Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya Ile na Lulu Sasa ni Hii ya Wema na Idris

Kweli umbea ndio unaendesha mitandao ya kijamii hapa Bongo.Baada ya ile picha ya zamani  ya muigizaji Elizabeth Michael  aka Lulu akiwa na mshindi wa BBA 2014, Idris, kupewa vichwa vya habari kuwa mwandada Lulu ameamua kujiweka au kuandaa mazingira ya kuwa karibu na mshindi huyo ili wazipukutishe DOLLAR, eti kisa Lulu aliweka picha hiyo mtandaoni nawatu bila kujiuliza mara mbili wamekuwa wa kiachia comment za ajabu ajabu.

Muda huu tena imeibuka picha hii nayo pia ni yazamani, ya muigizaji...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Baada ya Diamond, sasa Idris

Ndani ya wiki mbili tasnia ya burudani katika Tanzania imepata nafasi ya kujitutumua hivi. Wakati wiki moja imepita tangu msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,

 

10 years ago

Vijimambo

SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA


KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na mapenzi ya vipindi, kuna wakati waliwahi kumwagana kisha kurudiana na hakuna aliyewahi kutoa tamko zito lakini safari hii...

 

10 years ago

GPL

LULU AMUWAHI IDRIS

Na Erick Evarist
ACHANA na watu kibao waliojitokeza mitandaoni na kudai wana undugu na mshindi wa Shindano la Bigbrother Hotshot (2014), Idris Sultan (21), mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ndiye mtu wa kwanza kabisa kujinadi kuwa na urafiki na mshindi huyo aliyejinyakulia zawadi ya shilingi milioni 510. Mwigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa na Idris. Idris ambaye alinyakua...

 

10 years ago

GPL

IDRIS AMFUNGUKIA LULU

Stori: Imelda Mtema
KWA mara ya kwanza baada ya kutua Bongo, Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshort (2014), Idris Sultan amemfungukia mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ na kudai ni rafiki yake wa karibu. Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan. Kabla mshindi huyo hajakanyaga Bongo, Lulu alishambuliwa mitandaoni baada ya kujinadi kuwa na urafiki wa karibu na Idris lakini kwa… ...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA BAADA YA KUZIPIGA KIBAJAJA MBEYA CITY NA PRISON SASA KUPAA KWENDA BOTSWANA JUMATANO HII.

YANGA wameendelea kujikita kileleni mwa ligi kuu soka Tanzania bara kufuatia kuichapa Mbeya City fc mabao 3-1  na Prison 3-0 katika mechi za ligi kuu zilizopigwa huko Mbeya Yanga imezoa point 6 na magoli 6 kwenye uwanja huo baada ya kuzipiga Prison na Mbeya City Kibajaja kila mmoja jumatano hii Yanga kupaa kwenda Botswana wakiwa na matumaini makubwa ya kushinda kwenye mchezo huo utakaopigwa Ijumaa hii huko Botswana na timu ya BDF XI.

 

9 years ago

Global Publishers

Ile Albamu ya Big Sean sasa imeiva

PushaT_Nico_SKGZ_0006Pusha T

RAPA na Meneja wa lebel ya G.O.O.D Music, Pusha T amethibitisha kuwa album mpya ya Big Sean inaelekea kukamilika na itatolewa rasmi mwanzoni mwa mwaka 2016.

big-sean-discographyBig Sean

Big Sean alishika nafasi ya juu kwenye chati na albamu yake ya tatu ya Dark Sky Paradise mwaka huu.

Kwa upande wake Pusha T alisema anaprojekti ya kuitangaza albamu yake mpya ya King Push – Darkest Before Dawn iliyoshika namba 20 kwenye billboard katika wiki yake ya kwanza, projekti itayomalizika Aprili kwenye miji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani