Q Chillah, MB Dog wajiandaa na kolabo
Mkongwe katika muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’.
Said Ally, Dar es Salaam
WAKONGWE katika muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’ na Mbwana Mohamed ‘MB Dog’ kwa sasa waumeungana kuhakikisha wanarudi kukonga nyoyo za mashabiki wao ambao wamewamisi kwa muda mrefu.
Q Chillah na MB Dog kwa vipindi tofauti waliwahi kubamba kwenye tasnia hiyo kabla ya kupotea na sasa wanarejea tena.
MB Dog.
Akizungumza na Mikito Jumatano, Q Chillah alisema kuwa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Sarumagaoni wajiandaa kuandamana
9 years ago
Mtanzania21 Dec
CCM Mufindi wajiandaa kufukuzana
NA GUSTAPHU HAULE, IRINGA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa, kinaendelea kufanya uchunguzi dhidi ya wanachama waliofanya usaliti wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.
Baada ya uchunguzi huo kukamilika, wasaliti wote watatimuliwa ili kubaki na wanachama wenye nia njema na chama hicho.
Taarifa hiyo ilitolewa jana na Katibu wa CCM Wilaya ya Mufindi, Jimson Mhagama, alipokuwa akizungumza na MTANZANIA ofisini kwake kuhusu mwenendo wa chama wilayani...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Q-Chillah kuipua ‘Always Be Around’
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abubakar Shaaban ‘Q-Chillah’ anatarajiwa kuachia kazi yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la ‘Always Be Around’ ambayo ameshirikiana na wakali kibao wanaotamba...
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Maafisa wajiandaa kuhesabu kura Mwanza
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
KGA wajiandaa kwa maandamano, mgomo
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha waongoza watalii mkoa wa Kilimanjaro (KGA), wameazimia kufanya mgomo na maandamano ili kuishinikiza serikali kusimamia sheria ya kuwataka mawakala wa utalii wawalipe waongoza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSqx**pNFreaMwWpNn5Q3aG8W2BO9ZEF2zG9J-AqlriX82XYKSQByZxzQkUTb1RzNLDcqU9gmP7lRbk5Y3LKoo3W/jbmzigompya.jpg?width=650)
JB: JIONEE ALINICHONIFANYA Q-CHILLAH!
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Wajiandaa kulinganisha mitalaa ya vyuo Afrika Mashariki
10 years ago
Habarileo20 Apr
Ubalozi wajiandaa kuondoa Watanzania Afrika Kusini
UBALOZI wa Tanzania nchini Afrika Kusini umesema umeanza utambuzi wa Watanzania waishio katika maeneo ya hatari nchini humo kabla ya kuanza hatua za kuwaondoa na kuwarejesha nyumbani.
10 years ago
GPLQ-CHILLAH ALAMBA MKATABA MNONO