Kura zataabisha Bunge la Katiba
BUNGE Maalum la Katiba, limepitisha azimio la kuzifanyia marekebisho kanuni za 30, 36 na 38 ili kuruhusu wajumbe watakaokuwa nje ya Bunge (ndani au nje ya nchi), wapige kura za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Kura bado kitendawili Bunge la Katiba
10 years ago
Vijimambo23 Sep
Bunge la Katiba:Kura kupigwa ughaibuni
![](http://api.ning.com/files/1zruj0PgXfiVqWmhTz7EkpJpSEdEJcu19PxRoRgM4slac27lAmPmI7j8XI0bw4BOC4H0Yr5huqmS7vzYVKVcOuxNyx6noB4x/RaisahutubiaBungelaKatiba1.jpg)
Hali hiyo ilijitokeza wakati wajumbe waliokuwa wakipinga kufanyika kwa marekebisho hayo alipokuwa akiwaingilia na kuwakatisha na wakati mwingine kuwatuhumu kuwa ni waongo na wanazua kwamba, azimio hilo ni la kulazimisha ili wapige kura.
Alifanya hivyo wakati wajumbe watatu kwa nyakati...
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Kura ya hapana yatikisa Bunge Maalumu la Katiba
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Mjumbe Bunge la Katiba apigia kura wodini
![Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba aliyepigwa na watu wasiojulikana, Thomas Mgoli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/mjumbe-hospitalini.jpg)
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba aliyepigwa na watu wasiojulikana, Thomas Mgoli
NA ESTHER MBUSSI, DODOMA
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba aliyepigwa na watu wasiojulikana, Thomas Mgoli, amepiga kura akiwa wodini katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma alikolazwa.
Mgoli alipiga kura jana akiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati namba 12, Thuwaibay Kissassi.
Alipiga kura ya wazi kwa kuzipigia kura ya ndiyo sura ya pili hadi ya tano isipokuwa ibara ya 59.
Akizungumza baada ya kupiga kura, ni...
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Kura ya siri, wazi kaa la moto Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Bunge la Katiba liahirishwe, twende kwenye kura ya maoni
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Kura ya siri yazua mjadala mkali #Bunge la #Katiba [VIDEO]
10 years ago
Mwananchi24 Sep
KATIBA MPYA: Bunge kutuma ofisa Saudia kusimamia kura
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Bunge la Katiba: Kanuni zisilazimishe kura ya wazi, usiri? [VIDEO]