Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA: FLAVIANA MATATA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU SASA KUITWA MRS MASSAWE

 Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe.Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015 katika kanisa la St.Joseph ikafuatiwa na sherehe iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es salaam.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Flaviana Matata sasa ni Mrs Massawe, jionee picha za harusi yake

Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe. Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015 katika kanisa la St.Joseph ikafuatiwa na sherehe iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es salaam. Photo Credit: Various Instagram Pages Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, […]

 

9 years ago

GPL

FLAVIANA MATATA NA MASSAWE WAFUNGA NDOA

Mwanamitindo Flaviana Matata na Deogratius Massawe baada ya kufunga pingu za maisha jana. Massawe akimbusu mkewe. Mwanamitindo Flaviana Matata akiwa katika pozi na mumewe Deogratius Massawe.…

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Ludacris afunga ndoa na mpenzi wake raia wa Gabon siku hiyo hiyo aliyomchumbia

Ludacris sasa ni mume wa mtu. Rapper huyo na muigizaji mwenye miaka 37, Jumanne ya wiki hii ameshare picha za harusi yake na mpenzi wake wa muda mrefu Eudoxie Mbouguiengue ambaye ni raia wa Gabon. Katika picha hiyo Christopher Brian Bridges a.k.a Ludacris aliandika “Why wait? Did the thing before 2015. #mrandmrsrbridges”. Mke wake naye […]

 

10 years ago

GPL

LUDACRIS AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE RAIA WA GABON

Mwanamuziki Christopher Brian Bridges 'Ludacris' akiwa na mpenzi wake Eudoxie Fabiola wakiwa katika pozi baada ya kufunga ndoa. Eudoxie ni raia wa Gabon. Wanandoa hao wakiwa katika pozi la mahaba.…

 

10 years ago

Vijimambo

LUDACRIS AFUNGA NDOA NA FAB MPENZI WAKE RAIA WA GABON

Mwanamuziki Christopher Brian Bridges 'Ludacris' akiwa na mpenzi wake Eudoxie Fabiola wakiwa katika pozi baada ya kufunga ndoa. Eudoxie ni raia wa Gabon.
Wanandoa hao wakiwa katika pozi la mahaba.
Ludacris na Eudoxie Fabiola wakiwa katika picha ya pamoja.
Mke wa Ludacris raia wa Gabon akiwa katika pozi siku yake ya harusi.
MWANAMUZIKI na mwigizaji Ludacris (37) sasa ni mume wa mtu, alifunga ndoa kwa siri katika msimu wa Sikukuu za Krismasi mwaka jana. Jumanne ya wiki hii wanandoa hao wameshare...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: J’odie (mwimbaji wa Kuchi Kuchi) afunga ndoa na meneja wake

Hit maker wa ‘Kuchi Kuchi (oh Baby), J’odie kutoka Nigeria amefunga ndoa na meneja wake David Nnaji ambaye pia ni mwigizaji wa Nollywood.

Ndoa yao ya kimila ilifungwa weekend iliyopita Oct.31, na sherehe kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo wana familia huko Nigeria.

J’odie ambaye jina lake halisi ni Joy Odiete alivishwa pete ya uchumba mwishoni mwa mwezi September na Nnaji, ambaye ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album yake ya kwanza ‘African Woman’ iliyotoka...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Flaviana Matata na Rosemary Kokuhilwa wajichanganya na Paris na Nicky Hilton kwenye New York Fashion Week

Mrembo wa kimataifa kutoka Tanzania, Flaviana Matata pamoja na stylist wa Tanzania aishiye nchini Marekani, Kokuhilwa Rosemary Jumanne hii walijichanganya na mastaa wengine kwenye New York Fashion Week. Kutoka Kushoto, mwanamitindo Tori Praver, Paris, Nicky na Flaviana Matata Flaviana ambaye hivi karibuni alifunga ndoa naye pia anaishi jijini humo. Wawili hao walijikuta wamekaa kwenye mstari […]

 

10 years ago

Michuzi

RUSSELL SIMMONS AMSHIKA MKONO TENA FLAVIANA KUITAMBULISHA FLAVIANA MATATA FOUNDATION MAREKANI

Flaviana Matata Mwanamitindo wa kitanzania afanyae shughuli zake za Mitindo Nchini Marekani, Jana alijiunga na rafiki, mshauri, mwekezaji na hip- hop legend , Russell Simmons na kuitambulisha rasmi Flaviana Matata Foundation 'FMF' nchini Marekani katika hafla fupi ilofanyika jijini New York City kwenye mgahawa wa Beautique.  Nia ikiwa ni kusaidia suala la FMF katika - kuhamasisha , kuwawezesha na kuwasaidia watoto wa Tanzania katika masomo yao - wageni walioudhulia waliburudishwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani