Rais Kikwete kufungua kiwanda cha Viuadudu leo mjini Kibaha
Press Release.doc
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-fugQmA2aygQ/VZQlM__6ZmI/AAAAAAAAewE/GiuEKZdXk6s/s72-c/kikwete.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fugQmA2aygQ/VZQlM__6ZmI/AAAAAAAAewE/GiuEKZdXk6s/s72-c/kikwete.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 May
Waziri Mkuu akagua kiwanda cha viuadudu Kibaha
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiakagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa Mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8,...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/rGYvqTPuSok/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DM-mlLiFSXw/VV9Ao4kMOtI/AAAAAAAHZOU/zd9XZVJbKnE/s72-c/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
Rais Kikwete aendesha kikao cha Kamati kuu mjini Dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-DM-mlLiFSXw/VV9Ao4kMOtI/AAAAAAAHZOU/zd9XZVJbKnE/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sYnRDS2CIfo/VV9Aomi1ClI/AAAAAAAHZOQ/ECrj2dwMDGo/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y3bhgqQ2Usw/VA2fsh1AfCI/AAAAAAAGhyE/pMfd3cTmPvw/s72-c/IMG-20140908-WA0005.jpg)
Rais Kikwete akutana na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania mjini Dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y3bhgqQ2Usw/VA2fsh1AfCI/AAAAAAAGhyE/pMfd3cTmPvw/s1600/IMG-20140908-WA0005.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha NEC leo mjini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akipokea shangwe na wajumbe alipowasili katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM White House kuendesha kikao cha Hamlmashauri Kuu (NEC ) ya CCM mjini Dodona leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwa ukumbini tayari kuongoza kikao hicho leo.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kabla ya...
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
Kinana atinga Kibaha mjini, akagua na kufungua miradi ya maendeleo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kuvyeka miti wakati wa uzinduzi wa kambi ya Umoja wa Vijana wa CCM, ya mafunzo ya kilimo katika eneo la Boko Timiza, Kibaha mjini mkoa wa Pwani. Katika kambi hiyo vijana wanatarajiwa kufanya mafunzo ya kilimo kwenye shamba la ekari 25.
Kijana akihamasisha vijana wenzake, walioko kwenye kambi hiyo ya mafunzo ya kilimo, eneo la Boko Timiza wilaya ya Kibaha mjini.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanda mti kwenye kiwanja...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Rais Kikwete kufungua kituo cha kisasa cha michezo