Baada ya Ile na Lulu Sasa ni Hii ya Wema na Idris
Kweli umbea ndio unaendesha mitandao ya kijamii hapa Bongo.Baada ya ile picha ya zamani ya muigizaji Elizabeth Michael aka Lulu akiwa na mshindi wa BBA 2014, Idris, kupewa vichwa vya habari kuwa mwandada Lulu ameamua kujiweka au kuandaa mazingira ya kuwa karibu na mshindi huyo ili wazipukutishe DOLLAR, eti kisa Lulu aliweka picha hiyo mtandaoni nawatu bila kujiuliza mara mbili wamekuwa wa kiachia comment za ajabu ajabu.
Muda huu tena imeibuka picha hii nayo pia ni yazamani, ya muigizaji...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/0YXs-Z7sAcc/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Baada ya Diamond, sasa Idris
10 years ago
Vijimambo10 Jun
SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcUK4kmTqYMYEzYGPe9YuQ95ZdhFePbtcS7VmMDEijAY4T8Xx6S0pMLWO-6gVcVdjAn2-PP5syY8hU6-5EEOGgVE/Lulu.jpg?width=650)
LULU AMUWAHI IDRIS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slebuxIPRUT384J59dE9xJH*eRU2UnaXA3ziCxizTFCMuyNbdpmSWsawYRB8al7YkpxZchUtof-DigYdPJY5ZD3W/3.jpg?width=650)
IDRIS AMFUNGUKIA LULU
10 years ago
Vijimambo24 Feb
YANGA BAADA YA KUZIPIGA KIBAJAJA MBEYA CITY NA PRISON SASA KUPAA KWENDA BOTSWANA JUMATANO HII.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0865.jpg)
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Ile Albamu ya Big Sean sasa imeiva
Pusha T
RAPA na Meneja wa lebel ya G.O.O.D Music, Pusha T amethibitisha kuwa album mpya ya Big Sean inaelekea kukamilika na itatolewa rasmi mwanzoni mwa mwaka 2016.
Big Sean
Big Sean alishika nafasi ya juu kwenye chati na albamu yake ya tatu ya Dark Sky Paradise mwaka huu.
Kwa upande wake Pusha T alisema anaprojekti ya kuitangaza albamu yake mpya ya King Push – Darkest Before Dawn iliyoshika namba 20 kwenye billboard katika wiki yake ya kwanza, projekti itayomalizika Aprili kwenye miji...