Maafisa wajiandaa kuhesabu kura Mwanza
Maafisa wa uchaguzi wanajiandaa kuanza kuhesabu kura mjini Mwanza. Masanduku yenye kura zilizopigwa yamekuwa yakiwasili katika kituo kikuu cha kuhesabia kura.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii24 Sep
Bunge kutuma ofisa Saudia kuhesabu kura
Na Daniel Mjema na Sharon Sauwa, Mwananchi
Dodoma. Ofisi ya Bunge la Katiba itamtuma ofisa wake kwenda Makka, Saudi Arabia kusimamia upigaji kura kupitisha Katiba inayopendekezwa kwa wajumbe wa Bunge hilo wanaokwenda Hijja.
Hayo yalielezwa jana na Katibu wa Bunge hilo, Yahya Khamis Hamad alipotakiwa kueleza idadi kamili ya wajumbe wa Bunge hilo wanaotarajiwa kuwa nje ya nchi na jinsi watakavyopiga kura.
Juzi, Bunge hilo lilizifanyia marekebisho kanuni zake ili kuwaruhusu wajumbe...
5 years ago
MichuziRais Magufuli atimiza ahadi yake Maafisa Tarafa Mwanza wakabidhiwa Usafiri
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella (kulia) akikabidhi ufunguo wa pikipiki kwa Mwenyekiti wa Maafisa Tarafa Mkoa Mwanza, Peter Michael (kushoto) kama ishara ya kukabidhi pikipiki 24 kwa Maafisa Tarafa wa Tarafa zote 24 za Mkoa Mwanza.
Mongella amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake (ahadi ya Rais Dkt. Magufuli) ya kutoa pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote Tanzania aliyoitoa alipokutana na viongozi hao Juni 04, 2019 Ikulu...
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE KWA MAAFISA TARAFA MKOA WA MWANZA
Mongella amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake (ahadi ya Rais Dkt. Magufuli) ya kutoa pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote Tanzania aliyoitoa alipokutana na viongozi hao Juni 04, 2019 Ikulu...
10 years ago
MichuziWarsha ya Maafisa Vijana,waratibu wa ukimwi na wadau mbalimbali yafikia siku ya tatu jijini Mwanza
10 years ago
MichuziGEPF WATOA SEMINA MAALUM KWA MAAFISA RASILIMALI WATU KUTOKA MIKOA YA MWANZA, GEITA NA MARA
10 years ago
Vijimambo
UMRI NI SAWA NA KUHESABU NAMBA 1, 2, 3

11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kusoma, kuhesabu kunavyowasumbua wanafunzi shule za msingi
Tangu mwaka 2010, taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza kupitia mradi wake wa Uwezo, imekuwa ikifanya tafiti katika nchi za Afrika Mashariki zinazolenga kubaini uwezo wa watoto wa shule za msingi katika stadi za kusoma na kuhesabu.
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Sokomoko kuhusu majina ya wapiga kura Mwanza
Katika kituo cha Meko, nje kidogo ya mji wa Mwanza, kumetokea sokomoko, baadhi ya wakazi wanalalamika kwamba majina yao hayaonekani kwenye daftari la wapiga kura.
10 years ago
Mwananchi18 Oct
CCM, Ukawa wafuata kura milioni 2.8 Mbeya, Mwanza
Siku saba kabla ya uchaguzi, wagombea urais wa Chadema, Edward Lowassa na Dk John Magufuli (CCM) wameanza kuziwinda kura 2,846,537 katika mikoa ya Mwanza na Mbeya ili kuhakikisha zinatosha kuwaingiza Ikulu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10