Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAUZOTO!

Stori: Imelda Mtema
BAADA ya kudaiwa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa alichoropoa mimba zake mbili, mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kujibu mapigo kwamba mwanamuziki huyo hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba, Risasi Jumamosi linakupa mchapo kamili. Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na Wema Sepetu. CHANZO...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA KUDAIWA KUTOA MIMBA 2 . PENNY: DIAMOND HANA UWEZO WAKUPA MWANAMKE UJAUZITO

BAADA ya kudaiwa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa alichoropoa mimba zake mbili, mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kujibu mapigo kwamba mwanamuziki huyo hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba.CHANZO CHA YOTEAkizungumza na GlobalTV Online kwenye ofisi za gazeti hili Bamaga-Mwenge jijini Dar, hivi karibuni, Diamond alifunguka: “Nilimpa (Penny) mimba ya kwanza, sikuamini ikabidi twende naye hospitalini tukapime, akaambiwa anayo…nikafurahi...

 

10 years ago

GPL

MASHABIKI WAUMIZWA NA UJUMBE WA WEMA SEPETU KUWA HANA UWEZO WA KUSHIKA MIMBA

Mrembo Wema Sepetu. MASIKITIKO! Baada ya mrembo Wema Sepetu kutupia ujumbe kupitia mtandao wa Instagram kuwa si kwamba hapendi kuzaa bali hana uwezo wa kufanya hivyo mashabiki wake wengi wameonekana kuumizwa na taarifa hiyo. Wengi wa mashabiki wameonekana kumpa ple Wema na kumtia moyo kuwa ipo siku naye atapata mtoto na kuitwa mama. Wema aliamua kuandika ujumbe huo baada ya kushambuliwa na baadhi ya mashabiki wasiomtakia mema...

 

10 years ago

Bongo5

Wema Sepetu adai hana uwezo wa kuzaa, post yake yawaliza wengi!

Wema Sepetu ana huzuni moyoni. Amepata vyote lakini si mtoto na mbaya zaidi hana uwezo wa kumpata, kwa mujibu wa maelezo yake kwenye Instagram. Wema aliamua kuandika post ndefu kwenye Instagram kuelezea jambo hilo baada ya post ya mwanzo aliyokuwa akimpongeza Hamisa Mobeto kwa kupata mtoto kuambulia maneno ya kashfa kutoka kwa baadhi ya followers […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki Ndio Chazo cha Wema Kufunguka Kuwa Uwezo Hana Wakupata Mtoto

Hivi juzi kati staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu aliandika kupitia ukursa wake mtandaoni akilelezea machungu aliyonayo kwa kutokuwa na uwezo wa kupata mtoto lakini yote kamuachia Mungu hii ni kutokana na watu kumuandama sana mtandaoni kuhusu swala hilo. Sakata zima lilianzia hapa.

Wema kupitia ukurasa wake mtandaoni alimpongeza staa mwenzake Hamisa Mobeto kwa kujifungua mtoto kwa kubandika picha hiyo hapo juu ana kuandika;

“They say u are nat yet a woman Until you experience...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE WA KUMUOA HANA SIFA ZA KUWA MPENZI

YES! Ni Jumanne tena, wenye imani haba husema kwa kawaida Jumanne si siku yenye baraka kifedha! Si kweli! Mungu alipoumba mbingu na dunia aliziona siku zote saba ni njema ila matumizi yetu wanadamu ndiyo yana kasoro! Jumanne ya leo Mungu ameniwezesha kuwafikia tena, ninakuja na mada nzuri sana. Kwamba, Mwanamke wa Kumuoa Hana Sifa za Kuwa Mpenzi.Wengi wanaweza kupingana na huu utafiti wangu lakini nawaomba wasome mada hii mwanzo...

 

11 years ago

Michuzi

Haikupunguzii chochote kumpa mwanamke nafasi - Mwanamitindo Flaviana Matata

Joseph Msami na Falviana Matata katika mahojiano
Wakati mikutano mbalimbali kuhusu hali ya ya wanwake ikiendelea mjini New York Marekani, mwanamitindo nguli wa kimataifa kutoka Tanzania Flaviana Matata ambaye pia anamiliki taasisi iitwayo Flaviana Matata inayotoa misaada ya kielimu, amesema ikiwa wanawake watainuana na kupeana nafasi watapiga hatua kwani kufanya hivyo kunatoa fursa zaidi kwa kundihilo.
Katika mahiojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii muda mfupi baada ya kuhudhuria...

 

9 years ago

Bongo Movies

Zamaradi Kumpa ‘Scene’ Mama Diamond

DIAMOND21

Kufuatia uwezo mkubwa aliouonyesha Mama mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinum, Sanura Kasim kwenye kipande cha video ya wimbo mpya wa diamond , utanimpenda ambapo mama huyo ameigiza kwa kuuvaa uhusika wa mama mwenye maisha magumu ambaye anatafuta msaada akiwa na mtoto mgongoni kitu ambacho kimeshika hisia za watazamaji wengi na wengi kumuona kama ni mama mwenye uwezo mkubwa wakuigiza, mmoja wapo ni mtangazaji na muuandaaji wa filamu hapa Bongo, Zamaradi Mtetema ambaye amekiona...

 

9 years ago

Mtanzania

Harmonizer: Diamond hana dharau

DSC_0266NA CHRISTOPHER MSEKENA

MKALI wa ngoma ya ‘Aiyola’ Rajabu Abdulkhali maarufu kama Harmonizer amesema kuwa bosi wake Diamond Platnumz hana mashauzi na dharau kama wengi wanavyomfikiria.

Akibonga na Swaggaz juzi jijini Dar es Salaam, Harmonizer alisema kuwa tuhuma hizo zinatokana na namna nyota huyo wa wimbo wa Nana anavyojiweka, lakini ni mtu poa sana ndiyo maana alikubali kumsaidia na kumsimamia vyema kimuziki.

“Diamond angekuwa na dharau asingenisaidia kufika hapa nilipo, ni mtu poa sana,...

 

11 years ago

GPL

AMISA: DIAMOND HANA CHAKE KWANGU

Stori: Mayasa Mariwata
MREMBO anayedaiwa kuliingilia penzi la staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, aliyewahi kushiriki Shindano la Miss Tanzania, Amisa Mabeto amefunguka kuwa  mwanamuziki huyo ni shemeji yake tu, hakuna chochote kati yao. Amisa Mabeto. Akipiga stori na safu hii kuhusiana na madai hayo, Amisa alisema alistaajabu kwani hana mazoea na Diamond Kama ni kuonana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani