Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IDRIS AMFUNGUKIA LULU

Stori: Imelda Mtema
KWA mara ya kwanza baada ya kutua Bongo, Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshort (2014), Idris Sultan amemfungukia mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ na kudai ni rafiki yake wa karibu. Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan. Kabla mshindi huyo hajakanyaga Bongo, Lulu alishambuliwa mitandaoni baada ya kujinadi kuwa na urafiki wa karibu na Idris lakini kwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LULU AMUWAHI IDRIS

Na Erick Evarist
ACHANA na watu kibao waliojitokeza mitandaoni na kudai wana undugu na mshindi wa Shindano la Bigbrother Hotshot (2014), Idris Sultan (21), mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ndiye mtu wa kwanza kabisa kujinadi kuwa na urafiki na mshindi huyo aliyejinyakulia zawadi ya shilingi milioni 510. Mwigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa na Idris. Idris ambaye alinyakua...

 

10 years ago

GPL

IDRIS: NILIKUWA MPIGA PICHA WA LULU

Makala: Shani Ramadhani
Leo hii kwenye Live  Chumba cha Habari tunaye mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Rashid Sultan ambaye amekuwa ndiyo habari ya mjini sasa hivi baada ya kujishindia kitita cha shilingi milioni  510 na kuahidi kurudisha nguvu zote kwa Waafrika ambao wamebadilisha maisha yake. Idris Sultan akifafanua jambo kwa wafanyakazi wa Global (hawapo pichani). Katika mahojiano na safu hii...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Ile na Lulu Sasa ni Hii ya Wema na Idris

Kweli umbea ndio unaendesha mitandao ya kijamii hapa Bongo.Baada ya ile picha ya zamani  ya muigizaji Elizabeth Michael  aka Lulu akiwa na mshindi wa BBA 2014, Idris, kupewa vichwa vya habari kuwa mwandada Lulu ameamua kujiweka au kuandaa mazingira ya kuwa karibu na mshindi huyo ili wazipukutishe DOLLAR, eti kisa Lulu aliweka picha hiyo mtandaoni nawatu bila kujiuliza mara mbili wamekuwa wa kiachia comment za ajabu ajabu.

Muda huu tena imeibuka picha hii nayo pia ni yazamani, ya muigizaji...

 

10 years ago

Vijimambo

ELIZABETH MICHAEL (LULU) WA BONGO MOVIE AOMBA NAFASI YA KUOLEWA NA IDRIS MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA

Nibaada ya Idris kujinyakulia zaidi ya mili 450 kutoka katika big brother hotshots....msanii wa bongo movie Lulu Michael afunguka kumzimia vibaya sana Idris tangu day one akiwa mjengoni

 

10 years ago

Bongo Movies

Cheni (Mkufu) wa LULU wazua utata. Wengi wasema ni kama wa IDRIS. Wachache wadai eti ni FREEMASONS

Baada ya mwanadada LULU kutupia picha yake mpya kwenye mtandao akiwa amevaa cheni ama mkufu  mpya shingoni mwake, maswali kadhaa ya wadau yameanzaje kujitokeza kuhusu cheni hiyo pamoja na maana yake.

Huku kukiwa bado kuna vuguvugu la ushindi wa Tshs.  MILLIONI 500 za kijana Idris toka jumba la BIG BROTHER na lulu akiwa ni mmoja wa watu wakubwa sana waliokuwa wanawahimiza wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na mipaka yake kumpigia kura kijana huyu ili ashinde, maswali Kadhaa...

 

11 years ago

GPL

AMANDA AMFUNGUKIA FLORA MBASHA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa kike kutoka tasnia ya filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ amemfungukia mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha akimshauri kuacha kumwanika mumewe, Emmanuel Mbasha kwenye vyombo vya habari. Msanii wa kike kutoka tasnia ya filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’. Flora na mumewe Mbasha, wapo kwenye mgogoro wa kifamilia huku mwanaume akikabiliwa na tuhuma za ubakaji,...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wolper Amfungukia Mrithi wa Mkongo

SIKU chache baada ya kumwagana na aliyekuwa mchumba wake, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mwigizaji Jacqueline Wolper amesema kuwa hawezi kuendelea kubaki bila mtu lakini anahitaji mtu mwenye sifa.

Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper alisema kutokana na kuingia kwenye uhusiano na wanaume tofauti akiwemo mfanyabiashara maarufu, Dallas ambao ameshindwa kufanya nao maisha, anahitaji mtu ambaye kweli atajiridhisha kuwa anafaa kuwa mume na si vinginevyo.

Alipoulizwa kuhusu Daktari...

 

10 years ago

Mwananchi

Mahita alikosoa Jeshi la Polisi, Mangu amfungukia

>Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) mstaafu, Omary Mahita amesema askari polisi kwa sasa wamepoteza hadhi, hawaogopwi na wahalifu na ndiyo sababu kubwa ya kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu kila kukicha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani