Mourinho anaweza kwenda wapi?
Baada ya kufutwa na Jose Mourinho kufutwa kazi Chelsea jana, miezi saba tu baada yake kupeleka taji la Ligi ya Premia Stamford Bridge, wengi wanauliza ataelekea wapi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Oct
JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA
![wema sepetu bongoclan.co.tz](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/wema-sepetu-bongoclan.co_.tz_.jpg)
![wema sepetu bongoclan.co.tz..](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/wema-sepetu-bongoclan.co_.tz_..-300x201.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Sajent-1.jpg?width=650)
SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua
Blogger Maggid Mjengwa.
Ndugu zangu,
Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.
Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.
Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Dk. Magufuli anaweza?
MUNGU mkubwa; kuna waliolia, wanaoendelea kulia na waliocheka mjini Dodoma wakati CCM ilipofanya mkutano wake kuteua jina la mgombea urais baadaye mwaka huu.
Dk. John Pombe Joseph Magufuli akaibuka kidedea miongoni mwa majina 38 ya makada wa chama hicho waliokuwa wakiwania kuingia katika ofisi hiyo kuu nchini kupitia chama tawala.
Hata ambao walidhani kwamba wao ndio wanaofaa zaidi kuingia Ikulu wanakiri, hata kimoyomoyo, kuwa msomi huyu wa kemia ni jembe linalofaa kuliongoza taifa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
JK anaweza kuisaliti CCM?
Gazeti la Tanzania Daima, Toleo Na. 3336 la Jumanne, Januari 21, 2014 lilipambwa na kichwa cha habari “JK aisaliti CCM.” Mwandishi wa habari hiyo alimnukuu kada mmoja wa CCM ambaye...
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Je mbuzi anaweza panda baiskeli ?
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Kumbe Ndugai anaweza ni suala la uamuzi tu.
WIKI iliyopita imekuwa ni nzuri kwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, kuhusu tathimini ya utendaji wake wa kazi za kuongoza mhimili huo. Utendaji...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Kijana anaweza kufikia ndoto yake
ASILIMIA kubwa ya watu ukiwauliza kuhusu ndoto zao za baadaye, utashangazwa na mambo makubwa waliyoyabeba moyoni na kwenye fikra zao. Ni wachache kati ya hao ambao watafanya maamuzi ya kuchukua...
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Mbu mwenyewe anaweza kuondoa malaria
Mbu mwenyewe anaweza kuja ondoa malaria. Je, ni kweli? Tafiti ndio zinasema, endelea hapa chini
Kila mwaka, watu bilioni 3.2 wako katika hatari ya kuamukizwa malaria kutoka kwa mbu walioambukizwa na vijidudu vinavyosababishwa malaria. Lakini labda si kwa muda mrefu tukajasikia malaria imefutika kabisa.
Sio ajabu tukasikia mtu anasema hii itakuwa ni uongo,ndoto au haitawezekani kabisaaaa. Mwaka jana, 2015 wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha California walifanya utafiti na kufanikiwa kupata...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10