmxWKXGxK8/VWV44xrGEqI/AAAAAAAHaDk/2WOKLo1tXeY/s72-c/index.jpg)
MAKALA YA SHERIA; NI KOSA ASKARI KUONDOKA NA MTU MWINGINE BAADA YA KUMKOSA MTUHUMIWA NYUMBANI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZtmxWKXGxK8/VWV44xrGEqI/AAAAAAAHaDk/2WOKLo1tXeY/s320/index.jpg)
Malalamiko ya raia dhidi ya jeshi la polisi hayataishi kama polisi wenyewe hawatajirekebisha. Na ieleweke kuwa si kweli kwamba wanaolalamika ni wajinga au hawana sababu za msingi. Mara zote ukiangalia malalamiko ya raia huwa ni ya msingi na mzizi wake ni mmoja tu. Ni utamaduni wa askari wetu kutopenda kutenda hatua kwa hatua kama sheria inavyoagiza. Sheria imetoa maelezo mazuri tu ya namna ya kuyaendea mambo....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6JoCghYlMR0/VTnwm0MNFvI/AAAAAAAHS1M/gZudUDChCxM/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MATUNZO KWA MWANAMKE HUENDELEA KUTOLEWA HATA BAADA YA KUTENGANA NAYE
![](http://3.bp.blogspot.com/-6JoCghYlMR0/VTnwm0MNFvI/AAAAAAAHS1M/gZudUDChCxM/s1600/1.1774256.jpg)