JOKATE: DIAMOND HANA AKILI TIMAMU
![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCyEd8qd3xBObjwlGiFMQVzuB8P4a6fDS72RLlWHEA3WblPmhhcIKeOVniAsLpHBjDLlLlDttzgotyyCeh2cZGc9/FRONT.jpg?width=650)
Stori: imelda mtema Staa wa urembo, muziki, filamu na ujasiriamali Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ au ‘Jojo’ amemrushia maneno makali aliyewahi kuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa hana akili timamu kufuatia maneno aliyotoa kuwa enzi za uhusiano wao, eti mwanadada huyo alikuwa akichenga kumzalia mtoto. Staa wa urembo, muziki, filamu na ujasiriamali Bongo, Jokate Mwegelo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Jan
JOKATE: DIAMOND HANA AKILI TIMAMU....AMPA MAKAVU LAIVU KWEUPE
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/10/Jokate-2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XO38fqQ5MPY/VnMqe3N75GI/AAAAAAAINMI/nRAFxkRrhPc/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE KULEWA, KUTOKUWA NA AKILI TIMAMU NI KINGA BAADA YA KUTENDA JINAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-XO38fqQ5MPY/VnMqe3N75GI/AAAAAAAINMI/nRAFxkRrhPc/s320/1.1774256.jpg)
Wote tunajua kuwa kila atendaye kosa sharti aadhibiwe. Na kuadhibiwa huko lazima kuwe kwa mujibu wa sheria. Pamoja na kuwa mtenda kosa hustahili adhabu bado watenda kosa hutofautiana hadhi. Hadhi hapa sio kuwa fulani ni mkuu wa mkoa au mkurugenzi na fulani ni mkulima wa kawaida kijijini Katanakya.
Hadhi ndio kama hizo zilizotajwa katika kichwa cha makala. Wapo watenda makosa lakini wakiwa na umri mdogo, wapo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F7M58gkVDLI/VYxR7bKhtPI/AAAAAAAHkHA/uT257_SNmPM/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MIRATHI ZA WATOTO WADOGO NA WASIO NA AKILI TIMAMU HUSIMAMIWA NA NANI KISHERIA?
![](http://1.bp.blogspot.com/-F7M58gkVDLI/VYxR7bKhtPI/AAAAAAAHkHA/uT257_SNmPM/s320/law_5.jpg)
Suala la mirathi popote linapotokea hutokea iwapo kuna mtu amekufa na ameacha mali . Mtu akishakufa akaacha mali hata kama hakuna ndugu wa kurithi suala la mirathi lazima liibuke. Huibuka kwakuwa lazima zile mali ziende pahali iwe kwa mtu au kwa mamlaka. Hata hivyo suala la mirathi huibua hisia zaidi hasa panapokwa hamna wosia. Marehemu asipoacha wosia lakini akaacha mali mambo huwa sio mepesi sana labda iwe...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ELyj1FnTsdE/VYxwiALSUBI/AAAAAAAHkIA/7gffGSIjsh0/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MIRATHI ZA WATOTO WADOGO NA WASIO NA AKILI TIMAMU HUSIMAMIWA NA NANI KISHERIA ?
![](http://1.bp.blogspot.com/-ELyj1FnTsdE/VYxwiALSUBI/AAAAAAAHkIA/7gffGSIjsh0/s1600/images.jpg)
Hata hivyo suala la mirathi huibua hisia zaidi hasa panapokwa hamna wosia. Marehemu asipoacha wosia lakini akaacha mali mambo huwa sio mepesi sana labda iwe vinginevyo....
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Harmonizer: Diamond hana dharau
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MKALI wa ngoma ya ‘Aiyola’ Rajabu Abdulkhali maarufu kama Harmonizer amesema kuwa bosi wake Diamond Platnumz hana mashauzi na dharau kama wengi wanavyomfikiria.
Akibonga na Swaggaz juzi jijini Dar es Salaam, Harmonizer alisema kuwa tuhuma hizo zinatokana na namna nyota huyo wa wimbo wa Nana anavyojiweka, lakini ni mtu poa sana ndiyo maana alikubali kumsaidia na kumsimamia vyema kimuziki.
“Diamond angekuwa na dharau asingenisaidia kufika hapa nilipo, ni mtu poa sana,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7rkN2vGHVmxXwORjnWyVOz0tkwG3dgeMpK9VNB-Kb2rvPf4RejQb0KLwEmhHgZFWPuOy6nVNDm0pwINyXh2LOiU/diamond.jpg)
PENNY: DIAMOND HANA CHAKE, NIMESHAPOSWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH371JEch0UNzLUg6AfsCE2h47NC4IDtgWtCLalZhpJtnIObkwMFO7rwOGmpd32e4EmR-ppdalLJNGfuKhxkamDA/3AMISA.jpg?width=650)
AMISA: DIAMOND HANA CHAKE KWANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLb6C7SPSWHPZm87uS8HBPitVHZMpfqvaJ17tujMkxiTIbNw6uI8T7h3tB9Tl2Dc0hkk8ETZYnfp8uHm1YODEGe6/FRONTJUMAMOSI.jpg)
DIAMOND HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAUZOTO!