Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Video: Big Sean — Dark Sky (Skyscrapers) (Explicit)

Rapper Big Sean ametoa video mpya ya wimbo wa “Dark Sky (Skyscrapers)”.Katika hii video Big Sean anaonekana akiwa juu ya lift katika jengo flani na akiwa anaelekea juu na mwendo wa taratibu ambao unaochukua muda mrefu, Jina la wimbo [Skyscrapers] maana yake ni majengo marefu.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Model aliyecheza video ya Big Sean na Chris Brown kuonekana kwenye video ya Mayunga

12292729_1514452005519363_325519831_n

Mayunga yupo nchini Marekani alikoenda kufanya wimbo na Akon. Wimbo huo ni sehemu ya mambo anayotakiwa kufanya baada ya kushinda shindano la Airtel Trace Music Star.

12277656_1665325393744095_1161270589_n

Tayari wawili hao wamesharekodi wimbo huo na kinachofuata sasa ni video ya muziki.

Alhamis hii Mayunga alieleza kupitia Instagram kuwa model atakayetumika kwenye video hiyo aliwahi kutumika kwenye video ya wimbo wa Big Sean na Chris Brown.

“Anaitwa @itsssvia unaweza kumtazama katika video ya big sean ft chris brown alionekana...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Puff Daddy & The Family feat. Travis Scott & Big Sean – ‘Workin (Remix)’

bs-workin

Baada ya kuachia album yake ya MMM, Mkurugenzi wa lebo ya Bad Boy Entertainment, P Diddy ameachia video mpya ya remix ya “Workin”. Amewashirikisha Travis Scott na Big Sean hii ni single inayopatikana kwenye Album hii mpya ya Diddy.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

5 years ago

CNET

Apple bought Dark Sky app and Android users are bummed. Use these weather apps instead

Apple bought Dark Sky app and Android users are bummed. Use these weather apps instead  CNETView Full coverage on Google News

 

5 years ago

9to5Mac

This week’s top stories: Apple acquires Dark Sky, new iOS 14 features, iPhone 9 is imminent, more

This week’s top stories: Apple acquires Dark Sky, new iOS 14 features, iPhone 9 is imminent, more  9to5MacImages and code leak reveal iOS 14 wallpaper changes and widgets  AppleInsiderApple may bring 'real' home screen widgets to iOS 14  EngadgetiOS 14 Could Offer Home Screen Widgets, Wallpaper Customizations  MacRumorsNew wallpaper settings could be coming to iOS 14  Gizchina.comView Full coverage on Google News

 

5 years ago

CNBC

Apple buys popular weather app Dark Sky and plans to shut down Android versions

Apple buys popular weather app Dark Sky and plans to shut down Android versions  CNBCView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Mtanzania

Nyumba ya Big Sean yavamiwa na majambazi

big-sean-LOS ANGELES, MAREKANI

WIKI iliyopita ilikuwa ngumu kwa msanii wa muziki nchini Marekani, Big Sean, baada ya nyumba yake kuvamiwa na watu wasiojulikana.

Wakati wa tukio hilo la uvamizi msanii huyo hakuwepo nchini Marekani ambapo watu hao walifanikiwa kuchukua vitu mbalimbali vikiwamo pamoja na cheni za dhahabu na kompyuta ambayo ilikuwa na nyimbo zake mpya.

Msanii huyo amesema baada ya kupiga hesabu ya vitu ambavyo vimepotea kutokana na wizi huo thamani yake imefikia zaidi ya milioni...

 

9 years ago

Global Publishers

Ile Albamu ya Big Sean sasa imeiva

PushaT_Nico_SKGZ_0006Pusha T

RAPA na Meneja wa lebel ya G.O.O.D Music, Pusha T amethibitisha kuwa album mpya ya Big Sean inaelekea kukamilika na itatolewa rasmi mwanzoni mwa mwaka 2016.

big-sean-discographyBig Sean

Big Sean alishika nafasi ya juu kwenye chati na albamu yake ya tatu ya Dark Sky Paradise mwaka huu.

Kwa upande wake Pusha T alisema anaprojekti ya kuitangaza albamu yake mpya ya King Push – Darkest Before Dawn iliyoshika namba 20 kwenye billboard katika wiki yake ya kwanza, projekti itayomalizika Aprili kwenye miji...

 

9 years ago

Bongo5

Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean

big-sean

Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.

big-sean

Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.

Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani