Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Magufuli azuru makaburi ya Babu na Bibi yake, Katoma — Geita Vijijini

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kwa Tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akielekea katika makaburi ya makaburi ya babu na bibi yake mzaa wa baba, eneo la Katoma, wilayani Geita Vijijini huku akiwa ameambatana na ndugu zake ikiwemo baba zake wadogo na mama zake wadogo. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kwa Tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akiwa katika makaburi ya babu na bibi yake mzaa wa baba, eneo la Katoma, wilayani Geita Vijijini akiwatambulisha ndugu zake ikiwemo baba yake...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI AZURU MAKABURI YA BABU NA BIBI ZAKE KATOMA,GEITA

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli (kushoto)  akiwa na baadhi ya ndugu jamaaa na marafiki wakisali alipozuru kaburi la babu yake Simon Marko Magufuli na bibi yake Anastazia wazaa baba yake  aliposimama kwa muda katika Kijiji cha Katoma, Geita Vijijini, , akielekea kufanya mkutano wa kampeni katika Kata ya Nkoma,. NPICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Wananchi wakiwa wamekusanyika nyumbani kwa kakake Dk Magufuli katika Kijiji cha Katoma
 Dk Magufuli...

 

9 years ago

Michuzi

DKT MAGUFULI AZURU MAKABURI YA BABU NA BIBI ZAKE KATOMA,GEITA

   Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli (kushoto)  akiwa na baadhi ya ndugu jamaaa na marafiki wakisali alipozuru kaburi la babu yake Simon Marko Magufuli na bibi yake Anastazia wazaa baba yake  aliposimama kwa muda katika Kijiji cha Katoma, Geita Vijijini, akielekea kufanya mkutano wa kampeni katika Kata ya Nkome.
  Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli (kushoto)  akiwa na baadhi ya ndugu jamaaa na marafiki wakisali alipozuru kaburi la babu yake...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AKIENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI MCHANA HUU SENGEREMA NA GEITA VIJIJINI


  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasikiliza wananchi wa jimbo la Buchosa mapema walipokuwa wakishamgilia mara baada ya kupanda jukwaani na kuwasalimia,mkutano huo wa kampeni umefanyika mapema leo asubuhi katika kijiji cha Nyehunge wilayani Sengerema mkoani Mwanza.Pamoja na mvua kunyesha hapa hapa na pale katika maeneo hayo,Dkt Magufuli anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa wa kampeni katika jimbo la Geita Vijjini katika...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AENDELEA KUITIKISA KANDA YA ZIWA,AFANYA MIKUTANNO YA KAMPENI GEITA VIJIJINI,NYANG'WALE NA SENGEREMA

Mgombea Urais kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi wa Sengerema jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mjini humo.Katika mkutano huo wa kampeni Dkt Magufuli amezishauri halmashauri nchini kuacha tabia ya kukopa pesa kutoka katika taasisis za kifedha na kulipia fidia za wananchi ambapo serikali inataka kutumia maeneo yao kwa ajili ya huduma za kijamii. 
Akiomba kura katika wilaya mpya ya Nyang'wale mkoani Geita,Dkt Magufuli ametumia jukwaa...

 

9 years ago

Vijimambo

ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU TANO,MAGUFULI AENDELEA KUITIKISA KANDA YA ZIWA,AFANYA MIKUTANNO YA KAMPENI GEITA VIJIJINI,NYANG'WALE NA SENGEREMA


Mgombea Urais kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi wa Sengerema jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mjini humo.Katika mkutano huo wa kampeni Dkt Magufuli amezishauri halmashauri nchini kuacha tabia ya kukopa pesa kutoka katika taasisis za kifedha na kulipia fidia za wananchi ambao serikali inataka kutumia maeneo yao kwa ajili ya huduma za kijamii. 
Akiomba kura katika wilaya mpya ya Nyang'wale mkoani Geita,Dkt Magufuli ametumia jukwaa...

 

9 years ago

Vijimambo

MAZISHI YA DADA, MAMA, BIBI BETTISHEBA KETANG'ENYI MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR

Mtoto wa marehemu Frederick Ketang'enyi akiwa amebeba msalaba katika makaburi ya Kinondoni kwenye mazishi ya mpendwa mama yake yaliyofanyika siku ya Jumamosi Octoba 10, 2015 jijini Dar.Wanafamilia wakiwa wamebeba jeneza lililobeba mwili wa mpendwa dada, mama bibi Bettisheba Ketang'enyi katika kumpumzisha katika nyumba yake ya milele kulikofanyika siku ya Jumamosi Octoba 10, 2015 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Padri akiongoza ibada ya mazishi katika makaburi ya Kinondoni...

 

9 years ago

Michuzi

MAELFU WAJITOKEZA KATIKA MKUTANO WA KAMPENI ZA BABU DUNI, MGOMBEA MWENZA WA UKAWA BUSANDA GEITA

 Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwapungia mkono wananchi waliofurika katika mkutano wa kampeni wa uliofanyika katika kata ya Katolo jimbo la  Busanda mkoani Geita. Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Busanda mkoani Geita. Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Busanda mkoani Geita.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AZURU KABURI LA SOKOINE

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli akiweka shada kwenye kaburi la Waziri Mkuu wa zamani, Edward Moringe Sokoine, Monduli Juu. Mke wa Sokoine na binti yake (amabaye ni mgombea ubunge wa Jimbo la Monduli kwa tiketi ya CCM, Namelock Sokoine) wakiweka shada kwenye kaburi hilo. Magufuli akicheza ngoma ya kabila la Kimasai. PICHA: RICHARD BUKOS ALIYEKO… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli azuru Wizara ya Fedha

Rais mpya wa Tanzania John Magufuli leo amefanya ziara ya kushtukiza katika makao makuu ya Wizara ya Fedha siku moja tu baada yake kuapishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani