Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge kutuma ofisa Saudia kuhesabu kura

Na Daniel Mjema na Sharon Sauwa, Mwananchi Dodoma. Ofisi ya Bunge la Katiba itamtuma ofisa wake kwenda Makka, Saudi Arabia kusimamia upigaji kura kupitisha Katiba inayopendekezwa kwa wajumbe wa Bunge hilo wanaokwenda Hijja. Hayo yalielezwa jana na Katibu wa Bunge hilo, Yahya Khamis Hamad alipotakiwa kueleza idadi kamili ya wajumbe wa Bunge hilo wanaotarajiwa kuwa nje ya nchi na jinsi watakavyopiga kura. Juzi, Bunge hilo lilizifanyia marekebisho kanuni zake ili kuwaruhusu wajumbe...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KATIBA MPYA: Bunge kutuma ofisa Saudia kusimamia kura

>Ofisi ya Bunge la Katiba itamtuma ofisa wake kwenda Makka, Saudi Arabia kusimamia upigaji kura kupitisha Katiba inayopendekezwa kwa wajumbe wa Bunge hilo wanaokwenda Hijja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa wajiandaa kuhesabu kura Mwanza

Maafisa wa uchaguzi wanajiandaa kuanza kuhesabu kura mjini Mwanza. Masanduku yenye kura zilizopigwa yamekuwa yakiwasili katika kituo kikuu cha kuhesabia kura.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake wapiga kura mara ya kwanza Saudia

Wapiga kura nchini Saudi Arabia wanashiriki kwenye uchaguzi wa manispaa ambao pia ndio wa kwanza kwa wanawake kukubaliwa kupiga kura.

 

10 years ago

Habarileo

Kamati ya Bunge yataka Ofisa Utumishi Nkasi ashushwe cheo

Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Bunge ya Hesabu za Serikali, Felister BuraKAMATI ndogo ya Bunge ya Hesabu za Serikali imeitaka Wizara inayohusika na Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (Tamisemi) kumuondoa na kumshusha cheo Ofisa Utumishi wa Halmashauri ya Nkasi, Deogratias Mboya.

 

10 years ago

Vijimambo

UMRI NI SAWA NA KUHESABU NAMBA 1, 2, 3

Babu kanyaga twende mjini kila mtu baby baby uzee mwisho kibaha habari ndiyo hii

 

11 years ago

Mwananchi

Kusoma, kuhesabu kunavyowasumbua wanafunzi shule za msingi

Tangu mwaka 2010, taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza kupitia mradi wake wa Uwezo, imekuwa ikifanya tafiti katika nchi za Afrika Mashariki zinazolenga kubaini uwezo wa watoto wa shule za msingi katika stadi za kusoma na kuhesabu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kura zataabisha Bunge la Katiba

BUNGE Maalum la Katiba, limepitisha azimio la kuzifanyia marekebisho kanuni za 30, 36 na 38 ili kuruhusu wajumbe watakaokuwa nje ya Bunge (ndani au nje ya nchi), wapige kura za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge kuamua kura yake leo

BUNGE Maalumu la Katiba leo litaamua aina ya kura itakayotumika kufanya uamuzi wakati wa kupitisha ibara au rasimu ya Katiba mpya. Hatua hiyo inatokana na wajumbe wa Bunge hilo kutofikia...

 

10 years ago

Vijimambo

Bunge la Katiba:Kura kupigwa ughaibuni

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, ametumia ‘ubabe’ kuongoza Bunge hilo kufanya marekebisho ya kanuni ili kuruhusu wajumbe watakaokuwa nje ya Bunge siku ya kupiga kura wafanye hivyo kwa kutumia mtandao.

Hali hiyo ilijitokeza wakati wajumbe waliokuwa wakipinga kufanyika kwa marekebisho hayo alipokuwa akiwaingilia na kuwakatisha na wakati mwingine kuwatuhumu kuwa ni waongo na wanazua kwamba, azimio hilo ni la kulazimisha ili wapige kura.

Alifanya hivyo wakati wajumbe watatu kwa nyakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani