Vifaa vya Simba hadharani leo
>Nyota wapya wa Simba leo watatambulishwa wakati vijana hao wa Msimbazi watakapoikabili Zesco ya Zambia katika Tamasha la Simba Day kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s72-c/1.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA SIMBA,KARATU
![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGGOjhKYOok/VUx3SuqK4yI/AAAAAAAA1uU/ByALKEDocRQ/s640/9.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-OEyrRKU7lUI/VUx2po2uLDI/AAAAAAAA1sE/96UT9aILrwk/s640/01.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA SIMBA,KARATU
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Bia Tanzania, (TBL), Robert Jarrin akipokea zawadi ya fimbo kutoka kwa mmoja wa viongozi wa kijiji wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya Kituo cha Afya cha Kijiji cha Kambi ya Simba kilichopo Kata ya Mbulumbulu wilayani Karatu ivi karibu, ambapo Kiwanda hicho kilikabdhi vifaa vyenye thamani ya Sh. Milioni 22.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Bia Tanzania, (TBL), Robert Jarrin akikabidhi baadhi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hhl2kKcSPAM/VJqxD7RLHCI/AAAAAAAG5gk/R5zTDgIQJAY/s72-c/IMG_7611.jpg)
DK. SHEIN ATOA VIFAA VYA MCHEZO WA RIADHA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hhl2kKcSPAM/VJqxD7RLHCI/AAAAAAAG5gk/R5zTDgIQJAY/s1600/IMG_7611.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bx8mDZ-2sMY/VJqxNESUNZI/AAAAAAAG5gs/sfg_aOvKl28/s1600/IMG_7645.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-6dmZbxSn4jE/VMA0542XlFI/AAAAAAAAse4/EknWe-__BIA/s1600/1.jpg)
MAREKANI NA UJERUMANI WAIPA TANZANIA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA UJANGILI MBUGA YA SELOUS LEO
Meneja wa Mbuga ya wanyama ya Selous, Benson Kibonde akimpatia maelezo kuhusu masalia ya injini ya mvuke iliyoachwa na Wajerumani, kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazao Nyalandu (kushoto), waziri huyo alipofika katika mbuga hiyo, kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupokeavifaa vya kukabiliana na ujangili vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya Mbuga ya Selous leo… ...
5 years ago
BBCSwahili02 May
Kim Jong-un aonekana hadharani, vyombo vya habari vya Korea Kaskazini vimeripoti
Ripoti za kuonekana kwake hadharani zimekuja huku kukiwa na tetesi juu ya afya ya kiongozi huyo wa Korea Kaskazini.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R8UhH3VgVMg/UuubFjAt3jI/AAAAAAAFJ7E/C-t4BmrIYQ8/s72-c/unnamed+(45).jpg)
Dkt. Fenella Mukangara akabidhi vifaa vya Michezo kwa Shule za Sekondari jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-R8UhH3VgVMg/UuubFjAt3jI/AAAAAAAFJ7E/C-t4BmrIYQ8/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DFL0ACzzCDs/UuubGXDw0KI/AAAAAAAFJ7M/GCdrcjBeWv8/s1600/unnamed+(44).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LsXCoIm5WZ4/XrVvASKPfgI/AAAAAAALpgY/IqP5FkRVjG4RK3tTlrST7YEsEt8k-OpbwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-3AA-1-768x512.jpg)
WAZIRI MAVUNDE AMWAGA MISAADA YA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORANA GEREZA KUU ISANGA, LEO JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LsXCoIm5WZ4/XrVvASKPfgI/AAAAAAALpgY/IqP5FkRVjG4RK3tTlrST7YEsEt8k-OpbwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-3AA-1-768x512.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akizungumza nje ya Gereza akikabidhi vifaa vya kujikinga na janga la corona katika Gereza Kuu Isanga, jijini Dodoma. Mhe. Mavunde amekabidhi msaada uliojumuisha vifaa mbalimbali ikiwemo sabuni, ndoo za maji pamoja na vitakasa mikono(Sanitizer).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-4AA-1-1024x682.jpg)
Baadhi ya vifaa hivyo vilivyokabidhiwa katika Gereza Kuu Isanga na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony...
10 years ago
GPLVIKOSI VYA LEO SIMBA VS YANGA
Wachezaji wa timu ya Yanga SC. Kikosi cha timu ya Simba SC. KIKOSI CHA YANGA SC 1. Deo Munish "Dida" - 30
2. Juma Abdul - 12
3. Oscar Joshua - 3
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5
6. Mbuyu Twite - 6
7. Hassan Dilunga - 26
8. Haruna Niyonzima - 8
9. Geilson Santana "Jaja" - 9
10. Mrisho Ngasa - 17
11. Andrey Coutinho - 7
Subs:
1.… ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Gazeti la al Quds al Arabi linalochapishwa London limeripoti kuwa, raia mmoja wa Uingereza amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Agadir huko kusini magharibi mwa Morocco akijaribu kutorosha maski elfu 16 na kuzipelekea Manchester kwa njia za magendo.
Vilevile maafisa wa forodha wa Morocco wamenasa shehena nyingine iliyokuwa na vifaa vya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania