Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michuzi Blog Exclusive: super model flaviana matata achumbiwa, mchumba kapuni kwa sasa....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SUPER MODEL FLAVIANA MATATA'S SEND OFF PARTY NDANI YA SHINYANGA



CUSTOMIZED DRESS from scrach….ikiwa imedhaminiwa  na ze stylist ROSE KOKUHILWA ‘FASHION JUNKII’Ni kwa neema tuuuuuu na rehemaaa, ni kwa neema tuu……ndo nyimbo ilikuwa inaunguruma kwa spikaaa na mabiharusi na mwenzie akawa wanaingia kwa kunesanesa. Kwa mapicha exclusive ya kumwaga toka 8020fashionblog.comBOFYA HAPA

 

10 years ago

Bongo5

Flaviana Matata achumbiwa, Russell Simmons ampongeza

Flaviana Matata hayupo tena sokoni. Mwanamitindo huyo wa kimataifa amechumbiwa weekend hii. Flavy ameshare habari hiyo njema kwenye mtandao wa Instagram kwa kuweka picha inayoonesha kidole chake cha chanda ambacho kimevishwa pete ya uchumba. “I said YES,” aliandika Flavy kwenye picha hiyo. Mwanzilishi wa label ya Def Jam Records, Russell Simmons aka Uncle Rush ni […]

 

10 years ago

Vijimambo

Beyond the Runway with Fashion Model Flaviana Matata



When Flaviana Matata won the Miss Universe Tanzaniapageant in 2007, she had no idea the contest she entered just for fun, would lead her down the runways of some of the world’s top fashion designers–Alexander McQueen, Tory Burch, and Vivienne Westwood, to name a few.
Not only did the bold and fearless beauty initially compete with a shaved head, she transitioned from a third world country and landed in the US working forWilhelmina, one of the most prominent modeling agencies.But beyond...

 

11 years ago

Bongo5

Exclusive Interview with Herieth Paul — New York based Tanzanian super model (Photos)

Elle Canada dared to use some strong words to introduce its new July (2011) cover star: “Naomi, Move Over!” The new girl on the block is Herieth Paul, who might look a bit like Ms. Campbell (she’s got those killer bangs) but has more often been compared to model Grace Jones or, as one photographer […]

 

11 years ago

Michuzi

Michuzi Blog Exclusive: Taswira za wajumbe wanaopiga tizi kila siku asubuhi

Profesa Mark Mwandosya akila tizi mapema asubuhi hii mjini Dodoma. Ameiambia Globu ya Jamii kwamba yeye bila kukimbia asubuhi na jioni mwili humuwasha sana na hafanyi kazi vizuri. Kila siku anakimbia kilomita 2. Pia yeye ana mkanda wa kahawia wa Goju Ryu Karate, hivyo yuko fiti Kamera yetu pia imewakamata Mhe. Cynthia Ngoye na Mhe.Amina Makilagi,Wajumbe wa Bunge maalumu la Katiba wakifanya mazoezi ya kutembea mapema leo mjini Dodoma. Mhe. Ngoye ametuambia kwamba wao hutembea umbali wa...

 

9 years ago

Michuzi

MICHUZI BLOG EXCLUSIVE: JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA AFANYIWA SHEREHE YA KUSTUKIZWA YA MIAK 75 YA KUZALIWA NA WATOTO NA WAJUKUU WAKE

 Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba Ijumaa usiku alijikuta anapigwa  butwaa baada ya kurudi nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es salaam na kukuta bango hilo mbele yake ambapo  watoto na wajukuu wake walikuwa wamemuandalia sherehe ya kuzaliwa kwake ya miaka 75 (suprise Birthday Party) bila ya yeye mwenyewe kujua Jaji Warioba na mkewe walijikuta wanashangaa zaidi kukuta kumbe watoto na wajukuu sio tu wameandaa Birthday party yake bali pia sala maalumu ya kushukuru kwa kufikisha...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: FLAVIANA MATATA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU SASA KUITWA MRS MASSAWE

 Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe.Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015 katika kanisa la St.Joseph ikafuatiwa na sherehe iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es salaam.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani