Viyoyozi vya kuua mbu: mwarobaini wa malaria nchini
Malaria ni miongoni mwa magonjwa sugu ambayo yamekuwa yakichangia vifo vya Watanzania wengi hususan watoto wenye umri chini ya miaka mitano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/rGYvqTPuSok/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
Kampuni ya Midea ya China yaingiza nchini viyoyozi vya kisasa vinavyotunza mazingira vitauzwa kwa bei nafuu
Mkurugenzi Mkuu wa Changchun International Co.Ltd, Kelvin Zhao, akizungumza katika uzinduzi huo.
Mwakilishi wa Masuala ya na Biashara wa China nchini Tanzania, Lin Zhiyong (katikati), akiwa meza kuu na viongozi...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
NDC kuzalisha dawa za kuua mbu
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Mbu mwenyewe anaweza kuondoa malaria
Mbu mwenyewe anaweza kuja ondoa malaria. Je, ni kweli? Tafiti ndio zinasema, endelea hapa chini
Kila mwaka, watu bilioni 3.2 wako katika hatari ya kuamukizwa malaria kutoka kwa mbu walioambukizwa na vijidudu vinavyosababishwa malaria. Lakini labda si kwa muda mrefu tukajasikia malaria imefutika kabisa.
Sio ajabu tukasikia mtu anasema hii itakuwa ni uongo,ndoto au haitawezekani kabisaaaa. Mwaka jana, 2015 wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha California walifanya utafiti na kufanikiwa kupata...
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Mbinu mpya ya kudhibiti mbu waenezao malaria
MALARIA ni ugonjwa wa kuambukiza u n a o l e t w a na chembe chembe zinazojulikana kwa jina la kitaalamu plasmodium.
Chembe chembe hizi huingia ndani ya mwili wa binadamu baada ya kuumwa na mbu jike aina ya Anopheles.
Mbu mwenye chembe chembe za plasmodium anapomuuma mtu, humuingizia baadhi ya mate yenye viini vya
kuambukiza kwenye kidonda, hivyo kusambaza malaria.
Viini hivi husafiri hadi katika maini ambapo hukaa hadi vifikie ukomavu.
Kuna aina 4 za malaria, ambazo ni P. vivax, P....
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Majaliwa ataka viyoyozi vituo vya mabasi ya Dart
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Njama ya Nazi kuua watu kwa Malaria
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Serikali inajenga Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya viluwiluwi vya mbu
Meneja Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) Abel Ngapemba (kushoto) akiwa na Injinia Godfrey Mahundi.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali kutumia Euro Milioni 16 katika ujenzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vinavyoua viluwiluwi vya mbu wanaoambukiza malaria ulioko chini ya shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa Shirika hilo Bw. Abel Ngapemba wakati wa mkutano nawaandishi wa habari leo jijini Dar es...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3mlTXA2pHGw/Xs_cuMxYOjI/AAAAAAAC6Pc/hSrxq1_SndYMP-nC1bDUDQO50UKFThozQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MALARIA YAPUNGUA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3mlTXA2pHGw/Xs_cuMxYOjI/AAAAAAAC6Pc/hSrxq1_SndYMP-nC1bDUDQO50UKFThozQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya uliofanyika wilayani Chunya.
Waziri Ummy amesema kuwa Mkoa wa Mbeya, upatikanaji wa...