Haikupunguzii chochote kumpa mwanamke nafasi - Mwanamitindo Flaviana Matata
Joseph Msami na Falviana Matata katika mahojiano
Wakati mikutano mbalimbali kuhusu hali ya ya wanwake ikiendelea mjini New York Marekani, mwanamitindo nguli wa kimataifa kutoka Tanzania Flaviana Matata ambaye pia anamiliki taasisi iitwayo Flaviana Matata inayotoa misaada ya kielimu, amesema ikiwa wanawake watainuana na kupeana nafasi watapiga hatua kwani kufanya hivyo kunatoa fursa zaidi kwa kundihilo.
Katika mahiojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii muda mfupi baada ya kuhudhuria...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi31 May
MWANAMITINDO WA KIMATAIFA FLAVIANA MATATA AZIDI KUWIKA
![FullSizeRender](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2015/05/FullSizeRender.jpg)
![IMG_6387](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_6387.jpg)
![IMG_6388](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_6388.jpg)
![IMG_6389](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_6389.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-sZ7qCt4JI8w/U-jcI_vWvHI/AAAAAAAF-fU/THuLkcUhMNI/s72-c/unnamed+(32).jpg)
PSPF kwa kushirikiana na mwanamitindo Flaviana Matata wagawa vifaa shuleni
10 years ago
Michuzi10 Oct
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Balozi wa PSPF Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata akabidhi mabegi na madaftari kwa shule za Msingi Dodoma na Singida
![](http://2.bp.blogspot.com/-gwv7DOpnk0k/VhVS4zrZPeI/AAAAAAAAamA/VtK-RZCqceY/s640/Flaviana%2BNyerere%2Bbegi1.jpg)
Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, akikabidhi begi kwa mwanafunzi wa Shule ya Msingi, Nyerere iliyoko Manispaa ya Singida, Oktoba 7, 2015. PSPF kupitia Sera yake ya kusaidia jamii imetoa msaada wa mabegi na madaftari kwa shule hiyo na ile ya Chididimo iliyoko nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma
NA K-VIS MEDIA, DODOMA NA SINGIDA BALOZI wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, ametoa wito kwa wanafunzi wa shule za msingi Chididimo iliyoko Manispaa ya mji wa Dodoma...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gwv7DOpnk0k/VhVS4zrZPeI/AAAAAAAAamA/VtK-RZCqceY/s72-c/Flaviana%2BNyerere%2Bbegi1.jpg)
BALOZI WA PSPF MWANAMITINDO WA KIMATAIFA FLAVIANA MATATA AKABIDHI MABEGI NA MADAFTARI KWA SHULE ZA MSINGI DODOMA NA SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-gwv7DOpnk0k/VhVS4zrZPeI/AAAAAAAAamA/VtK-RZCqceY/s640/Flaviana%2BNyerere%2Bbegi1.jpg)
NA K-VIS MEDIA, DODOMA NA SINGIDABALOZI wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, ametoa wito kwa wanafunzi wa shule za msingi Chididimo iliyoko Manispaa ya mji wa Dodoma na ile ya...
10 years ago
Michuzi11 Dec
RUSSELL SIMMONS AMSHIKA MKONO TENA FLAVIANA KUITAMBULISHA FLAVIANA MATATA FOUNDATION MAREKANI
10 years ago
Michuzi24 Oct
FLAVIANA MATATA FOR THE GLAMOURAI MAGAZINE
![image (2)](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2014/10/image-2-1024x682.jpeg)
![image (4)](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2014/10/image-4-1024x682.jpeg)
![image (5)](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2014/10/image-5-1024x682.jpeg)
![image (6)](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2014/10/image-6-1024x682.jpeg)
![image](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2014/10/image-1024x682.jpeg)
10 years ago
Vijimambo12 Apr
Beyond the Runway with Fashion Model Flaviana Matata
![](http://cdn.blackenterprise.com/wp-content/blogs.dir/1/files/2015/03/Flaviana-Matataa.jpg)
When Flaviana Matata won the Miss Universe Tanzaniapageant in 2007, she had no idea the contest she entered just for fun, would lead her down the runways of some of the world’s top fashion designers–Alexander McQueen, Tory Burch, and Vivienne Westwood, to name a few.
Not only did the bold and fearless beauty initially compete with a shaved head, she transitioned from a third world country and landed in the US working forWilhelmina, one of the most prominent modeling agencies.But beyond...