Nyumba ya kigogo CHADEMA yavamiwa
NYUMBA ya Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), John Heche, iliyopo Mabibo Loyola, jijini Dar es Salaam, imevamiwa na watu wasiojulikana, ambapo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Nyumba ya Chris Brown yavamiwa
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Nyumba ya Big Sean yavamiwa na majambazi
LOS ANGELES, MAREKANI
WIKI iliyopita ilikuwa ngumu kwa msanii wa muziki nchini Marekani, Big Sean, baada ya nyumba yake kuvamiwa na watu wasiojulikana.
Wakati wa tukio hilo la uvamizi msanii huyo hakuwepo nchini Marekani ambapo watu hao walifanikiwa kuchukua vitu mbalimbali vikiwamo pamoja na cheni za dhahabu na kompyuta ambayo ilikuwa na nyimbo zake mpya.
Msanii huyo amesema baada ya kupiga hesabu ya vitu ambavyo vimepotea kutokana na wizi huo thamani yake imefikia zaidi ya milioni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHsmlvFYqxzmuQVEkX-s-wKTSl*Z-AYcMR4eO*wifNx*3185F8ty2hkZHO5CAVOAFP6pEpS-7Cy-2hs9ywvXiu1Og/KHKYUK.gif?width=650)
KIGOGO IKULU AZUIA NYUMBA YA JIDE ISIUZWE
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Kigogo UVCCM ajiunga CHADEMA
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilayani Siha, Godwin Mollel ametangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mollel aliyeachia ngazi kwenye chama hicho...
11 years ago
Habarileo08 Jan
Kigogo Chadema atekwa, ateswa
MGOGORO unaoendelea ndani ya Chadema una uhusiano na tukio la kutekwa na kuteswa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa Wilaya ya Temeke, Joseph Yona, Polisi imesema.
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Kigogo CHADEMA apangua kesi
MAHAKAMA ya Wilaya ya Mbozi, imemwachia huru Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Harode Langisa “Jivava”, baada ya kumkuta hana hatia katika kesi...
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Kigogo Chadema ashambuliwa Kigoma
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gQnfxOicahE/XoiolVvnyPI/AAAAAAABnCA/V0W6x-fe8F4g8a1lDWO24plYQa4luco2gCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bchadema%252Btarime.jpg)
KIGOGO WA CHADEMA NA WENZAKE 50 WATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-gQnfxOicahE/XoiolVvnyPI/AAAAAAABnCA/V0W6x-fe8F4g8a1lDWO24plYQa4luco2gCLcBGAsYHQ/s640/pic%252Bchadema%252Btarime.jpg)
Joseph na wenzake wamejiunga na CCM leo Jumamosi Aprili 4, 2020 katika ofisi za chama hicho Tarime na kupokelewa na naibu waziri wa Tamisemi, Mwita Waitara.
Wilaya ya Tarime ina majimbo mawili yanayoongozwa na Chadema ambayo ni Tarime Mjini linaloongozwa na Esther Matiko na Tarime Vijijini...