Majambazi wavamia duka la M-Pesa na kupora fedha
VIJANA wawili wakiwa na silaha wamevamia duka la M-Pesa mjini Tabora na kumteka mhudumu wa duka hilo kabla ya kumwamuru atoe fedha zote alizokuwa nazo pamoja na simu anazotumia.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Dec
Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean
![big-sean](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/big-sean-300x194.jpg)
Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.
Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo69ogqVj59l2a13jJ*sTW4-jSuOGFjGot2xEW88vmsOQuk6ZKGsnrLNErab9Ab2f5B9Nb7b9NVLFH1WPYvnZCup/MAJAMBAZI5.jpg)
MAJAMBAZI WAUWA WAWILI NA KUPORA PESA ZA KAMPUNI YA BONITE MOSHI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MAJAMBAZI YAUA ASKARI NA KUPORA FEDHA BENKI YA NMB, MKURANGA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9XO0iVqomug/VMKw78ONDQI/AAAAAAAG_NM/3pctYRSdRBI/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: majambazi wawili wauwawa katika jaribio la kupora pesa kariakoo, Dar es salaam usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-9XO0iVqomug/VMKw78ONDQI/AAAAAAAG_NM/3pctYRSdRBI/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hF70Av9Mx6Y/VMKw8PkcR0I/AAAAAAAG_NQ/VJITQghw-7E/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Habarileo13 Mar
Wavamia gesti na kupora mil 13/-
WATU wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha wamevamia nyumba ya kulala wageni kijijini Mtowisa Bonde la Ziwa Rukwa, wilayani Sumbawanga na kuwapora wafanya biashara ya ng'ombe zaidi ya Sh milioni 13 fedha taslimu.
10 years ago
Habarileo27 Sep
Wavamia maduka Kibaha na kupora
HUKU ikiwa imepita wiki moja tangu mfanyabiashara wa Dar es Salaam, Mahoro Mlelwa kupigwa risasi na majambazi na kufa eneo la Maili Moja wilayani Kibaha watu wenye silaha za jadi wamevamia maduka na kupora.
11 years ago
Habarileo30 Jul
Majambazi washtukiwa wakitaka kupora benki
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linaendelea kuwatafuta watu watano wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliofika katika Benki ya Stanbic tawi la Kariakoo juzi mchana kwa lengo la kufanya uporaji.
10 years ago
Vijimambo04 Aug
MAJAMBAZI 4 YAUAWA NA POLISI MBEYA YAKIJARIBU KUPORA DUKANI
![](https://mmi240.whatsapp.net/d/wT5tz8FkWsZKIIUaMJCdMFW_qmo/Aqj1I905-4vIaHde0jEarIiwz395B3bmPmoAh1CMGf6w.jpg)
Leo hii majira ya saa 11:30hrs majambazi 4 wote raia wa Zambia, wakiwa na silaha SMG na STERLING GUN walivamia mfanyabiashara mmoja dukani kwake Tunduma Wilaya ya Momba ambako, waendesha bodaboda wakiripoti tukio hilo u jambazi, bila kuchelewa wananchi kwa kushirikiana na Polisi walikwenda kupambana na majambazi hao (Live) na mapambano hayo yalidumu kwa zaidi masaa mawili na mwisho wa mapambano majambazi walizidiwa nguvu na waliokamatwa na bundiki zao mbaroni.
![](https://mmi230.whatsapp.net/d/mkaWnFgHi4uOYP0_Ks4wQVW_qmo/ArWB7LAY2svWiUyuKMdNpREUUiJRMEmBnut9lAhN7tB1.jpg)
11 years ago
CloudsFM18 Jun
MAJAMBAZI WAUAWA NA WANANCHI KATIKA JARIBIO LA KUPORA BENKI, DAR
Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakiwa katika jaribio la kutaka kupora fedha kwa mmoja wa wateja aliyekuwa ndani ya benki ya NMB tawi la uwanja wa ndege,wakiwa na pikipiki aina ya Boxer wameuawa na wananchi waliamua kujichukulia sheria mkononi,huku jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar-es-Salaam likiwashikilia watu watatu mmoja akiwa ni mganga aliyekuwa akiwatibu kwa nguvu za giza na kudai kuwapa nguvu.
Kamanda wa polisi kanda ya maalumu ya Dar-es-salaam,kamishana wa polisi Selemani...