WAFANYABISHARA WANAOMILIKI MADUKA STENDI KUBWA YA MOSHI WAAMUA KUVUNJA KUFULI BAADA YA MANISPAA YA KUYAFUNGA MADUKA HAYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZLXQ7JsgPZI/XoLWv5HKqdI/AAAAAAALlpQ/RA4u_s10GG0PErca0ZP9YT9QlAFz4H7MgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200330-WA0133.jpg)
Na Woinde Shizza,KILIMANJARO
WAFANYABIASHARA 10 wanaomiliki maduka katika eneo la stendi kubwa Moshi mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuvunja kufuli mara baada ya kufungiwa maduka yao na mgambo wa Manispaa kwa madai kwamba sio wapangaji halali
Wakizungumzia tukio hilo kwa niaba ya wafanyabiashara hao Iren Charles ameleza kwamba wananyanyasika na Mgambo wa Manispaa ya Moshi kwa kuwavamia na kufunga maduka yao hivyo kukazimika kuvunja kufuli hizo.
Ameeleza kuwa walifungua kesi Mahakamani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiIr9s40Eet-FOz2NIBdsjjpdpTl23aR7Aa6i1SctOEtiuQnLjox8WSjinKtwnPq5fVBYHWMOq6TctRwiS3oNXGr/duka2.jpg?width=650)
MGOMO WA WENYE MADUKA KUPINGA KUPANDISHIWA KODI MJINI MOSHI
10 years ago
Habarileo27 Sep
Wavamia maduka Kibaha na kupora
HUKU ikiwa imepita wiki moja tangu mfanyabiashara wa Dar es Salaam, Mahoro Mlelwa kupigwa risasi na majambazi na kufa eneo la Maili Moja wilayani Kibaha watu wenye silaha za jadi wamevamia maduka na kupora.
11 years ago
Habarileo28 Jan
Maduka 50 ya dawa muhimu yafungwa
MADUKA zaidi ya 50 ya dawa muhimu katika Manispaa ya Dodoma, yamefungwa kutokana na kuendeshwa bila kuzingatia sheria na taratibu huku baadhi yake yakituhumiwa kujihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Kufungwa kwa maduka hayo kunafuatia zoezi la kushtukiza la kukagua lililoendeshwa na Baraza la Famasi Nchini kwa kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa Dodoma.
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Moto wateketeza maduka Tanga
MADUKA manne yameteketea kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme barabara ya 14 jirani na stendi ya mabasi yaendayo mikoani jijini Tanga, usiku wa kuamkia jana. Moto huo uliozuka majira...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Baraza la Famasia lafungia maduka
BARAZA la Famasia Tanzania limeyafungia maduka ya dawa mbalimbali nchini yaliyokuwa yakifanya biashara bila kufuata taratibu na sheria. Akizungumza na Tanzania Daima mwishoni mwa wiki, Mratibu wa Mpango wa Maduka...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Uchumi yafunga maduka yake TZ na UG
10 years ago
Vijimambo![](http://lh5.ggpht.com/-AIt69-Tj1ks/VRU-ua96WkI/AAAAAAAAzxY/oGCxjgXYLpk/s72-c/20150327_092259-1.jpg)
MADUKA MBEYA BADO NI KITENDAWILI
![](http://lh5.ggpht.com/-AIt69-Tj1ks/VRU-ua96WkI/AAAAAAAAzxY/oGCxjgXYLpk/s640/20150327_092259-1.jpg)
![](http://lh5.ggpht.com/-rhgCClnD-6k/VRU--mhNwkI/AAAAAAAAzxg/kHF2ggy1zXQ/s640/20150327_093144.jpg)
![](http://lh6.ggpht.com/-MoxNb25AFL0/VRU_HW4TqYI/AAAAAAAAzxo/lio4zxg7qMA/s640/20150327_093110.jpg)
![](http://lh5.ggpht.com/-TjgxPl-NoRs/VRU_VNTnwTI/AAAAAAAAzxw/RMwTyHkaJcs/s640/20150327_092459.jpg)
![](http://lh5.ggpht.com/-cU2PdlrgAUk/VRU_duOx1kI/AAAAAAAAzx4/pXlziTQR9F4/s640/20150327_092149.jpg)
![](http://lh4.ggpht.com/-rRZpk_hMsbU/VRU_l8t3udI/AAAAAAAAzyA/nfgrV3Yx-9A/s640/20150327_092218.jpg)
Picha na Mbeya yetu
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Moto watekeza maduka Kibaha
MADUKA nane katika mji wa Mailimoja Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani yameteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa kwa wafanyabiashara wamiliki wa maduka hayo. Tukio hilo lilitokea juzi majira ya...