Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADUKA MBEYA BADO NI KITENDAWILI

Wakaazi wa jijini Mbeya wakiwa hawajui la kufanya baada ya wenye maduka yao jijini hapa kugoma kufungua maduka yao kutokana na kinachodaiwa ya kutopewa dhamana kwa mwenyekiti Taifa wa wafanyabishara huku akitaka aachiwe huru.Maduku jijini Mbeya yakiwa yamefungwa.Maduka yakionekana bado yamefungwa.Ni shiida jijini Mbeya.Hii ndiyo hali halisi maduka bado hayajafunguliwa leo siku ya pili 
Picha na Mbeya yetu

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Ukatili wa kijinsi bado ni kitendawili

UKATILI  dhidi ya Wanawake ni ukiukwaji  ulionea wa haki za binadamu , ni janga la kibinadamu katika jamii, na kikwazo cha kufikia usawa, maendeleo, usalama na amani.  Maneno “ukatili dhidi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jihadi John bado kitendawili

Baba wa Jasem Emwazi maarufu Jihadi John amekutana na BBC

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchumi wa Ugiriki bado ni kitendawili

Mawaziri wa fedha wa kanda wa umoja wa ulaya walioko mjini Brussels nchini Ubelgiji,wamehitimisha mkutano wao bila suluhu.

 

11 years ago

Mwananchi

Masoko kwa wakulima bado kitendawili

Kilimo ni sekta mama kwa uchumi wa Tanzania, inaajiri karibu asilimia 80 ya Watanzania, wengi wao wakiishi vijijini. Mbali na ajira, kilimo ndiyo chanzo kikuu cha chakula kwa taifa na huchangia asilimia 50 ya Pato la Taifa na asilimia 75 ya mauzo ya nje.

 

10 years ago

Habarileo

Akaunti ya Escrow bado kitendawili bungeni

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi JARIBIO la wabunge la kuishinikiza Serikali kuwasilisha bungeni ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu madai ya kuchotwa kwa zaidi ya Sh bilioni 200 kutoka katika akaunti ya Escrow, limekwama.

 

11 years ago

Mwananchi

Kura bado kitendawili Bunge la Katiba

Wakati wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakipitisha Rasimu ya Kanuni za kuendesha Bunge hilo, suala la aina ya kura kwa ajili ya kuamua masuala mbalimbali, limekwama na litaamuliwa na wabunge baada ya kuanza kwa vikao rasmi vya Bunge hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Vitambulisho vya Taifa bado ni kitendawili

Tuliwahi kusema katika safu hii kwamba mpango wa Serikali wa kuandikisha wananchi ili kuwapatia vitambulisho vya Taifa hautafanikiwa kama matatizo yaliyokuwa yakigubika mpango huo hayangepatiwa ufumbuzi wa kudumu.

 

9 years ago

Michuzi

WAKAZI WA JIJI LA MBEYA WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA KURA, MADUKA YAFUNGWA KUAJILI YA UCHAGUZI

Wakazi wa Jiji la Mbeya Mjini wajitokeza kwa wingi kupiga kura katika Vituo mbalimbali walivyo jiandikishia kuajili ya kupiga Kura kama waonekanavyo hapo katika Picha ni baadhi ya watu wakiwa katika kituo kilichopo Mtaa wa Mkombozi Jijini Mbeya wakiwa wamepanga Foleni kuajili ya kupiga Kura.Baadhi ya Wapiga kura wakiwa katika Foleni..
Hapa ni eneo la Mwanjelwa maharufu kwa Jina la Mtaa wa kongo likiwa Pweke kuajili ya uchaguzi hakuna alie leta Biashara yake hapa siku hii ya leo.
Baadhii ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABISHARA WANAOMILIKI MADUKA STENDI KUBWA YA MOSHI WAAMUA KUVUNJA KUFULI BAADA YA MANISPAA YA KUYAFUNGA MADUKA HAYO

 
 Na Woinde Shizza,KILIMANJARO

WAFANYABIASHARA 10  wanaomiliki maduka katika eneo la stendi kubwa Moshi mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuvunja kufuli mara baada ya kufungiwa maduka yao   na mgambo wa Manispaa kwa madai kwamba sio wapangaji halali

Wakizungumzia tukio hilo kwa niaba ya wafanyabiashara hao Iren Charles ameleza kwamba wananyanyasika na Mgambo wa Manispaa ya Moshi kwa  kuwavamia na kufunga maduka yao hivyo kukazimika kuvunja kufuli hizo.

Ameeleza kuwa  walifungua kesi Mahakamani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani