GEPF WATOA SEMINA MAALUM KWA MAAFISA RASILIMALI WATU KUTOKA MIKOA YA MWANZA, GEITA NA MARA
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh. Magesa Mulongo akifungua rasmi semina hiyo maalum kwa maafisa rasilimali watu na kuusifia Mfuko wa GEPF kwa ubunifu wake na huduma bora kwa wateja.
Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja kutoka Mfuko wa Pensheni wa GEPF Bw Aloyce Ntukamazina akitoa neno la utangulizi kulia kwake ni Meneja wa GEPF Mkoa wa Mwanza Bw Nathan Makuchilo.
Pichani baadhi ya washiriki wa semina hiyo maalum wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh Magesa Mulongo wakati wa ufunguzi huo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAAFISA RASILIMALI WATU TOKA WILAYA YA ILALA WAGUSWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA MPANGO WA HIARI WA KUJIWEKEA AKIBA (VSRS) KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA GEPF
10 years ago
Vijimambo04 Mar
GEPF WATOA SEMINA KWA MAAFISA UTUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI JIJINI MBEYA
10 years ago
GPLGEPF WATOA SEMINA KWA MAAFISA UTUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI JIJINI MBEYA
10 years ago
MichuziMFUKO WA GEPF WATOA SEMINA MAALUM KWA WAMILIKI WA HOTELI NA NYUMBA ZA WAGENI (GUEST HOUSES) MKOANI DODOMA
10 years ago
MichuziMAAFISA UTUMISHI KUTOKA MIKOA YA LINDI NA MTWARA WAPATA ELIMU JUU YA MAENDELEO YA MFUKO WA PENSHENI WA GEPF
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Tume ya ‘Operesheni Tokomeza’ kutembelea mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara
Na Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya pili ya ziara yake katika Mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Katibu wa Tume hiyo Wakili Fredrick Manyanda (pichani), Tume hiyo itatembelea mikoa hiyo kuanzia keshokutwa Alhamisi, Oktoba 23, mwaka huu hadi tarehe Novemba...
10 years ago
Michuzi04 Jun
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*Cpnqx5EwM5AbApsmEh0GTx48VPYnIVkV-NGAebw6z4Lng4L-xe7*GftJVWlhW2HLBvx5PhjwGCedbIIWUIxxoml/Aloyce1.jpg?width=650)
WAHARIRI WAANDAMIZI WAHAMASIKA NA KUJIUNGA RASMI KATIKA MPANGO MAALUM WA KUJIWEKEA AKIBA (VSRS) KATIKA MFUKO WA GEPF WAKATI WA SEMINA MAALUM YA JUKWAA LA WAHARIRI ILIYOFANYIKA MJINI MTWARA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fYnj_wpttpw/U_BMyRKTwgI/AAAAAAABFd4/xUJlnYsorZU/s72-c/blog%2B11.jpg)
NSSF YAKUTANA NA MAAFISA RASILIMALI WATU WA TAASISI ZA KIFEDHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fYnj_wpttpw/U_BMyRKTwgI/AAAAAAABFd4/xUJlnYsorZU/s1600/blog%2B11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o2MpG3izoTY/U_BL3esnu0I/AAAAAAABFdc/lAgo3ckmTzQ/s1600/blog%2B6e.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ev_AQBJBVww/U_BL7-jIlSI/AAAAAAABFdo/MJ24xA3qfZU/s1600/blog%2B7.jpg)