Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Q-Chillah kuipua ‘Always Be Around’

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abubakar Shaaban ‘Q-Chillah’ anatarajiwa kuachia kazi yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la ‘Always Be Around’ ambayo ameshirikiana na wakali kibao wanaotamba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SIKINDE YAANZA KUIPUA NYIMBO MPYA

Hatimaye bendi kongwe, bendi pekee ambayo imepata kuwa mabingwa wa muziki nchini mara zote mbili ambazo mashindano hayo yamepata kufanyika, bendi ya Mlimani Park Orchestra “Sikinde Ngoma ya Ukae” imeanza kuipua nyimbo zake mpya zitakazokuwa katika album mpya ya “Jinamizi la Talaka” itakayozinduliwa mwaka huu 2014. 
Album hiyo itakuwa na jumla ya nyimbo 7,ambapo mpaka sasa Sikinde wameishazitoa nyimbo tatu.
Nyimbo hizo ni Jinamizi la Talaka, Za Mkwezi Mbili,Nikipata Nitalipa. Nyimbo hizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tulla Tweve mbioni kuipua ‘Mume Mwema’

MSANII wa muziki wa injili kutoka mkoani Iringa, Tulla Tweve, yupo mbioni kuipua albamu mpya itayokwenda kwa jina la ‘Mume Mwema’. Akizugumza na Tanzania Daima hivi karibuni kwa njia ya...

 

10 years ago

GPL

JB: JIONEE ALINICHONIFANYA Q-CHILLAH!

Stori: Mwandishi Wetu
Sura ya mauzo kwenye Bongo Movies, Jacob Steven ‘JB’ ameweka plain kwamba alichomfanyia staa wa Bongo Fleva, Aboubakar Shaban Katwila ‘Q-Chillah’ kwa mara ya kwanza kwenye filamu yake ya Hukumu ya Ndoa Yangu (part III), kimemshtua.
Akistorisha na safu hii, JB alifunguka kwamba staa huyo ambaye amerudi upya aliitendea haki sinema hiyo kwani alionesha kipaji cha aina...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude Ampa Makavu Q-Chillah

MWONGOZAJI na mwigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amemtolea uvivu msanii wa muziki wa kizazi kipya na mwigizaji wa filamu, Shabani Katwila ‘Q-Chillah’ kwa kumwambia kuwa katika filamu hakuna ubishoo zaidi ya uhalisia na uhusika kwa filamu husika.

“Napenda kumwambia mdogo wangu Q-Chillah huku siyo kama katika muziki, huku tunavaa kulinga na uhusika, siyo kuvaa tu ilimradi umevaa tu, maskini hawezi kuvaa suti, au mchungaji kuvaa pensi au kuonekana...

 

9 years ago

Global Publishers

Q Chillah, MB Dog wajiandaa na kolabo

qchillah
Mkongwe katika muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’.

Said Ally, Dar es Salaam
WAKONGWE katika muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’ na Mbwana Mohamed ‘MB Dog’ kwa sasa waumeungana kuhakikisha wanarudi kukonga nyoyo za mashabiki wao ambao wamewamisi kwa muda mrefu.

Q Chillah na MB Dog kwa vipindi tofauti waliwahi kubamba kwenye tasnia hiyo kabla ya kupotea na sasa wanarejea tena.

wwe33333MB Dog.

Akizungumza na Mikito Jumatano, Q Chillah alisema kuwa...

 

10 years ago

GPL

Q-CHILLAH ALAMBA MKATABA MNONO

Mbongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akipokea mkataba kutoka 'QS Mhonda J Company'. 'Legend' kwenye gemu la Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akipozi. Na mwandishi wetu
LEGEND kwenye gemu la Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ amelamba mkataba wa nguvu…

 

9 years ago

GPL

Q CHILLAH: JINA LANGU LINANIFANYA NIJITUME

Mkongwe wa Bongo Fleva anayetamba na ngoma yake ya For You, Abubakari Katwila ‘Q Chillah’. Mkongwe wa Bongo Fleva anayetamba na ngoma yake ya For You, Abubakari Katwila ‘Q Chillah’ amefunguka kuwa ukubwa wa jina lake ndiyo umemrudisha kwenye gemu kwa kasi na kumfanya ajitume sana kufanya muziki wake. kizungumza na paparazi wetu, Q Chillah alisema kuwa katika kipindi alichokuwa kimya aligundua kuwa watu wengi walikuwa...

 

10 years ago

GPL

Q-CHILLAH AAHIDI MAKUBWA UJIO WAKE MPYA!

Q-Chillah akielezea namna alivyojipanga kwa ujio wake mpya. Kushoto ni Meneja wake, QS. Mhonda.  Muandaaji wa hafla hiyo, DJ Bavon (aliyesimama) akitoa ufafanuzi.…

 

10 years ago

GPL

Q-CHILLAH AHAMAHAMA SHULE, MAMA YAKE AFARIKI DUNIA

Nguli wa Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ alipokuwa akihojiwa ndani ya studio za Global TV Online Agosti mwaka huu. “NIKILALA naota, naota kama unaniita, ila nafsi inasita mpenzi ipo siku nitaitika. Nikilala naota taah! Naota kama unaniita taah! Ila nafsi inasiiiita mpenzi ipo siku itaitikaa,” hiyo ni baadhi ya mistari iliyopo katika Wimbo wa Nikilala Naota wa ‘vokolist’ wa Bongo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani