Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya Diamond, sasa Idris

Ndani ya wiki mbili tasnia ya burudani katika Tanzania imepata nafasi ya kujitutumua hivi. Wakati wiki moja imepita tangu msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Ile na Lulu Sasa ni Hii ya Wema na Idris

Kweli umbea ndio unaendesha mitandao ya kijamii hapa Bongo.Baada ya ile picha ya zamani  ya muigizaji Elizabeth Michael  aka Lulu akiwa na mshindi wa BBA 2014, Idris, kupewa vichwa vya habari kuwa mwandada Lulu ameamua kujiweka au kuandaa mazingira ya kuwa karibu na mshindi huyo ili wazipukutishe DOLLAR, eti kisa Lulu aliweka picha hiyo mtandaoni nawatu bila kujiuliza mara mbili wamekuwa wa kiachia comment za ajabu ajabu.

Muda huu tena imeibuka picha hii nayo pia ni yazamani, ya muigizaji...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, IDRIS SULTAN NDANI YA DAR LIVE

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' wakati akiwasili katika Ukumbi wa Kisasa wa Dar Live sambamba na mshindi wa BBA, Idris Sultan. Diamond ndani ya Dar Live.…

 

10 years ago

Bongo5

Idris ashambuliwa baada kutafsiriwa kuwa ametaja watu 4 ndio waliomuwezesha kushinda Hotshots

Iko wazi kuwa ni watu wengi wa Afrika Mashariki walioshiriki kumpigia Kura Idris Sultan na kumuwezesha kuibuka mshindi wa BBA 2014. Na katika mahojiano mbalimbali ambayo amekuwa akifanyiwa toka ashinde amekuwa akitoa shukrani zake kwa Watanzania, Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla. Lakini tafsiri ya maneno machache aliyoyaandika mshindi huyo wa Hotshots kwenye akaunti yake […]

 

10 years ago

GPL

LA VEDA: IDRIS, FEZZA KESSY NA DIAMOND WAMETOA GUNDU KWA WASANII WA BONGO

La Veda baada ya kuwasili jijini Dar akitokea nchini Afrika Kusini alipokwenda kushiriki fainali za BBA.…

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AWAPONGEZA DIAMOND NA IDRIS SULTAN KWA KUILETEA SIFA TANZANIA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha msanii Naseeb Abdul “Diamond” na kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam siku ya Jumanne Desemba 23, 2014 . Kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika, Mshindi wa Big Brother Africa Idris Sultan hakuweza kufika Ikulu kuonana na Rais Kikwete siku hii. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa msanii Nassib Abdul “Diamond” wakati akimuonesha moja ya tuzo kati ya tuzo tano za muziki...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA KUACHANA NA DIAMOND AAMUA KUFANYA HAYA JUU YA MALI ALIZOPEWA NA DIAMOND


Lile gari jipya aina ya Nissan Murano la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alilompa aliyekuwa mwandani wake, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ limezua mapya ambapo baada ya kudai linamchefua sasa anadaiwa kuwa analiuza kwa kigezo kwamba hataki gundu mwaka huu mpya wa 2015.Gari jipya aina ya Nissan Murano la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alilompa aliyekuwa mwandani wake, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’KUMBE LIPO KWA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani