Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean
Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.
Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo07 Nov
Majambazi wavamia duka la M-Pesa na kupora fedha
VIJANA wawili wakiwa na silaha wamevamia duka la M-Pesa mjini Tabora na kumteka mhudumu wa duka hilo kabla ya kumwamuru atoe fedha zote alizokuwa nazo pamoja na simu anazotumia.
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Nyumba ya Big Sean yavamiwa na majambazi
LOS ANGELES, MAREKANI
WIKI iliyopita ilikuwa ngumu kwa msanii wa muziki nchini Marekani, Big Sean, baada ya nyumba yake kuvamiwa na watu wasiojulikana.
Wakati wa tukio hilo la uvamizi msanii huyo hakuwepo nchini Marekani ambapo watu hao walifanikiwa kuchukua vitu mbalimbali vikiwamo pamoja na cheni za dhahabu na kompyuta ambayo ilikuwa na nyimbo zake mpya.
Msanii huyo amesema baada ya kupiga hesabu ya vitu ambavyo vimepotea kutokana na wizi huo thamani yake imefikia zaidi ya milioni...
10 years ago
Habarileo27 Sep
Wavamia maduka Kibaha na kupora
HUKU ikiwa imepita wiki moja tangu mfanyabiashara wa Dar es Salaam, Mahoro Mlelwa kupigwa risasi na majambazi na kufa eneo la Maili Moja wilayani Kibaha watu wenye silaha za jadi wamevamia maduka na kupora.
11 years ago
Habarileo13 Mar
Wavamia gesti na kupora mil 13/-
WATU wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha wamevamia nyumba ya kulala wageni kijijini Mtowisa Bonde la Ziwa Rukwa, wilayani Sumbawanga na kuwapora wafanya biashara ya ng'ombe zaidi ya Sh milioni 13 fedha taslimu.
11 years ago
Habarileo16 Jan
Vibaka wavamia, waiba nyumbani kwa Nyerere
NYUMBA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, inayotumiwa na mjane wake, Mama Maria na familia, wiki imevamiwa na vibaka usiku na kuvunjwa. Taarifa zilizofikia gazeti hili jana zilibainisha kuwa vibaka hao walipitia upande wa ufukweni usiku wa manane, wakavunja dirisha na kuingia.
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Ukawa wavamia nyumbani kwa Rais Kikwete
Na Elias Msuya, Bagamoyo
MGOMBEA Mwenza wa Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, ametinga wilayani Bagamoyo na msafara wake ikiwa ni mwendelezo wa safari zake za kampeni.
Wakizungumza katika mkutano huo uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Majengo, makada wa umoja huo, waliwataka wananchi wa Bagamoyo kumchagua mgombea urais, Edward Lowassa, ili atatue kero zao.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Zanzibar), Ali Said Mohamed, alisema wilaya hiyo ndiko anakotoka...
11 years ago
Habarileo30 Jul
Majambazi washtukiwa wakitaka kupora benki
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linaendelea kuwatafuta watu watano wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliofika katika Benki ya Stanbic tawi la Kariakoo juzi mchana kwa lengo la kufanya uporaji.
10 years ago
Vijimambo04 Aug
MAJAMBAZI 4 YAUAWA NA POLISI MBEYA YAKIJARIBU KUPORA DUKANI
![](https://mmi240.whatsapp.net/d/wT5tz8FkWsZKIIUaMJCdMFW_qmo/Aqj1I905-4vIaHde0jEarIiwz395B3bmPmoAh1CMGf6w.jpg)
Leo hii majira ya saa 11:30hrs majambazi 4 wote raia wa Zambia, wakiwa na silaha SMG na STERLING GUN walivamia mfanyabiashara mmoja dukani kwake Tunduma Wilaya ya Momba ambako, waendesha bodaboda wakiripoti tukio hilo u jambazi, bila kuchelewa wananchi kwa kushirikiana na Polisi walikwenda kupambana na majambazi hao (Live) na mapambano hayo yalidumu kwa zaidi masaa mawili na mwisho wa mapambano majambazi walizidiwa nguvu na waliokamatwa na bundiki zao mbaroni.
![](https://mmi230.whatsapp.net/d/mkaWnFgHi4uOYP0_Ks4wQVW_qmo/ArWB7LAY2svWiUyuKMdNpREUUiJRMEmBnut9lAhN7tB1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo69ogqVj59l2a13jJ*sTW4-jSuOGFjGot2xEW88vmsOQuk6ZKGsnrLNErab9Ab2f5B9Nb7b9NVLFH1WPYvnZCup/MAJAMBAZI5.jpg)
MAJAMBAZI WAUWA WAWILI NA KUPORA PESA ZA KAMPUNI YA BONITE MOSHI