Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOO YA DIAMOND PLATNUMZ YAACHA GUMZO DAR LIVE

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA

Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akipozi katika picha na mashabiki baada ya shoo ya nguvu Dar Live. Diamond akiwa na tuzo pamoja na cheti baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Ijumaa Sexiest Bachelor.…

 

10 years ago

GPL

DIAMOND 'AMAZING' SHOO YAKE ALIYOFANYA LONDON YAACHA GUMZO

Musa Mateja
AMAZING! Hiyo ndiyo kauli pekee unayoweza kuitamka kuakisi shoo baab’kubwa aliyoifanya mkali wa wimbo wa Nasema Nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’, London, Uingereza, Risasi Mchanganyiko linakujuza zaidi. Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ akipagawisha wakazi wa jiji la London. Shoo hiyo iliyoacha gumzo la aina yake nchini humo kutokana na kupata idadi kubwa ya mashabiki, ilifanyika...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS

Wanamuziki Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' na Mzee Yusuf (kushoto) wakipozi baada ya kufanya mahojiano na wanahabari leo. Wanamuziki hao wakionyesha mbwebwe zao mbele ya wanahabari (hawapo pichani).…

 

9 years ago

Global Publishers

Shoo ya kifalme Diamond ndani ya Dar live leo

ymCTBkpSimba wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

MWANDISHI WETU
Dar es Salaam
SIKUKUU ya Krismasi si ndiyo leo? Jibu ni ‘ndiyooooo!’, sasa habari kamili ni kuwa wakazi wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani, wote wanatarajiwa kukutana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem ambapo Simba wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ atakuwa akifanya makamuzi.

Diamond, staa ambaye anasadikika kupata umaarufu mkubwa nje ya mipaka ya nchi zaidi ya wasanii wengi wa Bongo Fleva katika...

 

10 years ago

GPL

SHOO YA KRISMAS DAR LIVE, AMA KWELI DIAMOND HAKUNAGA!

Stori: Waandishi Wetu
Pamoja na watu kuwa wengi hadi wengine kurudishwa nyumbani, lile Tamasha la Wafalme limekamilika na shoo kabambe iliyotolewa na wafalme wawili, mkali wa Afro Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye kila mtu alikubali kwamba hakuna kama yeye Bongo na mfalme Mzee Yusuf. Mkali wa Afro Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’akiwapagawisha mashabiki wake. Shoo hiyo ya kihistoria...

 

10 years ago

GPL

SHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY YAACHA HISTORIA JIJINI DAR

Diamond akiangalia mimba ya mpenzi wake. Akipapasa tumbo la mpenzi wake. Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo (kulia), akipiga picha na msanii A.K.A kutoka Afrika…

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, IDRIS SULTAN NDANI YA DAR LIVE

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' wakati akiwasili katika Ukumbi wa Kisasa wa Dar Live sambamba na mshindi wa BBA, Idris Sultan. Diamond ndani ya Dar Live.…

 

9 years ago

Bongo5

Sold Out: Diamond Platnumz apafunga Dar Live (Picha)

24

Ilikuwa ni siku ya Christmas, ni Diamond Platnumz stejini na Dar Live ndiyo uwanja wa show, unategemea nini?

24

Ni sold out, ukinyanyua mguu mmoja huwezi kuurudisha tena, nyomi la kufa mtu.

2

Well, hitmaker huyo wa Utanipenda, jana amedhihirisha kuwa ni nyumbani ndiko anakopendwa zaidi kwa kuufunga uwanja wa Dar Live uliopo Mbagala.

3

Ilikuwa ni show ya mtu mmoja iliyovuta maelfu ya mashabiki wa muziki kumshuhudia akiimba wimbo wake mpya Utanipenda na hits zake zingine. Hizi ni picha za show...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani