DIAMOND PLATNUMZ, IDRIS SULTAN NDANI YA DAR LIVE
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' wakati akiwasili katika Ukumbi wa Kisasa wa Dar Live sambamba na mshindi wa BBA, Idris Sultan. Diamond ndani ya Dar Live.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/GRcdb-x-Fsg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Dec
RAIS KIKWETE AWAPONGEZA DIAMOND NA IDRIS SULTAN KWA KUILETEA SIFA TANZANIA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fblog.ikulu.go.tz%2Fwp-content%2Fuploads%2F2014%2F12%2Funnamed-11.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fblog.ikulu.go.tz%2Fwp-content%2Fuploads%2F2014%2F12%2Funnamed-41.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
GPL26 Dec
9 years ago
Bongo526 Dec
Sold Out: Diamond Platnumz apafunga Dar Live (Picha)
![24](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/24-300x194.jpg)
Ilikuwa ni siku ya Christmas, ni Diamond Platnumz stejini na Dar Live ndiyo uwanja wa show, unategemea nini?
Ni sold out, ukinyanyua mguu mmoja huwezi kuurudisha tena, nyomi la kufa mtu.
Well, hitmaker huyo wa Utanipenda, jana amedhihirisha kuwa ni nyumbani ndiko anakopendwa zaidi kwa kuufunga uwanja wa Dar Live uliopo Mbagala.
Ilikuwa ni show ya mtu mmoja iliyovuta maelfu ya mashabiki wa muziki kumshuhudia akiimba wimbo wake mpya Utanipenda na hits zake zingine. Hizi ni picha za show...
10 years ago
GPL25 Dec
DIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF: TUTAFANYA MAAJABU DAR LIVE
10 years ago
GPL27 Dec
9 years ago
Global Publishers23 Dec
9 years ago
Bongo508 Dec
Picha/Video: Tanesco wagundua wizi wa umeme kwenye nyuma ya Wema Sepetu, Idris Sultan akutwa ndani
![20151208052550](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151208052550-300x194.jpg)
Shirika la Umeme nchini, Tanesco limebaini wizi wa umeme nyumbani kwa Wema Sepetu.
Mafundi wa shirika hilo waliambatana na waandishi wa habari hadi kwenye nyumba hiyo na kubaini kuwa umeme unaingia moja kwa moja kwenye nyumba bila kupita kwenye mita.
Wakati mafundi hao wameingia nyumba hiyo walimkuta Idris Sultan ndani aliyejaribu kuwasihi wasiukate umeme.
Kukutwa kwa Idris kwenye nyumba hiyo kumetia mafuta zaidi tetesi za kuwa wawili hao wana uhusiano.
Jiunge na Bongo5.com...