Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzinduzi Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu wa Malaria Kibaha, Pwani

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali inajenga Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya viluwiluwi vya mbu

Meneja-Uhusiano-na-Mawasiliano-wa-Shirika-la-Maendeleo-ya-Taifa-NDC-Abel-Ngapemba-kushoto-kulia-Inginia-Godfrey-Mahundi.

Meneja Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) Abel Ngapemba (kushoto) akiwa na Injinia Godfrey Mahundi.

Frank Mvungi-Maelezo

Serikali kutumia Euro Milioni 16 katika ujenzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vinavyoua viluwiluwi vya mbu wanaoambukiza malaria ulioko chini ya shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.

Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa Shirika hilo Bw. Abel Ngapemba wakati wa mkutano nawaandishi wa habari leo jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Viyoyozi vya kuua mbu: mwarobaini wa malaria nchini

Malaria ni miongoni mwa magonjwa sugu ambayo yamekuwa yakichangia vifo vya Watanzania wengi hususan watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ZA KUUA WADUDU, KIBAHA MKOANI PWANI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa mbu, kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu akagua kiwanda cha viuadudu Kibaha

PG4A1825

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiakagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1837

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1842

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa Mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8,...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete kufungua kiwanda cha Viuadudu leo mjini Kibaha

Jakaya-Kikwete1

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.

Press Release.doc 

 

10 years ago

Mwananchi

NDC kuzalisha dawa za kuua mbu

Kiwanda cha kutengeneza dawa za kuua mazalia ya mbu cha Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kilichopo Kibaha, mkoani Pwani, kitaanza kazi ya uzalishaji wa dawa za kuua mbu na mazalia yake mwishoni mwa mwaka huu. Imeelezwa kuwa lengo la ujenzi wa kiwanda hicho ni kutaka kupambana na ugonjwa wa malaria.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete na Waziri Mkuu wa Ethiopia wazindua kiwanda cha Kudhibiti Malaria Pwani

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn wakifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuzindua rasmi kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu wanaoeneza Malaria kilichopo eneo la viwanda TAMCO kibaha,Mkoani Pwani leo.Kulia ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia wakiangalia uzalishaji wa viuadudu vya mbu wanaoeneza Malaria kilichopo eneo la viwanda TAMCO kibaha,Mkoani Pwani leo muda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani