Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyumba ya Big Sean yavamiwa na majambazi

big-sean-LOS ANGELES, MAREKANI

WIKI iliyopita ilikuwa ngumu kwa msanii wa muziki nchini Marekani, Big Sean, baada ya nyumba yake kuvamiwa na watu wasiojulikana.

Wakati wa tukio hilo la uvamizi msanii huyo hakuwepo nchini Marekani ambapo watu hao walifanikiwa kuchukua vitu mbalimbali vikiwamo pamoja na cheni za dhahabu na kompyuta ambayo ilikuwa na nyimbo zake mpya.

Msanii huyo amesema baada ya kupiga hesabu ya vitu ambavyo vimepotea kutokana na wizi huo thamani yake imefikia zaidi ya milioni...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean

big-sean

Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.

big-sean

Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.

Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...

 

11 years ago

GPL

BENKI YA BARCLAYS TAWI LA KINONDONI YAVAMIWA NA MAJAMBAZI

Watu wasiojulikana wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia benki ya Barclays tawi la Kinondoni na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo idadi yake haijajulikana mara moja. Tukio hilo limetokea muda huu saa nne , katika tawi la benki hiyo iliyopo Kinondoni eneo la Bakwata likihusisha watu watatu waliokuwa na pikipiki mmoja wao akiwa na bastola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyumba ya Chris Brown yavamiwa

Nyumba ya nyota wa muziki Chris Brown kutoka Marekani imevamiwa na kupekuliwa na watu watatu waliofunika nyuso zao ambao walimfungia shangazi lake ndani chumba chake kulingana na maafisa wa polisi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyumba ya kigogo CHADEMA yavamiwa

NYUMBA ya Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), John Heche, iliyopo Mabibo Loyola, jijini Dar es Salaam, imevamiwa na watu wasiojulikana, ambapo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nyumba ya Askofu Tutu yavamiwa

Wezi wamevunja na kuingia nyumbani kwa Askofu mstaafu Desmond Tutu.

 

9 years ago

Global Publishers

Ile Albamu ya Big Sean sasa imeiva

PushaT_Nico_SKGZ_0006Pusha T

RAPA na Meneja wa lebel ya G.O.O.D Music, Pusha T amethibitisha kuwa album mpya ya Big Sean inaelekea kukamilika na itatolewa rasmi mwanzoni mwa mwaka 2016.

big-sean-discographyBig Sean

Big Sean alishika nafasi ya juu kwenye chati na albamu yake ya tatu ya Dark Sky Paradise mwaka huu.

Kwa upande wake Pusha T alisema anaprojekti ya kuitangaza albamu yake mpya ya King Push – Darkest Before Dawn iliyoshika namba 20 kwenye billboard katika wiki yake ya kwanza, projekti itayomalizika Aprili kwenye miji...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Big Sean — Dark Sky (Skyscrapers) (Explicit)

Rapper Big Sean ametoa video mpya ya wimbo wa “Dark Sky (Skyscrapers)”.Katika hii video Big Sean anaonekana akiwa juu ya lift katika jengo flani na akiwa anaelekea juu na mwendo wa taratibu ambao unaochukua muda mrefu, Jina la wimbo [Skyscrapers] maana yake ni majengo marefu.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Tori Kelly feat. Big Sean — Hollow (Remix)

tori-sean

Oh God. Pop sensation Tori Kelly calls on Big Sean for the official remix to her new single “Hollow.” Over pounding drums, the Detroit rapper serenades his baby girl (“No sippy cup”), the one that he plans to take “home to mama,” and even throws in a shout-out to Home Alone and Macaulay Culkin.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Big Sean feat. Pharrell & Detail – What a Year

sean-glow-340x330

As the curtain closes on 2015, Big Sean celebrates the “best year of [his] life” on a brand new song entitled “What a Year” featuring Pharrell Williams and Detail. Following a whirlwind year, the Detroit rapper reflects on going from “broke to breaking records,” playing shows in Rio with RiRi, his love life (“This year I’m done with crazy hos”), and the loss of his grandmother (“As long as I’m around, she gon’ be here in my DNA”), while Pharrell provides the hook (“It’s like I hit the light...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani