Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli anaweza akawa Deng Xiaoping wa Tanzania ya leo?

AGOSTI 22, mwaka 1904, katika kijiji cha Xiexing Guang’an Jimbo la Sichuani nchini China, katika

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Magufuli anaweza?

MUNGU mkubwa; kuna waliolia, wanaoendelea kulia na waliocheka mjini Dodoma wakati CCM ilipofanya mkutano wake kuteua jina la mgombea urais baadaye mwaka huu.

Dk. John Pombe Joseph Magufuli akaibuka kidedea miongoni mwa majina 38 ya makada wa chama hicho waliokuwa wakiwania kuingia katika ofisi hiyo kuu nchini kupitia chama tawala.

Hata ambao walidhani kwamba wao ndio wanaofaa zaidi kuingia Ikulu wanakiri, hata kimoyomoyo, kuwa msomi huyu wa kemia ni jembe linalofaa kuliongoza taifa...

 

5 years ago

Michuzi

MHADHIRI CHUO KIKUU ASEMA NI VIGUMU SANA KWA MAZINGIRA YA SASA KUZUNGUMZIA MTU ANAYEWEZA AKASIMAMA AKAWA BORA KULIKO RAIS MAGUFULI...

MHADHARI wa Chuo Kikuu Saint John jijini Dodoma Dk.Alfred Sebahene amesema kwamba ni vigumu sana katika mazingira tuliyonayo kwa sasa kuzungumzia mtu anaweza kusimama akawa bora kuliko Rais Dk.John Magufuli.
Akizungumzia kuhusu utendaji kazi wa Rais Dk.Magufuli ,Dk.Sebahene amefafanua kuwa ni vigumu kwa sababu wananchi wameona matokeo chanya ya jitihada za Serikali hii ya Awamu ya Tano na kusisitiza kuna jitihada kubwa sana na mambo yanayoonekana ndio ambayo Mtanzania anataka kuyazingatia...

 

9 years ago

Habarileo

Tanzania ya Magufuli hadharani leo

RAIS John Magufuli leo anatarajiwa kuzindua Bunge la 11 mjini Dodoma na kutoa mwelekeo wa Serikali yake ya Awamu ya Tano katika miaka mitano ijayo.

 

10 years ago

BBC

Deng responds to 'African' comment

Basketball star Luol Deng says he is proud of his South Sudanese heritage after alleged racist remarks were made about his African roots.

 

9 years ago

BBC

Deng on GB, Miami & life as a refugee

South Sudan-born Luol Deng on how UK saved family's life

 

9 years ago

BBC

VIDEO: Luol Deng - Refugee to NBA superstar

BBC Sport tracks the incredible story of Luol Deng, who fled war-torn Sudan as a five-year-old and went on to become a household name in the NBA.

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Magufuli akikagua gwaride maalum la Jeshi la Ulinzi lenye Umbo la Alfa, ikiwa ni ishara ya kuanza kwa Serikali mpya ya awamu ya tano, katika Sherehe za kuapishwa kwake, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam leo. Sherehe hizo zimehudhuliwa na viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh....

 

9 years ago

Bongo5

Vin Diesel huenda akawa muongozaji wa Furious 8

Kuna uwezekano mkubwa Vin Diesel akawa muongozaji wa filamu mpya ya Furious 8. Hiki ndicho alichokiandika kwenye Facebook: It is no secret that my good friend Justin and I have been very intensely discussing the trilogy, as we have dreamed it for almost a decade. We know that when we re-team we will shock the […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani