DIAMOND HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAUZOTO!
![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLb6C7SPSWHPZm87uS8HBPitVHZMpfqvaJ17tujMkxiTIbNw6uI8T7h3tB9Tl2Dc0hkk8ETZYnfp8uHm1YODEGe6/FRONTJUMAMOSI.jpg)
Stori: Imelda Mtema BAADA ya kudaiwa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa alichoropoa mimba zake mbili, mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kujibu mapigo kwamba mwanamuziki huyo hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba, Risasi Jumamosi linakupa mchapo kamili. Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na Wema Sepetu. CHANZO...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-W_BwfUMX3Io/VJ5RjDXnzjI/AAAAAAAAEqg/E3ezDaWqktg/s72-c/IMG_0030.jpg)
BAADA YA KUDAIWA KUTOA MIMBA 2 . PENNY: DIAMOND HANA UWEZO WAKUPA MWANAMKE UJAUZITO
![](http://2.bp.blogspot.com/-W_BwfUMX3Io/VJ5RjDXnzjI/AAAAAAAAEqg/E3ezDaWqktg/s640/IMG_0030.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvtsf80eUzEv34RLbVSCu2wIkhSnYQPsnGLBaJrbX1pedkoOI42ld3PPwwK3g8rH11W9cu0ciK8*H4eN8SDWITH1/wema8.jpg)
MASHABIKI WAUMIZWA NA UJUMBE WA WEMA SEPETU KUWA HANA UWEZO WA KUSHIKA MIMBA
10 years ago
Bongo512 Apr
Wema Sepetu adai hana uwezo wa kuzaa, post yake yawaliza wengi!
10 years ago
Bongo Movies14 Apr
Hiki Ndio Chazo cha Wema Kufunguka Kuwa Uwezo Hana Wakupata Mtoto
Hivi juzi kati staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu aliandika kupitia ukursa wake mtandaoni akilelezea machungu aliyonayo kwa kutokuwa na uwezo wa kupata mtoto lakini yote kamuachia Mungu hii ni kutokana na watu kumuandama sana mtandaoni kuhusu swala hilo. Sakata zima lilianzia hapa.
Wema kupitia ukurasa wake mtandaoni alimpongeza staa mwenzake Hamisa Mobeto kwa kujifungua mtoto kwa kubandika picha hiyo hapo juu ana kuandika;
“They say u are nat yet a woman Until you experience...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz4IWs-zl9Q-7bAEAAKgFxDzuTG07g9RGQWsaJ2-5okZDnP1X2y0QWflvQ2zPw3ACUtbYAAlwhuCppvDKA4X3Hd-/mahaba.gif?width=650)
MWANAMKE WA KUMUOA HANA SIFA ZA KUWA MPENZI
11 years ago
Michuzi15 Mar
Haikupunguzii chochote kumpa mwanamke nafasi - Mwanamitindo Flaviana Matata
![Joseph Msami na Falviana Matata katika mahojiano](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/A-M3QgNQcRmOm3k_AvNOPD52V0RzvUChfHLCv4HVAX5FuQ_vdwXrDjWf9NJD5RRMgCMGFirqYD_WCxPq9i8izG7EsytBlw3YZYCxOL7rbT0N1PMPs0WVSwbwbmx8PZB5R6KkYZJvYnjlZnIaO9P9EkfQ=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/03/Msami-na-Flaviana.jpg)
Wakati mikutano mbalimbali kuhusu hali ya ya wanwake ikiendelea mjini New York Marekani, mwanamitindo nguli wa kimataifa kutoka Tanzania Flaviana Matata ambaye pia anamiliki taasisi iitwayo Flaviana Matata inayotoa misaada ya kielimu, amesema ikiwa wanawake watainuana na kupeana nafasi watapiga hatua kwani kufanya hivyo kunatoa fursa zaidi kwa kundihilo.
Katika mahiojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii muda mfupi baada ya kuhudhuria...
9 years ago
Bongo Movies24 Dec
Zamaradi Kumpa ‘Scene’ Mama Diamond
Kufuatia uwezo mkubwa aliouonyesha Mama mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinum, Sanura Kasim kwenye kipande cha video ya wimbo mpya wa diamond , utanimpenda ambapo mama huyo ameigiza kwa kuuvaa uhusika wa mama mwenye maisha magumu ambaye anatafuta msaada akiwa na mtoto mgongoni kitu ambacho kimeshika hisia za watazamaji wengi na wengi kumuona kama ni mama mwenye uwezo mkubwa wakuigiza, mmoja wapo ni mtangazaji na muuandaaji wa filamu hapa Bongo, Zamaradi Mtetema ambaye amekiona...
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Harmonizer: Diamond hana dharau
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MKALI wa ngoma ya ‘Aiyola’ Rajabu Abdulkhali maarufu kama Harmonizer amesema kuwa bosi wake Diamond Platnumz hana mashauzi na dharau kama wengi wanavyomfikiria.
Akibonga na Swaggaz juzi jijini Dar es Salaam, Harmonizer alisema kuwa tuhuma hizo zinatokana na namna nyota huyo wa wimbo wa Nana anavyojiweka, lakini ni mtu poa sana ndiyo maana alikubali kumsaidia na kumsimamia vyema kimuziki.
“Diamond angekuwa na dharau asingenisaidia kufika hapa nilipo, ni mtu poa sana,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH371JEch0UNzLUg6AfsCE2h47NC4IDtgWtCLalZhpJtnIObkwMFO7rwOGmpd32e4EmR-ppdalLJNGfuKhxkamDA/3AMISA.jpg?width=650)
AMISA: DIAMOND HANA CHAKE KWANGU