Wavamia maduka Kibaha na kupora
HUKU ikiwa imepita wiki moja tangu mfanyabiashara wa Dar es Salaam, Mahoro Mlelwa kupigwa risasi na majambazi na kufa eneo la Maili Moja wilayani Kibaha watu wenye silaha za jadi wamevamia maduka na kupora.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Mar
Wavamia gesti na kupora mil 13/-
WATU wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha wamevamia nyumba ya kulala wageni kijijini Mtowisa Bonde la Ziwa Rukwa, wilayani Sumbawanga na kuwapora wafanya biashara ya ng'ombe zaidi ya Sh milioni 13 fedha taslimu.
9 years ago
Habarileo07 Nov
Majambazi wavamia duka la M-Pesa na kupora fedha
VIJANA wawili wakiwa na silaha wamevamia duka la M-Pesa mjini Tabora na kumteka mhudumu wa duka hilo kabla ya kumwamuru atoe fedha zote alizokuwa nazo pamoja na simu anazotumia.
9 years ago
Bongo507 Dec
Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean
![big-sean](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/big-sean-300x194.jpg)
Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.
Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Wafanyabiashara Kibaha wafunga maduka
WAFANYABIASHARA zaidi ya 50 wa mji wa Kibaha Mkoani Pwani, wamefunga maduka yao kuwaunga mkono wafanyabiashara saba waliofungiwa maduka na Mamlaka ya Mapato (TRA), mkoani hapa kutokana na kukosa mashine...
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Moto watekeza maduka Kibaha
MADUKA nane katika mji wa Mailimoja Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani yameteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa kwa wafanyabiashara wamiliki wa maduka hayo. Tukio hilo lilitokea juzi majira ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZLXQ7JsgPZI/XoLWv5HKqdI/AAAAAAALlpQ/RA4u_s10GG0PErca0ZP9YT9QlAFz4H7MgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200330-WA0133.jpg)
WAFANYABISHARA WANAOMILIKI MADUKA STENDI KUBWA YA MOSHI WAAMUA KUVUNJA KUFULI BAADA YA MANISPAA YA KUYAFUNGA MADUKA HAYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZLXQ7JsgPZI/XoLWv5HKqdI/AAAAAAALlpQ/RA4u_s10GG0PErca0ZP9YT9QlAFz4H7MgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200330-WA0133.jpg)
Na Woinde Shizza,KILIMANJARO
WAFANYABIASHARA 10 wanaomiliki maduka katika eneo la stendi kubwa Moshi mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuvunja kufuli mara baada ya kufungiwa maduka yao na mgambo wa Manispaa kwa madai kwamba sio wapangaji halali
Wakizungumzia tukio hilo kwa niaba ya wafanyabiashara hao Iren Charles ameleza kwamba wananyanyasika na Mgambo wa Manispaa ya Moshi kwa kuwavamia na kufunga maduka yao hivyo kukazimika kuvunja kufuli hizo.
Ameeleza kuwa walifungua kesi Mahakamani...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IgFolVmSdDc/VikjJaybHvI/AAAAAAADBTo/f7T2dsjsQD4/s72-c/_MG_8626.jpg)
Magufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-IgFolVmSdDc/VikjJaybHvI/AAAAAAADBTo/f7T2dsjsQD4/s640/_MG_8626.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v71L4Lfc83g/VikjJoulG3I/AAAAAAADBTs/ynUqrQMxGMs/s640/_MG_8581.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VeSlQCeD2Lw/VikjSh8EWJI/AAAAAAADBUU/roQcPwLizU0/s640/_MG_8765.jpg)
11 years ago
Michuzi03 Feb
Mkutano wa M4C Operesheni Pamoja Daima,Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe Atua Kibaha na Chopa Nakuhutubia Mamia ya Wananchi wa Mji wa Kibaha
![](https://2.bp.blogspot.com/-UgXJcsGVZ1Q/Uu-5Cpc7jKI/AAAAAAACoOo/LKT-bkV7Oro/s1600/Mbowe+kuhutubia+Kibaha.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnyOd2laooo/Uu-5CPTSPdI/AAAAAAACoOg/bII30qq6ma0/s1600/Kukabidhi+kadi+2.jpg)
10 years ago
Habarileo15 Oct
JKT wadaiwa kupora samaki
WAVUVI wanaovua samaki katika Ziwa Victoria eneo la Kijiji cha Mugara, Kata ya Iramba Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia watu wanaodaiwa kuwa askari wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kuvamia na kupora zana zao za uvuvi na samaki.