Ile Albamu ya Big Sean sasa imeiva
Pusha T
RAPA na Meneja wa lebel ya G.O.O.D Music, Pusha T amethibitisha kuwa album mpya ya Big Sean inaelekea kukamilika na itatolewa rasmi mwanzoni mwa mwaka 2016.
Big Sean
Big Sean alishika nafasi ya juu kwenye chati na albamu yake ya tatu ya Dark Sky Paradise mwaka huu.
Kwa upande wake Pusha T alisema anaprojekti ya kuitangaza albamu yake mpya ya King Push – Darkest Before Dawn iliyoshika namba 20 kwenye billboard katika wiki yake ya kwanza, projekti itayomalizika Aprili kwenye miji...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Nyumba ya Big Sean yavamiwa na majambazi
LOS ANGELES, MAREKANI
WIKI iliyopita ilikuwa ngumu kwa msanii wa muziki nchini Marekani, Big Sean, baada ya nyumba yake kuvamiwa na watu wasiojulikana.
Wakati wa tukio hilo la uvamizi msanii huyo hakuwepo nchini Marekani ambapo watu hao walifanikiwa kuchukua vitu mbalimbali vikiwamo pamoja na cheni za dhahabu na kompyuta ambayo ilikuwa na nyimbo zake mpya.
Msanii huyo amesema baada ya kupiga hesabu ya vitu ambavyo vimepotea kutokana na wizi huo thamani yake imefikia zaidi ya milioni...
10 years ago
Bongo524 Feb
New Video: Big Sean — Dark Sky (Skyscrapers) (Explicit)
9 years ago
Bongo507 Dec
Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean
![big-sean](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/big-sean-300x194.jpg)
Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.
Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...
9 years ago
Bongo505 Nov
Music: Tori Kelly feat. Big Sean — Hollow (Remix)
![tori-sean](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tori-sean-300x194.jpg)
Oh God. Pop sensation Tori Kelly calls on Big Sean for the official remix to her new single “Hollow.” Over pounding drums, the Detroit rapper serenades his baby girl (“No sippy cup”), the one that he plans to take “home to mama,” and even throws in a shout-out to Home Alone and Macaulay Culkin.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...
9 years ago
Bongo505 Jan
Music: Big Sean feat. Pharrell & Detail – What a Year
![sean-glow-340x330](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/sean-glow-340x330-300x194.jpg)
As the curtain closes on 2015, Big Sean celebrates the “best year of [his] life” on a brand new song entitled “What a Year” featuring Pharrell Williams and Detail. Following a whirlwind year, the Detroit rapper reflects on going from “broke to breaking records,” playing shows in Rio with RiRi, his love life (“This year I’m done with crazy hos”), and the loss of his grandmother (“As long as I’m around, she gon’ be here in my DNA”), while Pharrell provides the hook (“It’s like I hit the light...
9 years ago
Global Publishers31 Dec
9 years ago
Vijimambo16 Sep
WANAOGAMBANIA TUZO ZA BET HAWA HAPA AMBAO NI PAMOJA NA BRAKE, BIG SEAN, NICKI MINAJ
![](http://theboombox.com/files/2015/09/Drake-BigSean-NickiMinaj-630x420.jpg)
Drake is feeling blessed right now. The Toronto rap star nabbed a whopping 12 nominations for the 2015 BET Hip-Hop Awards. Fellow rhymers Big Sean and Nicki Minaj also garnered some major nods as well.
Drizzy is a nominee in categories including Album of the Year (If You’re Reading This It’s Too Late), Hustler of the Year, Lyricist of the Year and Sweet 16 for his guest verse on Big Sean’s “Blessings.”
Speaking of Sean Don, the Detroit rhymer...
9 years ago
Bongo515 Oct
Orodha ya washindi wa BET Hip Hop Awards 2015: Kendrick Lamar na Big Sean waongoza
10 years ago
Bongo Movies11 Dec
Baada ya Ile na Lulu Sasa ni Hii ya Wema na Idris
Kweli umbea ndio unaendesha mitandao ya kijamii hapa Bongo.Baada ya ile picha ya zamani ya muigizaji Elizabeth Michael aka Lulu akiwa na mshindi wa BBA 2014, Idris, kupewa vichwa vya habari kuwa mwandada Lulu ameamua kujiweka au kuandaa mazingira ya kuwa karibu na mshindi huyo ili wazipukutishe DOLLAR, eti kisa Lulu aliweka picha hiyo mtandaoni nawatu bila kujiuliza mara mbili wamekuwa wa kiachia comment za ajabu ajabu.
Muda huu tena imeibuka picha hii nayo pia ni yazamani, ya muigizaji...