Wavamia gesti na kupora mil 13/-
WATU wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha wamevamia nyumba ya kulala wageni kijijini Mtowisa Bonde la Ziwa Rukwa, wilayani Sumbawanga na kuwapora wafanya biashara ya ng'ombe zaidi ya Sh milioni 13 fedha taslimu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Sep
Wavamia maduka Kibaha na kupora
HUKU ikiwa imepita wiki moja tangu mfanyabiashara wa Dar es Salaam, Mahoro Mlelwa kupigwa risasi na majambazi na kufa eneo la Maili Moja wilayani Kibaha watu wenye silaha za jadi wamevamia maduka na kupora.
9 years ago
Habarileo07 Nov
Majambazi wavamia duka la M-Pesa na kupora fedha
VIJANA wawili wakiwa na silaha wamevamia duka la M-Pesa mjini Tabora na kumteka mhudumu wa duka hilo kabla ya kumwamuru atoe fedha zote alizokuwa nazo pamoja na simu anazotumia.
9 years ago
Bongo507 Dec
Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean
![big-sean](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/big-sean-300x194.jpg)
Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.
Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...
11 years ago
Habarileo06 Jul
Polisi waua waliotaka kupora mil. 100/-
Polisi jijini Arusha wamewaua watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi ikidaiwa walikuwa wakijiandaa kuiba kiasi cha Sh milioni 100 kutoka kwenye duka la utengenezaji na uuzaji wa vigae linalojulikana kwa jina la Arusha Islamic Center lililopo eneo la Esso.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJWh0QdBBecC1ZEw83YEwg-P1ZhSbReqM-2AKNGAPArarzP78pZ0IauK58oq1Tmb4q0jyhpFVkvVdw37MeBUxXL/mkewamtu.jpg?width=650)
MFANYABIASHARA KARIAKOO AKUTWA GESTI NA SHEMEJIYE GESTI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJA6h*SaGxqh6X31ZRZzXdQe5H7Yxsd7u0rvjtr5Cf*7wBPHT9v8ZiLlJ6aK6IdLnbhVzQWm0tZ0GEGO6EsOXOMs/gojwa.jpg?width=650)
GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0125-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0126-1024x682.jpg)
………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.