Ukawa wavamia nyumbani kwa Rais Kikwete
Na Elias Msuya, Bagamoyo
MGOMBEA Mwenza wa Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, ametinga wilayani Bagamoyo na msafara wake ikiwa ni mwendelezo wa safari zake za kampeni.
Wakizungumza katika mkutano huo uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Majengo, makada wa umoja huo, waliwataka wananchi wa Bagamoyo kumchagua mgombea urais, Edward Lowassa, ili atatue kero zao.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Zanzibar), Ali Said Mohamed, alisema wilaya hiyo ndiko anakotoka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 Jan
Vibaka wavamia, waiba nyumbani kwa Nyerere
NYUMBA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, inayotumiwa na mjane wake, Mama Maria na familia, wiki imevamiwa na vibaka usiku na kuvunjwa. Taarifa zilizofikia gazeti hili jana zilibainisha kuwa vibaka hao walipitia upande wa ufukweni usiku wa manane, wakavunja dirisha na kuingia.
10 years ago
GPL01 Mar
9 years ago
Bongo507 Dec
Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean
![big-sean](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/big-sean-300x194.jpg)
Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.
Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Rais Kikwete atoa pole nyumbani kwa marehemu Jaji Mstaafu Lewis Makame
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Agosti, 2014.
Mama Salma Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ugF8R4GTRbo/U-bCS26FV7I/AAAAAAAF-LI/8NjMHQgv1fI/s72-c/uk1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA MJINI DUBAI WAKIWA NJIANI KUREJEA NYUMBANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ugF8R4GTRbo/U-bCS26FV7I/AAAAAAAF-LI/8NjMHQgv1fI/s1600/uk1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lc_GFdYyXwE/U-bCUDrj64I/AAAAAAAF-LU/1AbY9n-ufuA/s1600/uk2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uGIVdkcQHqE/VbeUi8yNZCI/AAAAAAAAyi4/PPdSLGnRyLE/s72-c/Kikwete-and-Lowassa.jpg)
TWEET YA RAIS KIKWETE BAADA YA KUSIKIA LOWASA KAJISALIMISHA KWA UKAWA JITIRIRISHE CHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-uGIVdkcQHqE/VbeUi8yNZCI/AAAAAAAAyi4/PPdSLGnRyLE/s640/Kikwete-and-Lowassa.jpg)
While everyone is talking about Hon. Edward Lowassa and UKAWA right now, the is one of the more recent tweets from the President of Tanzania Hon. Dr. Jakaya Kiwete. I’m just wondering if it has anything to do with the Lowassa-UKAWA issue.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gVVcB5HIxEI/VbeU1Rm0pzI/AAAAAAAAyjA/GOUlXjUPeDA/s640/Kikwete-Tweet-e1438079537317.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nceFuSRPA6o/VVHKuVxpt0I/AAAAAAAHWzc/1SgiIxPj3Ok/s72-c/ag1.jpg)
RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA RASMI YA ALGERIA, AREJEA NYUMBANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nceFuSRPA6o/VVHKuVxpt0I/AAAAAAAHWzc/1SgiIxPj3Ok/s640/ag1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YeIv5RgObQo/VVHKuu1MnBI/AAAAAAAHWzk/Dv61DLlYrII/s640/ag2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uIz6VmbRyEo/VVHKufv8LBI/AAAAAAAHWzg/4FMYFgWDhbg/s640/ag3.jpg)