Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Beyond the Runway with Fashion Model Flaviana Matata



When Flaviana Matata won the Miss Universe Tanzaniapageant in 2007, she had no idea the contest she entered just for fun, would lead her down the runways of some of the world’s top fashion designers–Alexander McQueen, Tory Burch, and Vivienne Westwood, to name a few.
Not only did the bold and fearless beauty initially compete with a shaved head, she transitioned from a third world country and landed in the US working forWilhelmina, one of the most prominent modeling agencies.But beyond...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SUPER MODEL FLAVIANA MATATA'S SEND OFF PARTY NDANI YA SHINYANGA



CUSTOMIZED DRESS from scrach….ikiwa imedhaminiwa  na ze stylist ROSE KOKUHILWA ‘FASHION JUNKII’Ni kwa neema tuuuuuu na rehemaaa, ni kwa neema tuu……ndo nyimbo ilikuwa inaunguruma kwa spikaaa na mabiharusi na mwenzie akawa wanaingia kwa kunesanesa. Kwa mapicha exclusive ya kumwaga toka 8020fashionblog.comBOFYA HAPA

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Flaviana Matata na Rosemary Kokuhilwa wajichanganya na Paris na Nicky Hilton kwenye New York Fashion Week

Mrembo wa kimataifa kutoka Tanzania, Flaviana Matata pamoja na stylist wa Tanzania aishiye nchini Marekani, Kokuhilwa Rosemary Jumanne hii walijichanganya na mastaa wengine kwenye New York Fashion Week. Kutoka Kushoto, mwanamitindo Tori Praver, Paris, Nicky na Flaviana Matata Flaviana ambaye hivi karibuni alifunga ndoa naye pia anaishi jijini humo. Wawili hao walijikuta wamekaa kwenye mstari […]

 

10 years ago

Michuzi

RUSSELL SIMMONS AMSHIKA MKONO TENA FLAVIANA KUITAMBULISHA FLAVIANA MATATA FOUNDATION MAREKANI

Flaviana Matata Mwanamitindo wa kitanzania afanyae shughuli zake za Mitindo Nchini Marekani, Jana alijiunga na rafiki, mshauri, mwekezaji na hip- hop legend , Russell Simmons na kuitambulisha rasmi Flaviana Matata Foundation 'FMF' nchini Marekani katika hafla fupi ilofanyika jijini New York City kwenye mgahawa wa Beautique.  Nia ikiwa ni kusaidia suala la FMF katika - kuhamasisha , kuwawezesha na kuwasaidia watoto wa Tanzania katika masomo yao - wageni walioudhulia waliburudishwa na...

 

9 years ago

TheCitizen

Can fashion week designs be worn off the runway?

Last month, the US rapper and a husband to reality show star Kim Kardashian, Kanye West, released his new clothing collection Yeezy season 2.

 

10 years ago

Michuzi

FLAVIANA MATATA FOR THE GLAMOURAI MAGAZINE

image (2)NI MWANAMITINDO FLAVIANA MATATA AFANYAYE KAZI ZAKE NCHINI MAREKANI SAFARI HII KATOKELEZEA KWENYE JARIDA THE GLAMOURAI MAGAZINE AKINADI MAPAMBO image (4)image (5)image (6)image

 

10 years ago

GPL

FLAVIANA MATATA AZUA UTATA WA UCHUMBA

Stori:  ERICK EVARIST
MISS Universe Tanzania 2007, Flaviana Matata amezua utata wa aina yake baada ya picha zinazomuonesha katika tukio la kuchumbiwa kunaswa na mwenyewe kudai si yeye aliyechumbiwa. Miss Universe Tanzania 2007, Flaviana Matata. Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo limedaiwa kufanyika kwa siri hivi karibuni nyumbani kwa miss huyo, Shinyanga na kuhudhuriwa na baadhi ya ndugu wa karibu. “Inaonesha...

 

9 years ago

Vijimambo

Flaviana Matata ndani ya The Mboni Show

Mwanamitindo wakimataifa Flaviana Matata ambaye anafanyia shughuli zake nchini Marekani , leo alikuwa kwenye kipindi cha Runinga cha The Mboni Show kama mgeni mwalikwa akiiwakilisha PSPF akiwa mmoja wa Balozi wa PSPF akiwakilisha DIASPORA.Akiwa kwenye kipindi hicho sambamba na mwanadada Mboni Masimba alizungumzia masuala mbalimbali ikiwepo maisha ,familia sambamba na kazi zake kama balozi wa PSPF ndani na nje ya nchi.PSPF ni wadhamini wa kuu wa The Mboni Show .aflaviana matata akihojiwa na thembonishow-10flaviana matata akihojiwa na thembonishow flaviana matata akihojiwa na thembonishow-2 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-3 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-9 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-6 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-7
flaviana matata akihojiwa na thembonishow-18mara baada ya show...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani