Dude Ampa Makavu Q-Chillah
MWONGOZAJI na mwigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amemtolea uvivu msanii wa muziki wa kizazi kipya na mwigizaji wa filamu, Shabani Katwila ‘Q-Chillah’ kwa kumwambia kuwa katika filamu hakuna ubishoo zaidi ya uhalisia na uhusika kwa filamu husika.
“Napenda kumwambia mdogo wangu Q-Chillah huku siyo kama katika muziki, huku tunavaa kulinga na uhusika, siyo kuvaa tu ilimradi umevaa tu, maskini hawezi kuvaa suti, au mchungaji kuvaa pensi au kuonekana...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d6TLjrEVtyrJrwfo4em*KuB-Yq760DCpkjWw-6wEF39oWIki8y18GaNT1WHYMhwr5UuLneYBOhtuwcutL*virM4/jb.jpg)
MTITU AMPA MAKAVU JB
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-why5eiBTy4I/VOLcxxBXOfI/AAAAAAAAAMg/Bm6xRV4Td0U/s72-c/zz.jpg)
ZARI AMPA MAKAVU SEPETUNGA WEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-why5eiBTy4I/VOLcxxBXOfI/AAAAAAAAAMg/Bm6xRV4Td0U/s640/zz.jpg)
Mbali na watu kadhaa ambao wamejinasibisha mitandao kuwa wao hawayapendi mahusiano ya Zari na Diamond kusambaza mtandaoni picha ya Zari ikiwa na maneno ya kejeli kuhusu mimba aliyonayo, Wema nae alishiriki kuiweka picha hiyo yenye maneno ya kejeli yanayosomeka ‘Mimba My Foot”kama yanavyosomeka kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD51*lK8yeUDCt1ueJDcqeTAvp5scvmcVkOLwjcDBapjUgHZCfrGcNimz0uFg3rwOZ0G4O7CxCRwRY6iYyQkpCft3K/lucy1.jpg?width=650)
LUCY KOMBA AMPA BOZI MAKAVU LIVE
10 years ago
Vijimambo03 Jan
JOKATE: DIAMOND HANA AKILI TIMAMU....AMPA MAKAVU LAIVU KWEUPE
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/10/Jokate-2.jpg)
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi
KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.
“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Q-Chillah kuipua ‘Always Be Around’
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abubakar Shaaban ‘Q-Chillah’ anatarajiwa kuachia kazi yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la ‘Always Be Around’ ambayo ameshirikiana na wakali kibao wanaotamba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSqx**pNFreaMwWpNn5Q3aG8W2BO9ZEF2zG9J-AqlriX82XYKSQByZxzQkUTb1RzNLDcqU9gmP7lRbk5Y3LKoo3W/jbmzigompya.jpg?width=650)
JB: JIONEE ALINICHONIFANYA Q-CHILLAH!
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Q Chillah, MB Dog wajiandaa na kolabo
Mkongwe katika muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’.
Said Ally, Dar es Salaam
WAKONGWE katika muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’ na Mbwana Mohamed ‘MB Dog’ kwa sasa waumeungana kuhakikisha wanarudi kukonga nyoyo za mashabiki wao ambao wamewamisi kwa muda mrefu.
Q Chillah na MB Dog kwa vipindi tofauti waliwahi kubamba kwenye tasnia hiyo kabla ya kupotea na sasa wanarejea tena.
MB Dog.
Akizungumza na Mikito Jumatano, Q Chillah alisema kuwa...
10 years ago
GPLQ-CHILLAH ALAMBA MKATABA MNONO