Vibaka wavamia, waiba nyumbani kwa Nyerere
NYUMBA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, inayotumiwa na mjane wake, Mama Maria na familia, wiki imevamiwa na vibaka usiku na kuvunjwa. Taarifa zilizofikia gazeti hili jana zilibainisha kuwa vibaka hao walipitia upande wa ufukweni usiku wa manane, wakavunja dirisha na kuingia.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Ukawa wavamia nyumbani kwa Rais Kikwete
Na Elias Msuya, Bagamoyo
MGOMBEA Mwenza wa Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, ametinga wilayani Bagamoyo na msafara wake ikiwa ni mwendelezo wa safari zake za kampeni.
Wakizungumza katika mkutano huo uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Majengo, makada wa umoja huo, waliwataka wananchi wa Bagamoyo kumchagua mgombea urais, Edward Lowassa, ili atatue kero zao.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Zanzibar), Ali Said Mohamed, alisema wilaya hiyo ndiko anakotoka...
9 years ago
Bongo507 Dec
Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean
![big-sean](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/big-sean-300x194.jpg)
Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.
Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
10 years ago
Habarileo01 Sep
Wafanyabiashara waiba kwa risiti feki
UHAKIKI wa matumizi ya mashine maalumu za risiti za kielektroniki (EFDs) umebaini udanganyifu na wizi miongoni mwa wafanyabiashara wakiwemo baadhi wanaodaiwa kuwapa wateja risiti zenye kiwango pungufu na kiasi kilichotolewa.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4jPgj30KedQ/U94CgNQJsYI/AAAAAAAF8ko/n6qzIk9aZ9Q/s72-c/unnamed+(12).jpg)
WAKE WA VIONGOZI WAMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE NYUMBANI KWAKE MSASANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-4jPgj30KedQ/U94CgNQJsYI/AAAAAAAF8ko/n6qzIk9aZ9Q/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ltWHT1J-rh8/U94Cgc9phnI/AAAAAAAF8k4/dbamM2S3-kM/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyhpmhPCnY5yNrrHg1wt7YHfqGdTfhdGn3FfsmvezU1RYhf*e0wYHfULXM*FCuVgJVcfWmozVnxxujDJ--jRyo1*/VIBAKA7.jpg)
VIBAKA WANUSURIKA KUUAWA KWA KIPIGO JIJINI MWANZA LEO
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Wanachama Yanga wavamia kwa Mosha
BAADA ya mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC kupeleka kilio Jangwani kwa kuwanasa wachezaji wawili wa Yanga, wanachama wa klabu hiyo wamevamia nyumbani kwa aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti, Davis...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZDBt_bleUvc/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Wananchi wavamia kituo cha polisi, wachoma moto magari manne, wafunga barabara kwa saa 5