Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho anaweza kwenda wapi?

Baada ya kufutwa na Jose Mourinho kufutwa kazi Chelsea jana, miezi saba tu baada yake kupeleka taji la Ligi ya Premia Stamford Bridge, wengi wanauliza ataelekea wapi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA

wema sepetu bongoclan.co.tzAkiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.wema sepetu bongoclan.co.tz..

 

9 years ago

GPL

SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?

MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...

 

10 years ago

Dewji Blog

Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua

0,,16820284_303,00

Blogger Maggid Mjengwa.

Ndugu zangu,

Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.

Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.

Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Magufuli anaweza?

MUNGU mkubwa; kuna waliolia, wanaoendelea kulia na waliocheka mjini Dodoma wakati CCM ilipofanya mkutano wake kuteua jina la mgombea urais baadaye mwaka huu.

Dk. John Pombe Joseph Magufuli akaibuka kidedea miongoni mwa majina 38 ya makada wa chama hicho waliokuwa wakiwania kuingia katika ofisi hiyo kuu nchini kupitia chama tawala.

Hata ambao walidhani kwamba wao ndio wanaofaa zaidi kuingia Ikulu wanakiri, hata kimoyomoyo, kuwa msomi huyu wa kemia ni jembe linalofaa kuliongoza taifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK anaweza kuisaliti CCM?

Gazeti la Tanzania Daima, Toleo Na. 3336 la Jumanne, Januari 21, 2014 lilipambwa na kichwa cha habari “JK aisaliti CCM.” Mwandishi wa habari hiyo alimnukuu kada mmoja wa CCM ambaye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je mbuzi anaweza panda baiskeli ?

Je mbuzi anaweza panda baiskeli ? Tizama makala ya juma hili ya teknolojia ujue zaidi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kumbe Ndugai anaweza ni suala la uamuzi tu.

WIKI iliyopita imekuwa ni nzuri kwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, kuhusu tathimini ya utendaji wake wa kazi za kuongoza mhimili huo. Utendaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijana anaweza kufikia ndoto yake

ASILIMIA kubwa ya watu ukiwauliza kuhusu ndoto zao za baadaye, utashangazwa na mambo makubwa waliyoyabeba moyoni na kwenye fikra zao. Ni wachache kati ya hao ambao watafanya maamuzi ya kuchukua...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mbu mwenyewe anaweza kuondoa malaria

modified_2

Mbu mwenyewe anaweza kuja ondoa  malaria. Je, ni kweli? Tafiti ndio zinasema, endelea hapa chini

Kila mwaka, watu bilioni 3.2 wako katika hatari ya kuamukizwa malaria kutoka kwa mbu walioambukizwa na vijidudu vinavyosababishwa malaria. Lakini labda si kwa muda mrefu tukajasikia malaria imefutika kabisa.

Sio ajabu tukasikia mtu anasema hii itakuwa  ni uongo,ndoto au haitawezekani kabisaaaa. Mwaka jana, 2015 wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha California walifanya utafiti na kufanikiwa kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani