MADUKA MBEYA BADO NI KITENDAWILI
![](http://lh5.ggpht.com/-AIt69-Tj1ks/VRU-ua96WkI/AAAAAAAAzxY/oGCxjgXYLpk/s72-c/20150327_092259-1.jpg)
Wakaazi wa jijini Mbeya wakiwa hawajui la kufanya baada ya wenye maduka yao jijini hapa kugoma kufungua maduka yao kutokana na kinachodaiwa ya kutopewa dhamana kwa mwenyekiti Taifa wa wafanyabishara huku akitaka aachiwe huru.
Maduku jijini Mbeya yakiwa yamefungwa.
Maduka yakionekana bado yamefungwa.
Ni shiida jijini Mbeya.
Hii ndiyo hali halisi maduka bado hayajafunguliwa leo siku ya pili
Picha na Mbeya yetu
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Ukatili wa kijinsi bado ni kitendawili
UKATILI dhidi ya Wanawake ni ukiukwaji ulionea wa haki za binadamu , ni janga la kibinadamu katika jamii, na kikwazo cha kufikia usawa, maendeleo, usalama na amani. Maneno “ukatili dhidi...
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Uchumi wa Ugiriki bado ni kitendawili
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Masoko kwa wakulima bado kitendawili
10 years ago
Habarileo05 Nov
Akaunti ya Escrow bado kitendawili bungeni
JARIBIO la wabunge la kuishinikiza Serikali kuwasilisha bungeni ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu madai ya kuchotwa kwa zaidi ya Sh bilioni 200 kutoka katika akaunti ya Escrow, limekwama.
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Kura bado kitendawili Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Vitambulisho vya Taifa bado ni kitendawili
9 years ago
MichuziWAKAZI WA JIJI LA MBEYA WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA KURA, MADUKA YAFUNGWA KUAJILI YA UCHAGUZI
Hapa ni eneo la Mwanjelwa maharufu kwa Jina la Mtaa wa kongo likiwa Pweke kuajili ya uchaguzi hakuna alie leta Biashara yake hapa siku hii ya leo.
Baadhii ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZLXQ7JsgPZI/XoLWv5HKqdI/AAAAAAALlpQ/RA4u_s10GG0PErca0ZP9YT9QlAFz4H7MgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200330-WA0133.jpg)
WAFANYABISHARA WANAOMILIKI MADUKA STENDI KUBWA YA MOSHI WAAMUA KUVUNJA KUFULI BAADA YA MANISPAA YA KUYAFUNGA MADUKA HAYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZLXQ7JsgPZI/XoLWv5HKqdI/AAAAAAALlpQ/RA4u_s10GG0PErca0ZP9YT9QlAFz4H7MgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200330-WA0133.jpg)
Na Woinde Shizza,KILIMANJARO
WAFANYABIASHARA 10 wanaomiliki maduka katika eneo la stendi kubwa Moshi mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuvunja kufuli mara baada ya kufungiwa maduka yao na mgambo wa Manispaa kwa madai kwamba sio wapangaji halali
Wakizungumzia tukio hilo kwa niaba ya wafanyabiashara hao Iren Charles ameleza kwamba wananyanyasika na Mgambo wa Manispaa ya Moshi kwa kuwavamia na kufunga maduka yao hivyo kukazimika kuvunja kufuli hizo.
Ameeleza kuwa walifungua kesi Mahakamani...