Uzinduzi Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu wa Malaria Kibaha, Pwani
![](http://img.youtube.com/vi/rGYvqTPuSok/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Serikali inajenga Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya viluwiluwi vya mbu
Meneja Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) Abel Ngapemba (kushoto) akiwa na Injinia Godfrey Mahundi.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali kutumia Euro Milioni 16 katika ujenzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vinavyoua viluwiluwi vya mbu wanaoambukiza malaria ulioko chini ya shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa Shirika hilo Bw. Abel Ngapemba wakati wa mkutano nawaandishi wa habari leo jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fugQmA2aygQ/VZQlM__6ZmI/AAAAAAAAewE/GiuEKZdXk6s/s72-c/kikwete.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Viyoyozi vya kuua mbu: mwarobaini wa malaria nchini
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0PoutQqKklw/VU26Knl0LkI/AAAAAAAHWW8/WXgcpKOUpwU/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
MH. PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ZA KUUA WADUDU, KIBAHA MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0PoutQqKklw/VU26Knl0LkI/AAAAAAAHWW8/WXgcpKOUpwU/s640/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UECi7I9347I/VU26LBUaejI/AAAAAAAHWXA/uDjN2AdFuhs/s640/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vC9Ij9NqCRU/VU26LAq7R7I/AAAAAAAHWXE/4XHeHrIJ_VU/s640/unnamed%2B(38).jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda...
10 years ago
Dewji Blog09 May
Waziri Mkuu akagua kiwanda cha viuadudu Kibaha
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiakagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa Mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-fugQmA2aygQ/VZQlM__6ZmI/AAAAAAAAewE/GiuEKZdXk6s/s72-c/kikwete.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Rais Kikwete kufungua kiwanda cha Viuadudu leo mjini Kibaha
Press Release.doc
10 years ago
Mwananchi21 Aug
NDC kuzalisha dawa za kuua mbu
10 years ago
MichuziRais Kikwete na Waziri Mkuu wa Ethiopia wazindua kiwanda cha Kudhibiti Malaria Pwani