SHOO YA DIAMOND PLATNUMZ YAACHA GUMZO DAR LIVE
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDBR0c2eJajSuDNIzlXBj3tH8SEICDIF1qVlFTZWHYNJazyox-7mMfJ5yMWTtnWfhv1STtqIOrIl8*Y3NumqS6E9/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND 'AMAZING' SHOO YAKE ALIYOFANYA LONDON YAACHA GUMZO
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Shoo ya kifalme Diamond ndani ya Dar live leo
Simba wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
MWANDISHI WETU
Dar es Salaam
SIKUKUU ya Krismasi si ndiyo leo? Jibu ni ‘ndiyooooo!’, sasa habari kamili ni kuwa wakazi wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani, wote wanatarajiwa kukutana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem ambapo Simba wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ atakuwa akifanya makamuzi.
Diamond, staa ambaye anasadikika kupata umaarufu mkubwa nje ya mipaka ya nchi zaidi ya wasanii wengi wa Bongo Fleva katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZ7MeW52e*NjnGNwYXimGL6hVfZoR6def7vfI8tIxVJ3V02fBXhhAuUETo2RbMTq5wRiYvRrmp*T*X5NpuXOrj1/FRONT.jpg?width=650)
SHOO YA KRISMAS DAR LIVE, AMA KWELI DIAMOND HAKUNAGA!
9 years ago
Global Publishers26 Dec
10 years ago
GPLSHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY YAACHA HISTORIA JIJINI DAR
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ, IDRIS SULTAN NDANI YA DAR LIVE
9 years ago
Bongo526 Dec
Sold Out: Diamond Platnumz apafunga Dar Live (Picha)
![24](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/24-300x194.jpg)
Ilikuwa ni siku ya Christmas, ni Diamond Platnumz stejini na Dar Live ndiyo uwanja wa show, unategemea nini?
Ni sold out, ukinyanyua mguu mmoja huwezi kuurudisha tena, nyomi la kufa mtu.
Well, hitmaker huyo wa Utanipenda, jana amedhihirisha kuwa ni nyumbani ndiko anakopendwa zaidi kwa kuufunga uwanja wa Dar Live uliopo Mbagala.
Ilikuwa ni show ya mtu mmoja iliyovuta maelfu ya mashabiki wa muziki kumshuhudia akiimba wimbo wake mpya Utanipenda na hits zake zingine. Hizi ni picha za show...