Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbu mwenyewe anaweza kuondoa malaria

modified_2

Mbu mwenyewe anaweza kuja ondoa  malaria. Je, ni kweli? Tafiti ndio zinasema, endelea hapa chini

Kila mwaka, watu bilioni 3.2 wako katika hatari ya kuamukizwa malaria kutoka kwa mbu walioambukizwa na vijidudu vinavyosababishwa malaria. Lakini labda si kwa muda mrefu tukajasikia malaria imefutika kabisa.

Sio ajabu tukasikia mtu anasema hii itakuwa  ni uongo,ndoto au haitawezekani kabisaaaa. Mwaka jana, 2015 wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha California walifanya utafiti na kufanikiwa kupata...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mbinu mpya ya kudhibiti mbu waenezao malaria

Jamii Yetu Pull Out. Siah.inddMALARIA ni ugonjwa wa kuambukiza u n a o l e t w a na chembe chembe zinazojulikana kwa jina la kitaalamu plasmodium.
Chembe chembe hizi huingia ndani ya mwili wa binadamu baada ya kuumwa na mbu jike aina ya Anopheles.
Mbu mwenye chembe chembe za plasmodium anapomuuma mtu, humuingizia baadhi ya mate yenye viini vya
kuambukiza kwenye kidonda, hivyo kusambaza malaria.

Viini hivi husafiri hadi katika maini ambapo hukaa hadi vifikie ukomavu.
Kuna aina 4 za malaria, ambazo ni P. vivax, P....

 

11 years ago

Mwananchi

Viyoyozi vya kuua mbu: mwarobaini wa malaria nchini

Malaria ni miongoni mwa magonjwa sugu ambayo yamekuwa yakichangia vifo vya Watanzania wengi hususan watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

 

10 years ago

Dewji Blog

Novartis and Malaria No More help fulfill malaria treatment goal in Zambia by raising funds for three million treatments through Power of One

novartis

-Power of One campaign, supported by exclusive treatment sponsor Novartis, raises funds for three million treatments for children with malaria

-Novartis associates rallied behind Power of One to fund close to 500,000 antimalarial treatments for Zambia

-Company reaches delivery landmark with 700 million antimalarial treatments supplied without profit in 60 malaria-endemic countries since 2001

Novartis (http://www.novartis.com) announced today that, through Power of One, enough funds have...

 

11 years ago

Michuzi

Malaria Course Ifakara 2014 (English) Capacity Building Course in Malaria Control Programs, with a focus on e-learning September 14th to October 11th 2014

Organised jointly by the Tanzanian Training Centre for International Health, Ifakara, Tanzania, and the Swiss Tropical and Public Health Institute with the financial support of the Impact malaria, a Sanofi Access to Medicines program and the Swiss Agency for Development and Cooperation, the Malaria course is a tutorial that is aimed at strengthening competence of researchers, public health personnel and care givers to fight Malaria in Africa. Participants are taught how to conduct...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Magufuli anaweza?

MUNGU mkubwa; kuna waliolia, wanaoendelea kulia na waliocheka mjini Dodoma wakati CCM ilipofanya mkutano wake kuteua jina la mgombea urais baadaye mwaka huu.

Dk. John Pombe Joseph Magufuli akaibuka kidedea miongoni mwa majina 38 ya makada wa chama hicho waliokuwa wakiwania kuingia katika ofisi hiyo kuu nchini kupitia chama tawala.

Hata ambao walidhani kwamba wao ndio wanaofaa zaidi kuingia Ikulu wanakiri, hata kimoyomoyo, kuwa msomi huyu wa kemia ni jembe linalofaa kuliongoza taifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK anaweza kuisaliti CCM?

Gazeti la Tanzania Daima, Toleo Na. 3336 la Jumanne, Januari 21, 2014 lilipambwa na kichwa cha habari “JK aisaliti CCM.” Mwandishi wa habari hiyo alimnukuu kada mmoja wa CCM ambaye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je mbuzi anaweza panda baiskeli ?

Je mbuzi anaweza panda baiskeli ? Tizama makala ya juma hili ya teknolojia ujue zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani