Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOKATE: DIAMOND HANA AKILI TIMAMU....AMPA MAKAVU LAIVU KWEUPE


Staa wa urembo, muziki, filamu na ujasiriamali Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ au ‘Jojo’ amemrushia maneno makali aliyewahi kuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa hana akili timamu kufuatia maneno aliyotoa kuwa enzi za uhusiano wao, eti mwanadada huyo alikuwa akichenga kumzalia mtoto.MAHOJIANOKatika mahojiano maalum ya hivi karibuni kupitia Kipindi cha Mtu Kati cha Runinga ya GlobalTV Online chenye makao yake makuu ndani ya Ofisi za Global Publishers zilizopo Bamaga-Mwenge,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JOKATE: DIAMOND HANA AKILI TIMAMU

Stori: imelda mtema
Staa wa urembo, muziki, filamu na ujasiriamali Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ au ‘Jojo’ amemrushia maneno makali aliyewahi kuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa hana akili timamu kufuatia maneno aliyotoa kuwa enzi za uhusiano wao, eti mwanadada huyo alikuwa akichenga kumzalia mtoto. Staa wa urembo, muziki, filamu na ujasiriamali Bongo, Jokate Mwegelo...

 

10 years ago

Vijimambo

DAVIDO WAPEANA MAKAVU LAIVU LAIVU KWENYE MITANDAO

Ikiwa bado ni asubuhi kabisa yaani wiki ya kwanza ya 2015, lakini inavyoonekana kuna mtu kagusa ‘wrong note’ kwenye gitaa la bwana David Adedeji Adeleke a.k.a Davido, hivyo ameamua kumtolea uvivu!Muimbaji huyo wa Nigeria ambaye yupo Dubai na familia kwaajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka, ametumia Twitter kutoa hasira zake kwa mtu ambaye hakumtaja kwa jina, kwa kuandika “Niggas forget who helped them So quick God don bless me I do my thing dey go keep my name out ur mouth !! WHO...

 

11 years ago

GPL

MTITU AMPA MAKAVU JB

Stori: Mwandishi Wetu KATIKA hali ya kushangaza msanii wa filamu na Mkurugenzi wa Five Effect, William Mtitu amemchana live msanii mwenzake, Jacob Stephen ‘JB’ baada ya kutoa mchango mdogo kwenye msiba wa Sheila Haule ‘Recho’. Msanii wa filamu na Mkurugenzi wa Five Effect, William Mtitu (wa tatu kutoka kushoto) akiwa karibu na jeneza la Recho Haule. Akizungumza msanii mmoja wa filamu ambaye hakutaka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude Ampa Makavu Q-Chillah

MWONGOZAJI na mwigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amemtolea uvivu msanii wa muziki wa kizazi kipya na mwigizaji wa filamu, Shabani Katwila ‘Q-Chillah’ kwa kumwambia kuwa katika filamu hakuna ubishoo zaidi ya uhalisia na uhusika kwa filamu husika.

“Napenda kumwambia mdogo wangu Q-Chillah huku siyo kama katika muziki, huku tunavaa kulinga na uhusika, siyo kuvaa tu ilimradi umevaa tu, maskini hawezi kuvaa suti, au mchungaji kuvaa pensi au kuonekana...

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JE KULEWA, KUTOKUWA NA AKILI TIMAMU NI KINGA BAADA YA KUTENDA JINAI

Na  Bashir  Yakub.
Wote  tunajua  kuwa  kila  atendaye  kosa  sharti  aadhibiwe.  Na  kuadhibiwa huko  lazima  kuwe  kwa  mujibu  wa  sheria.  Pamoja  na  kuwa  mtenda  kosa  hustahili  adhabu  bado  watenda  kosa  hutofautiana hadhi. Hadhi  hapa  sio  kuwa  fulani ni  mkuu  wa  mkoa  au  mkurugenzi  na  fulani  ni  mkulima  wa  kawaida kijijini  Katanakya.  
Hadhi  ndio  kama  hizo  zilizotajwa katika  kichwa  cha  makala.  Wapo  watenda  makosa   lakini  wakiwa na  umri  mdogo,  wapo...

 

10 years ago

Vijimambo

ZARI AMPA MAKAVU SEPETUNGA WEMA

Mrembo na mjasiliamali kutoka Uganda, Zari Hassan ameonekana kushangazwa na kitendo cha mwigizaji Wema Sepetu kukejeli ujauzizo alionao ambao amepewa na Diamond ambae alikuwa mpezi wa Wema.
Mbali na watu kadhaa ambao wamejinasibisha mitandao kuwa wao hawayapendi mahusiano ya Zari na Diamond kusambaza mtandaoni picha ya Zari ikiwa na maneno ya kejeli kuhusu mimba aliyonayo, Wema nae alishiriki kuiweka picha hiyo yenye maneno ya kejeli yanayosomeka ‘Mimba My Foot”kama yanavyosomeka kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: MIRATHI ZA WATOTO WADOGO NA WASIO NA AKILI TIMAMU HUSIMAMIWA NA NANI KISHERIA ?

Suala  la  mirathi  popote  linapotokea   hutokea  iwapo  kuna  mtu  amekufa  na   ameacha  mali  . Mtu  akishakufa  akaacha  mali  hata  kama  hakuna  ndugu wa kurithi  suala  la  mirathi  lazima  liibuke.  Huibuka kwakuwa  lazima  zile  mali  ziende  pahali  iwe  kwa  mtu  au  kwa  mamlaka. 
Hata  hivyo  suala  la  mirathi  huibua  hisia  zaidi  hasa  panapokwa  hamna  wosia.  Marehemu  asipoacha wosia  lakini  akaacha   mali  mambo  huwa  sio  mepesi  sana labda  iwe vinginevyo....

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: MIRATHI ZA WATOTO WADOGO NA WASIO NA AKILI TIMAMU HUSIMAMIWA NA NANI KISHERIA?

Na  Bashir  Yakub.
Suala  la  mirathi  popote  linapotokea   hutokea  iwapo  kuna  mtu  amekufa  na   ameacha  mali  . Mtu  akishakufa  akaacha  mali  hata  kama  hakuna  ndugu wa kurithi  suala  la  mirathi  lazima  liibuke.  Huibuka kwakuwa  lazima  zile  mali  ziende  pahali  iwe  kwa  mtu  au  kwa  mamlaka. Hata  hivyo  suala  la  mirathi  huibua  hisia  zaidi  hasa  panapokwa  hamna  wosia.  Marehemu  asipoacha wosia  lakini  akaacha   mali  mambo  huwa  sio  mepesi  sana labda  iwe...

 

10 years ago

GPL

LUCY KOMBA AMPA BOZI MAKAVU LIVE

Mayasa Maliwata STAA wa filamu Bongo, Lucy Komba ameamua kumpa makavu laivu msanii asiyeishiwa vioja, Fatuma Ayubu `Bozi’ anayetajwa kuwa na orodha kubwa ya mastaa aliobanjuka nao kwa kumtaka akumbuke kutumia kinga ama kutulia na bwana mmoja.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1IRCCfq

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani