Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.

Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimnadi Mgombea Ubunge wa jimbo la Chalinze,Ndugu Ridhiwani Kikwete.Dkt Magufuli amefanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini,Kibamba na Kibaha mjini.Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimkabidhi kitabu cha Ilani ya ccm kwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Kibaha vijini .Nduggu Hamoud Abuu Jumaa.Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA alipojichanganya kwenye mkutano wa CCM,maara baada ya kuvutiwa na sera za Mgombea Urais...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA KAMPENI WA DR. MAGUFULI KIBAHA MJINI

Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Kibaha mjini katika mkutano wa kampeni leo tarehe 22 mwezi wa kumi mwaka 2015.Wananchi waloshiriki mkutano wa kampeni wa Dr. John Pombe Magufuli mjini Kibaha wakiwa na bango lenye ujumbe wa pumzika kwa amani UKAWA.Baadhi ya wafuasi wa chama cha mapindzi CCM wakiwa wanaoshangilia na wengine walojichora miili yao wakimsikiliza Dr. Jo.hn Pombe Magufuli katika mkutano wa kampeni ulofanyika mjini Kibaha

 

9 years ago

Dewji Blog

Magufuli afanya mikutano ya kampeni wilaya ya Busega, Bariadi, Itilima na Meatu mkoani Simiyu leo

 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli aliyenyanyua kofia (katikati) akiwasili katika uwanja wa  CCM mjini Bariadi kwa ajili ya kuwahutubia kwenye mkutano wa kampeni mkoani Simiyu.
 PICHA NA MICHUZI JR-SIMIYU.

 Wananchi wakishangilia kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni mjini Bariadi.  Wananchi wa Nanga wilaya ya Itilima wakishangilia ujio wa Mgombea Urais wa CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akipita kuwasalimia  Umati wa wakazi wa kijiji cha Mwanhunzi wilaya ya Meatu wakiwa...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI WILAYA YA BUSEGA,BARIADI,ITILIMA NA MEATU MKOANI SIMIYU LEO.

 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli aliyenyanyua kofia (katikati) akiwasili katika uwanja wa  CCM mjini Bariadi kwa ajili ya kuwahutubia kwenye mkutano wa kampeni mkoani Simiyu. Wananchi wakishangilia kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni mjini Bariadi  Wananchi wa Nanga wilaya ya Itilima wakishangilia ujio wa Mgombea Urais wa CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akipita kuwasalimia  Umati wa wakazi wa kijiji cha Mwanhunzi wilaya ya Meatu wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa kampeni...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KATIKA KATA YA KIWANGWA NDANI YA JIMBO LA CHALINZE LEO

 Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akimnadi Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete kwa wananchi wa Kijiji cha Kiwangwa,Kata ya Kiwangwa waliofika kwa wingi kwenye Mkutano wa Kampeni cha CCM,leo Machi 21,2014. Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Kiwangwa,Kata ya Kiwangwa waliofika kwa wingi kwenye Mkutano wa Kampeni cha...

 

9 years ago

CCM Blog

MAGUFULI AANZA MIKUTANO YA KILA JIMBO JIJINI DAR ES SALAAM

 Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa Ubunge jimbo la Kigamboni Dk. Faustine Ndugulile kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Asisitiza yeye atakuwa kiongozi wa maamuzi makini, si magumuAwapongeza CCM, Chadema ,CUF kumpokea kwa shangwe jijini Dar es SalaamDar yasimama kwa muda, Jiji lawa kijani kila mahali Dk. Magufuli amesema wanaosababisha wananchi wa Jiji la Dar es Salaam kufa kwa kipindupindu...

 

9 years ago

Michuzi

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIBAHA MJINI AHAIDI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA AJIRA KWA VIJANA

Mgombea ubunge wa jimbo la kibaha mjini kupitia chama cha mapinduzi (CCM)    Silvestry Koka akiwahutubia wananchi wa kata kongowe pamoja na boko timiza katika moja ya mkikutano yake ya hadhara.Mgombea ubunge kupitia CCM jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka akiwa anawasali  na kupokelewa kwa shangwee  katika uwanja kabla ya kuanza kuwahutubia wawananhci walijitokeza na kufurika kwa wingi kusikiliza sera za mgombea huyo.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AKIENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI MCHANA HUU SENGEREMA NA GEITA VIJIJINI


  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasikiliza wananchi wa jimbo la Buchosa mapema walipokuwa wakishamgilia mara baada ya kupanda jukwaani na kuwasalimia,mkutano huo wa kampeni umefanyika mapema leo asubuhi katika kijiji cha Nyehunge wilayani Sengerema mkoani Mwanza.Pamoja na mvua kunyesha hapa hapa na pale katika maeneo hayo,Dkt Magufuli anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa wa kampeni katika jimbo la Geita Vijjini katika...

 

11 years ago

Michuzi

TASAF YAFUNGUA WARSHA YA MIRADI YA UJENZI MJINI KIBAHA-PWANI LEO

 Washiriki wa warsha ya miradi ya ujenzi wakiwa katika picha ya pamoja na mkurugenzi wa miradi TASAF Amadeus Kamagenge mara baada ya kufungua warsha hiyo. Mkurugenzi wa miradi wa TASAF Amadeus Kamagenge akifungua warsha ya miradi ya ujenzi kwa wataalam wa halmashauri ya manispaa ya kibaha ikiwa ni moja ya mikakati ya kufanikisha mpango wa kunusuru kaya masikini unao Washiriki wa warsha ya miradi ya ujenzi wakimsikilza kwa makini mkurugenzi wa miradi TASAF Amadeus Kamagenge (hayupo picha)...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete kufungua kiwanda cha Viuadudu leo mjini Kibaha

Jakaya-Kikwete1

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.

Press Release.doc 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani