MAGUFULI AKIENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI MCHANA HUU SENGEREMA NA GEITA VIJIJINI

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasikiliza wananchi wa jimbo la Buchosa mapema walipokuwa wakishamgilia mara baada ya kupanda jukwaani na kuwasalimia,mkutano huo wa kampeni umefanyika mapema leo asubuhi katika kijiji cha Nyehunge wilayani Sengerema mkoani Mwanza.Pamoja na mvua kunyesha hapa hapa na pale katika maeneo hayo,Dkt Magufuli anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa wa kampeni katika jimbo la Geita Vijjini katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MAGUFULI AENDELEA KUITIKISA KANDA YA ZIWA,AFANYA MIKUTANNO YA KAMPENI GEITA VIJIJINI,NYANG'WALE NA SENGEREMA

Akiomba kura katika wilaya mpya ya Nyang'wale mkoani Geita,Dkt Magufuli ametumia jukwaa...
10 years ago
Vijimambo
ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU TANO,MAGUFULI AENDELEA KUITIKISA KANDA YA ZIWA,AFANYA MIKUTANNO YA KAMPENI GEITA VIJIJINI,NYANG'WALE NA SENGEREMA

Mgombea Urais kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi wa Sengerema jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mjini humo.Katika mkutano huo wa kampeni Dkt Magufuli amezishauri halmashauri nchini kuacha tabia ya kukopa pesa kutoka katika taasisis za kifedha na kulipia fidia za wananchi ambao serikali inataka kutumia maeneo yao kwa ajili ya huduma za kijamii.
Akiomba kura katika wilaya mpya ya Nyang'wale mkoani Geita,Dkt Magufuli ametumia jukwaa...
10 years ago
Michuzi
MAGUFULI ATIKISA MJI MDOGO WA KATORO MCHANA HUU MKOANI GEITA


10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Dk. Magufuli azuru makaburi ya Babu na Bibi yake, Katoma — Geita Vijijini



10 years ago
Michuzi
Magufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.



10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Magufuli aendelea na mikutano yake ya kampeni Wilaya ya Sikonge, Kaliua, Ulyankulu na Urambo mkoani Tabora

wakazi hao katika uwanja wa Kolimba,kwenye mkutano wa hadhara wa
kampeni. PICHA NA MICHUZI JR-URAMBO,TABORA



10 years ago
Michuzi
MAGUFULI AENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI WILAYA YA SIKONGE,KALIUA,ULYANKULU NA URAMBO MKOANI TABORA




10 years ago
Michuzi
DKT JAKAYA KIKWETE NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI WAWASILI JIJINI MWANZA MCHANA HUU KUHITIMISHA SHUGHULI ZA KAMPENI


10 years ago
Michuzi
DK. MAGUFULI AKIENDELEA NA KAMPENI WILAYANI BUHIGWE,MANYOVU KIGOMA LEO



Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10