Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kura bado kitendawili Bunge la Katiba

Wakati wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakipitisha Rasimu ya Kanuni za kuendesha Bunge hilo, suala la aina ya kura kwa ajili ya kuamua masuala mbalimbali, limekwama na litaamuliwa na wabunge baada ya kuanza kwa vikao rasmi vya Bunge hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ufunguzi Bunge la Katiba bado fumbo

MPAKA sasa haijulikani lini Bunge Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi, kutokana na kuendelea kusogezwa mbele kwa shughuli muhimu za Bunge hilo kabla ya kufunguliwa kwake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzimu wa serikali tatu bado walitesa Bunge la Katiba

 Mfumo wa muundo wa Muungano wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba umeendelea kuwa mzigo kwa Bunge la Katiba kutokana kuwapo kwa msigano mkubwa miongoni mwa wajumbe, licha ya wengi wao kuwa makada wa CCM.

 

10 years ago

Vijimambo

MADUKA MBEYA BADO NI KITENDAWILI

Wakaazi wa jijini Mbeya wakiwa hawajui la kufanya baada ya wenye maduka yao jijini hapa kugoma kufungua maduka yao kutokana na kinachodaiwa ya kutopewa dhamana kwa mwenyekiti Taifa wa wafanyabishara huku akitaka aachiwe huru.Maduku jijini Mbeya yakiwa yamefungwa.Maduka yakionekana bado yamefungwa.Ni shiida jijini Mbeya.Hii ndiyo hali halisi maduka bado hayajafunguliwa leo siku ya pili 
Picha na Mbeya yetu

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchumi wa Ugiriki bado ni kitendawili

Mawaziri wa fedha wa kanda wa umoja wa ulaya walioko mjini Brussels nchini Ubelgiji,wamehitimisha mkutano wao bila suluhu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jihadi John bado kitendawili

Baba wa Jasem Emwazi maarufu Jihadi John amekutana na BBC

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ukatili wa kijinsi bado ni kitendawili

UKATILI  dhidi ya Wanawake ni ukiukwaji  ulionea wa haki za binadamu , ni janga la kibinadamu katika jamii, na kikwazo cha kufikia usawa, maendeleo, usalama na amani.  Maneno “ukatili dhidi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kura zataabisha Bunge la Katiba

BUNGE Maalum la Katiba, limepitisha azimio la kuzifanyia marekebisho kanuni za 30, 36 na 38 ili kuruhusu wajumbe watakaokuwa nje ya Bunge (ndani au nje ya nchi), wapige kura za...

 

11 years ago

Mwananchi

Vitambulisho vya Taifa bado ni kitendawili

Tuliwahi kusema katika safu hii kwamba mpango wa Serikali wa kuandikisha wananchi ili kuwapatia vitambulisho vya Taifa hautafanikiwa kama matatizo yaliyokuwa yakigubika mpango huo hayangepatiwa ufumbuzi wa kudumu.

 

10 years ago

Habarileo

Akaunti ya Escrow bado kitendawili bungeni

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi JARIBIO la wabunge la kuishinikiza Serikali kuwasilisha bungeni ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu madai ya kuchotwa kwa zaidi ya Sh bilioni 200 kutoka katika akaunti ya Escrow, limekwama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani