Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Magufuli anaweza?

MUNGU mkubwa; kuna waliolia, wanaoendelea kulia na waliocheka mjini Dodoma wakati CCM ilipofanya mkutano wake kuteua jina la mgombea urais baadaye mwaka huu.

Dk. John Pombe Joseph Magufuli akaibuka kidedea miongoni mwa majina 38 ya makada wa chama hicho waliokuwa wakiwania kuingia katika ofisi hiyo kuu nchini kupitia chama tawala.

Hata ambao walidhani kwamba wao ndio wanaofaa zaidi kuingia Ikulu wanakiri, hata kimoyomoyo, kuwa msomi huyu wa kemia ni jembe linalofaa kuliongoza taifa...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli anaweza akawa Deng Xiaoping wa Tanzania ya leo?

AGOSTI 22, mwaka 1904, katika kijiji cha Xiexing Guang’an Jimbo la Sichuani nchini China, katika

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK anaweza kuisaliti CCM?

Gazeti la Tanzania Daima, Toleo Na. 3336 la Jumanne, Januari 21, 2014 lilipambwa na kichwa cha habari “JK aisaliti CCM.” Mwandishi wa habari hiyo alimnukuu kada mmoja wa CCM ambaye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je mbuzi anaweza panda baiskeli ?

Je mbuzi anaweza panda baiskeli ? Tizama makala ya juma hili ya teknolojia ujue zaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho anaweza kwenda wapi?

Baada ya kufutwa na Jose Mourinho kufutwa kazi Chelsea jana, miezi saba tu baada yake kupeleka taji la Ligi ya Premia Stamford Bridge, wengi wanauliza ataelekea wapi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijana anaweza kufikia ndoto yake

ASILIMIA kubwa ya watu ukiwauliza kuhusu ndoto zao za baadaye, utashangazwa na mambo makubwa waliyoyabeba moyoni na kwenye fikra zao. Ni wachache kati ya hao ambao watafanya maamuzi ya kuchukua...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mbu mwenyewe anaweza kuondoa malaria

modified_2

Mbu mwenyewe anaweza kuja ondoa  malaria. Je, ni kweli? Tafiti ndio zinasema, endelea hapa chini

Kila mwaka, watu bilioni 3.2 wako katika hatari ya kuamukizwa malaria kutoka kwa mbu walioambukizwa na vijidudu vinavyosababishwa malaria. Lakini labda si kwa muda mrefu tukajasikia malaria imefutika kabisa.

Sio ajabu tukasikia mtu anasema hii itakuwa  ni uongo,ndoto au haitawezekani kabisaaaa. Mwaka jana, 2015 wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha California walifanya utafiti na kufanikiwa kupata...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kumbe Ndugai anaweza ni suala la uamuzi tu.

WIKI iliyopita imekuwa ni nzuri kwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, kuhusu tathimini ya utendaji wake wa kazi za kuongoza mhimili huo. Utendaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani