Tanzania ya Magufuli hadharani leo
RAIS John Magufuli leo anatarajiwa kuzindua Bunge la 11 mjini Dodoma na kutoa mwelekeo wa Serikali yake ya Awamu ya Tano katika miaka mitano ijayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9nSRfdG0qAI/VfbJyRLS05I/AAAAAAAALIE/L16uUCur-NA/s72-c/_MG_8367.jpg)
Magufuli ameanza kazi: Amtosa Chenge hadharani huko Mjini Bariadi
![](http://2.bp.blogspot.com/-9nSRfdG0qAI/VfbJyRLS05I/AAAAAAAALIE/L16uUCur-NA/s640/_MG_8367.jpg)
MAGUFULI AMTOSA CHENGE BARIADI.Katika kile ambacho wachunguzi wa mambo ya kisiasa wamekiita tukio la kimapinduzi na mwanzo wa mabadiliko mapya ndani ya CCM, Mgombea wa Urais kwa ticket ya CCM Dr. John Magufuli amefanya kile ambacho Rais Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wameshindwa, kumtosa Andrew Chenge hadharani.Mwanasheria huyo mkuu wa zamani ambaye anahusika kwenye kashfa mbalimbali zilizozikumba taifa hili, ambaye ndio alikuwa mratibu wa kampeni za Urais za Edward Lowassa alipokuwa CCM...
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Lowassa hadharani Arusha leo
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Vifaa vya Simba hadharani leo
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-RaBtDwkCkD0/U7LE6JSi2VI/AAAAAAAABSQ/kuBJ3eTsc8E/s72-c/Harrison+Mwakyembe-May27-2014.jpg)
Dk. Mwakyembe kuweka mambo hadharani leo
Na mwandishi wetu
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ameahidi kuwataja hadharani baadhi ya watumishi na watendaji wanaofanya vitendo vya uhalifu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
![](http://1.bp.blogspot.com/-RaBtDwkCkD0/U7LE6JSi2VI/AAAAAAAABSQ/kuBJ3eTsc8E/s1600/Harrison+Mwakyembe-May27-2014.jpg)
Awali, Dk. Mwakyembe, alikuwa akutane na waandishi wa habari ofisini kwake jana, lakini alishindwa kufanya hivyo baada ya kuitwa Ikulu kwa majukumu mengine ya kikazi.
Hatua ya kuwekwa hadharani mtandao huo hatari unaohusisha watumishi wa idara mbalimbali, inafuatia agizo lake alilitoa...
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Mgombea wa urais CCM kuwekwa hadharani leo
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Video ya ‘subira’ ya Kassim Mganga hadharani leo
NA SHARIFA MMASI
BAADA ya kushambuliwa kwa maneno na mashabiki wake wakihitaji video ya wimbo wake wa ‘Subira’, msanii mahiri nchini, Kassim Mganga, leo anatarajiwa kuiachia video hiyo ili kupoza mashabiki wake hao.
Wimbo wa ‘Subira’ ambao Kassim amemshirikisha mkali wa sauti, Christian Bella, unaendelea kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio nchini bila ya kuwa na video yake.
“Muda mrefu nimekuwa na kigugumizi juu ya maswali ya mashabiki wangu kuhusu video ya wimbo wa Subira,...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Magufuli anaweza akawa Deng Xiaoping wa Tanzania ya leo?
AGOSTI 22, mwaka 1904, katika kijiji cha Xiexing Guang’an Jimbo la Sichuani nchini China, katika
Mwandishi Wetu
11 years ago
Habarileo19 Mar
Malalamiko ya Tanzania Bara, Zanzibar hadharani
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja malalamiko 10 ya kila upande wa Muungano, ambayo yanatishia kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ikiwemo Serikali ya Tanganyika kuvaa koti la Serikali ya Muungano ambalo linaisaidia Tanganyika zaidi kuliko Zanzibar.
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Tanzania Kwanza Nje wavurugana hadharani