PICHA: FLAVIANA MATATA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU SASA KUITWA MRS MASSAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-qrgo032W6pQ/VdGJZeE54lI/AAAAAAABUBQ/dNYYmiHiC6k/s72-c/nassawe-650x650.jpg)
Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe.Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015 katika kanisa la St.Joseph ikafuatiwa na sherehe iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es salaam.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Aug
Picha: Flaviana Matata sasa ni Mrs Massawe, jionee picha za harusi yake
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/flaviana-ndoa-1.jpg)
FLAVIANA MATATA NA MASSAWE WAFUNGA NDOA
10 years ago
Bongo507 Jan
Picha: Ludacris afunga ndoa na mpenzi wake raia wa Gabon siku hiyo hiyo aliyomchumbia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4ZQ2sxZJKX5Vgzf*YhoYIp2UfKlttxoq2UiO86n5B35XMrLPDxrQhilB4DXm9lHzmM0SfHSt8h019Z*j3wbl*o/Luda1.jpg?width=650)
LUDACRIS AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE RAIA WA GABON
10 years ago
Vijimambo07 Jan
LUDACRIS AFUNGA NDOA NA FAB MPENZI WAKE RAIA WA GABON
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX4ZQ2sxZJKX5Vgzf*YhoYIp2UfKlttxoq2UiO86n5B35XMrLPDxrQhilB4DXm9lHzmM0SfHSt8h019Z*j3wbl*o/Luda1.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6xKj8MmUNoAFoIDv8rz4bBJCvoKNB9QhWq46xACqqhuKezVKlulKrFkZRPrH3CS*W3l8fL9RlK3ONO1W3E7Bpd/Luda3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6rKjGPoiP4qIg4FGLoFzTkil2*d7iTeCq9gOixoX-Zt6ZGq4PgVRtGmHSrBERvUg1TL4TNBaWroTzNQxdt-Ddp/Luda4.jpg)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX4odC*nhDu21nhxcFVibiztJMrWWwCmf38aXhGJTTn3Bih0mNfHVboA2ooD4HGpiSNqe0vK2RSuaI8rZKBxaZu3/Luda5.jpg?width=600)
MWANAMUZIKI na mwigizaji Ludacris (37) sasa ni mume wa mtu, alifunga ndoa kwa siri katika msimu wa Sikukuu za Krismasi mwaka jana. Jumanne ya wiki hii wanandoa hao wameshare...
9 years ago
Bongo504 Nov
Picha: J’odie (mwimbaji wa Kuchi Kuchi) afunga ndoa na meneja wake
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/David-Jodie-WEDDaily001-300x194.jpg)
Hit maker wa ‘Kuchi Kuchi (oh Baby), J’odie kutoka Nigeria amefunga ndoa na meneja wake David Nnaji ambaye pia ni mwigizaji wa Nollywood.
Ndoa yao ya kimila ilifungwa weekend iliyopita Oct.31, na sherehe kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo wana familia huko Nigeria.
J’odie ambaye jina lake halisi ni Joy Odiete alivishwa pete ya uchumba mwishoni mwa mwezi September na Nnaji, ambaye ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album yake ya kwanza ‘African Woman’ iliyotoka...
10 years ago
Michuzi25 Nov
9 years ago
Bongo516 Sep
Picha: Flaviana Matata na Rosemary Kokuhilwa wajichanganya na Paris na Nicky Hilton kwenye New York Fashion Week
10 years ago
Michuzi11 Dec
RUSSELL SIMMONS AMSHIKA MKONO TENA FLAVIANA KUITAMBULISHA FLAVIANA MATATA FOUNDATION MAREKANI